NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 28
Kwa kweli picha ile imekifu hapa umevuka mipaka ya utamaduni wetu wa kitanzania. Haifai haifai hata kama una lako rohoni ungetumia njia nyingine lakini sio hiyo.
Unajua mara nyingi muuaji anapofanya kitendo cha kumuua mwenzie na pindi akimaliza na kuingalia maiti huwa roho inamsuta na huamua kujiua mwenyewe, nadhani aliyefanya hili yampasa ajisute na ikiwezekana ajiweke kamba au awaombe watanzania wote msamaha
Hapa umepitiliza yule ni Presidaa tunamheshimu hata kama ana mapungufu ni mheshimiwa wetu stop!!!
Unajua mara nyingi muuaji anapofanya kitendo cha kumuua mwenzie na pindi akimaliza na kuingalia maiti huwa roho inamsuta na huamua kujiua mwenyewe, nadhani aliyefanya hili yampasa ajisute na ikiwezekana ajiweke kamba au awaombe watanzania wote msamaha
Hapa umepitiliza yule ni Presidaa tunamheshimu hata kama ana mapungufu ni mheshimiwa wetu stop!!!