Je, uchawi upo au ni uzushi tu?

Je, uchawi upo au ni uzushi tu?

Yakikukuta ndio utajua uchawi upo au haupo.
Ukishakua kwenye nguvu za vyombo vya dola ndio huwa unaamini kweli vipo na vinafanya kazi.
Ila kinyume na hapo unaona kama hakuna kinachofanyika.
Uchawi upo na sio kila kitu mpaka kiwe proved na kuonyeshwa.
 
Yakikukuta ndio utajua uchawi upo au haupo.
Ukishakua kwenye nguvu za vyombo vya dola ndio huwa unaamini kweli vipo na vinafanya kazi.
Ila kinyume na hapo unaona kama hakuna kinachofanyika.
Uchawi upo na sio kila kitu mpaka kiwe proved na kuonyeshwa.
How would you know diseases, energy, and all the things we see and can be experimented if not proved ni ujinga mkubwa kuamini kwenye upuuzi kama huo.
 
How would you know diseases, energy, and all the things we see and can be experimented if not proved ni ujinga mkubwa kuamini kwenye upuuzi kama huo.
Part ya uchawi ni kutotambulika na huwezi ku trace kupitia vyanzo vya kisayansi.
Lakini matokeo yake yanajidhihirisha.
 
Part ya uchawi ni kutotambulika na huwezi ku trace kupitia vyanzo vya kisayansi.
Lakini matokeo yake yanajidhihirisha.
Unaweza kuniletea uthibitisho wa uchawi hapa??

Kuna dau la kusolve tatizo utuaminishe uchawi upo. Nahitaji kuona manufaa ya uchawi hasa katika maendeleo ya Jamii zetu.
 
 
Ni upumbavu ndugu, Kiranga alitoa dau la $5M Toka USA gov hamna mtu aliyejitokeza ni stori za vijiweni tu
 
Huna nyota ,we si special kiufupi your nothing huwezi kurogwa,ila omba Mungu yasikukute


Kiranga alitoa hiyo challenge hamna mchawi aliyegusa means that ni ujinga tu mnatuletea hapa wa existence ya uchawi
 
Nyota gani mzee, hivi unaamini kwenye masuala ya nyota hadi Leo hii 🚮🚮

Acha ujinga wewe
Si tu kurogwa hata kufa ,unakufa tembea uone mengi ,pita kanda ya ziwa pale shinyanga, Bariadi,kigoma pale ujiji na sumbawanga alafu kafanye ujuaji wako usijifiche Dar utapigwa juju vizuri mkuu
 
Si tu kurogwa hata kufa ,unakufa tembea uone mengi ,pita kanda ya ziwa pale shinyanga, Bariadi,kigoma pale ujiji na sumbawanga alafu kafanye ujuaji wako usijifiche Dar utapigwa juju vizuri mkuu
Kama una amini Mungu yupo, basi jua na uchawi upo, toka Misri ya kina pharaoh
 
Si tu kurogwa hata kufa ,unakufa tembea uone mengi ,pita kanda ya ziwa pale shinyanga, Bariadi,kigoma pale ujiji na sumbawanga alafu kafanye ujuaji wako usijifiche Dar utapigwa juju vizuri mkuu
Ujinga tu, wameshindwa kufanya maendeleo huko kwao, je kama huo uchawi wao upo kwanini hiyo mikoa ipo nyuma kiuchumi?

Ni suala la Imani tu, na ujinga. Kama unaamini uchawi upo naomba nikuchqngie mkaniloge kwa wazee alafu Kuna Hilo dau la dola 5M naomba hao watu wapatikane tuthibitishie kuwa upo.

Pia, utuletee wataalamu wako wake wathibitishe maabara tuamini kuwa upo.

Kama utashindwa basi jua akili yako, kwa namna fulani Ina superstitious believes and you can't prove anything zaidi ya stori na vitisho tu.
 


Kiranga alitoa hiyo challenge hamna mchawi aliyegusa means that ni ujinga tu mnatuletea hapa wa existence ya uchawi
Sasa hivi kidau kimepanda mara 10 kutoka dola za Kimarekani milioni 5 mpaka milioni 50 kumkamata rais wa Venezuela Nicolas Maduro.

Yani wachawi kama wapo kweli wanashindwaje kuchukua hizo dola milioni 50 za Kinarekani?

Dola milioni 50 si pesa ndogo ujue mkuu?
 
Yakikukuta ndio utajua uchawi upo au haupo.
Ukishakua kwenye nguvu za vyombo vya dola ndio huwa unaamini kweli vipo na vinafanya kazi.
Ila kinyume na hapo unaona kama hakuna kinachofanyika.
Uchawi upo na sio kila kitu mpaka kiwe proved na kuonyeshwa.
Tunabishana na watu wasipo ijua Dunia Bado,... freemason, Illuminati,bone & skull huo wote ni uchawi wa kizungu
 
Back
Top Bottom