Je tuhahitaji tena Ze Utamu?

Je tuhahitaji tena Ze Utamu?

Status
Not open for further replies.
mPM Yo Yo akutumie kutoka kwenye achieve yake!
humu watu wameshasema wametumiana kwenye email........

......couple of months ago polisi walipata msaada wa computer wakaanza kuwafundisha maafande jinsi ya kuwasha na kuzima then sasa hivi nafikiri wako kwenye word......
 
Yoyo,
Ndiyo nimeamua kujikomba kama unavyofikiri,ila ni watu ambao naamini ni masaada kwangu,Naona unaona Wivu sababu ulidhania nitakutafuta wewe kwanza siyo!Go to hell

Mwanakijiji ni mpiganaji mkubwa na nakubaliana naye kwa hoja ambazo ni z masingi na wakati mwingine nampinga na kujikomba kwake siyo dhambi!

Invisible ni kijana ambaye ni mtaalam wa mambo ya teknolojia,na kuwasiliana naye ni kuomba ushirikiano wake katika kutatua hili..

as the matter of the fact wewe ni yoyo,brazemni na bishoo chukua time!

kwa wengine wenye nia njema tuendelee kujadili hapa,It is totally ashame kumjadili Mkuu wa nchi kwa Picha za ovyo sababu anawakilisha sura ya nchi yetu,i have said and Yes am syaainga gain hata kama ameshindwa kutupa tunachotaka ila kwa hili No Way
KAMA NI MSAADA KWAKO SI WEWE tu, kulikuwa na haja gani kutupa hizo taarifa hapa? kila mtu ana HERO wake usifikiri hao unaowaona hivyo kila mtu ana the same perception EBO!!!!!
 
Wametoa picha ya mheshimiwa raisi kule utamu japo bado inaendelea na mambo yake.
Pia jeshi la polisi linawatafuta wamiliki wa hiyo blogu.


Una uhakika na unachokiripoti? Kama mnapenda kuitembelea hiyo site mtaiona hiyo picha bado ipo.
 
mbona clinton,bush marehemu arafat na wengine walishatolewa sana kwenye mitandao mbalimbali wakiwa wanafanya zaidi ya huyu? haya ni mambo ya kawaida.watanzania waache ushamba waendelee na mada zingine.kama vipi asiyetaka asiangalie.mbona hadija yaseen alipodhalilishwa hamkuchonga? au yeye sio binadamu?
 
mbona clinton,bush marehemu arafat na wengine walishatolewa sana kwenye mitandao mbalimbali wakiwa wanafanya zaidi ya huyu? haya ni mambo ya kawaida.watanzania waache ushamba waendelee na mada zingine.kama vipi asiyetaka asiangalie.mbona hadija yaseen alipodhalilishwa hamkuchonga? au yeye sio binadamu?

Unajua ishu si Bush kutolewa kwenye mitandao. Bushi alitolewa kwe mitandao akiwa na Osama kwa sababu bushi na Osama ni maadui wakubwa na waliofanya hivyo sio Wamarekani ni Mtandao wa Osama Bin Laden.

cha kushanga ni kwamba mtandao wa Ze utamu ni wa watanzania na watanzania hao hao wanaonyesha ni jinsi gani wana upungufu wa akili na kutengeneza picha ya Raisi wao na kuiweka kwenye mtandao.

Watanzania tunatakiwa kujishughulisha zaidi na mambo ambayo yanaweza kutuletea maendeleo na sio mambo ya kutengeneza picha na ku zi-post kwenye web site.

Hebu jiulize wewe uliekaa na kupoteza muda wako mwingi ku-edit na kutengeneza picha ya raisi wako umenufaikaje?
 
Ile picha ni balaa kuwa nayo tu...unakuwa kimeo wewe mwenyewe.....unaweza potea katika mazingira ya kutatanisha.
 
Wagjameni,

Ningependa tu kuwambia jambo moja tu, kwa swala hili la kuikamata zeutamu inahitaji wataalamu wa computer, Je serikali yetu ina taasisi zipi za kuweza ku deal na crimes kama hizi? hatuna mfumo huo sasa iweje leo iweze kuwakamata hao jamaa endapo tu matukio ya kawaida tu humu ndani ya nchi yanashindikanika au yanachukuwa muda mwingi kutatuliwa au yasitatuliwe au kupatikana ufumbuzi wake. Serikali yetu yapaswa kabisa kutenga mafungu ya kufadhiri ktk sector ya usalama au taasisi watakazo zianzisha za usalama.kwamfano wenzetu huko USA wana FBI,CIA, na zinginezo zote zinaushirikiano na huwajubika kwa Department Of Defense,Department of HomeLand Security na Department Of Justice, sasa hapo niambieni ndg zangu watanzania je tuna huu mfumo kama wa wenzetu?? na kama hatuna kweli tutakalia kupiga porojo na kunyoosheana vidole kumtafuta mchawi kweli jeshi la police lajitahidi sana lakini halina vifaa vya kutosha na hata wataalamu wakutosha pia hatuna. kunatakiwa jitihada za haraka sana kuwepo na mfumo huo na taasisi kama hizo kuanzishwa hapa nchi ili kufuatilia matukio kama hayo na sio police maana watakuwa na mzigo mkubwa sana kwani wao wapaswa linda sana usalama wa raia wake.na hizo crime zingine zipewe kwa ivyo vitengo maalum kufuatialia.

Me ningependa toa mapendekezo kuwepo na vitengo au taasisi maalumu za usalama ndani ya nchi yetu na viwe na mipaka ya utendaji wake wa kazi na kanini na utaratibu wake na kuwe na sheria ya kuchangia au kushirikiana katika jambo la kiusalama kwa maslahi ya nchi yetiu
1:Usalama wa taifa uanzishe kitengo maalumu
2:Jeshi la Police nalo liwe na kitengo maalumu
3:Takukuru either nayo ifutwe na kuundwa upya na iwe na mfumo mpya na
kitengo chake maalumu
4: Jeshi letu lataifa nalo liwe na kitengo chake maalumu
5😀epartment of Justsice yetu itunge sheria swafi za kuimalisha mifumo yote na taasisi nilizo zitaja hapo juu kuzingatia utawala bora siasa safi na sheria kufuatwa bila kupindishwa.

Sina mengi ya kusema ni hayo tu wagjameni watanzania wenzangu
 
Internet-related crimes are on the rise in Tanzania and the lack of Cyber laws makes it impossible to tackle such fraudulent practices. Hackers are increasingly targeting Tanzania and many other countries, knowing full well that they can get away with their crimes. Some people send abusive emails to settle personal scores and that the law enforcement agencies are unable to act on such matters due to non-existence of Cyber laws, "which must be in tune with the latest changes in the Internet domain."
Recently a woman approached a police station to file complaint with regards to a derogatory email but the police refused to entertain her complaint. "In such a scenario, we cannot blame the security authorities. There is an exigent need to establish what can be called as Cyber Police which will enable to monitor online activities, besides tracking down the source of abusive emails. In other words, the police will only register a complaint provided a person admits to his or her crime, thereby referring the case to prosecution."
Confess
Supposing a person refuses to confess to his crime, then it becomes impossible for the authorities to register a complaint for the simple reason that they do not posses the required know-how and equipment to track down the source of an email, especially if the sender uses only his initials or if the mail is anonymous.
Many unsolicited emails are originating from Africa, particularly from Nigeria, One lady was recently duped by some unscrupulous elements after she fell prey to a fraudulent email.
The lady was sent an email indicating that she had won $ 50 million and - as a first step towards claiming the prize money - she was required to send lottery organizers a certain fee in order to set in motion her paperwork. The unsuspecting victim was initially asked to send KD 150 and that the amount was to be sent to a person in the UK.
When she sent the money, she was told that the money was insufficient and was asked to remit an additional KD 300. Moreover, she sent the money through a medium which makes it impossible to ascertain the identity of the receiver. She was later invited to the UK to collect her prize money. When she reached the UK, a certain George got in touch with her and took her to a shabby restaurant and she was told that the award ceremony would be kept low profile. She was then asked to fork out additional money towards certain other procedures. The lady continued to pay money until the amount reached KD 15,000 and that the woman nearly spent over two months in the UK.
Loan
Fed up with the dilly dallying, she returned to Tanzania. The sad thing is that the lady took loan from a bank to pay the fraudster with the aim of bagging the prize money. Though, she was issued receipts by the fraudsters, they are only in the form of computer print-outs. Had there been a Cyber Cell in Tanzania, then it would have helped in determining the source of the said email . Some fraudsters are using emails whose validity does not exceed more than a month, thereby making it impossible for the concerned authorities to identify the source.
One of my female Friends was being targeted by some people who tampered with her images making her look obscene and her pictures were being circulated in chatrooms. Later It was found out that her obscene images were being circulated through an email account which was valid only for 30 days. Some people in Tanzania are misusing the medium and that freedom of speech provided it is regulated like what ZeUtamu Blog has Been Practising . It becomes paramount to prosecute bloggers, especially if they indulge in character assassination."
 
wametoa picha ya mheshimiwa raisi kule utamu japo bado inaendelea na mambo yake.
Pia jeshi la polisi linawatafuta wamiliki wa hiyo blogu.

linda

sasa hivi jeshila polisi linapata support kubwa sanatoka kwa wataalamumbali mbali katika kuhakikisha mambo yanakwendasawa nakuweza kufanikisha kuwatia mbaroni wale wote wanaotumia mtandao huo kudhalilisha wenzao pamoja na mmiliki wa mtandao huo nimeangalia sheria za jimbo la texas ambapo tovuti hiyo ipo nayo hairuhusu picha chafu sasa wakati katika tearms of use ya zeutamu wamesema wanafuata sheria za nchiambapodomain au site hiyo imesajiliwa
 
linda

sasa hivi jeshila polisi linapata support kubwa sanatoka kwa wataalamumbali mbali katika kuhakikisha mambo yanakwendasawa nakuweza kufanikisha kuwatia mbaroni wale wote wanaotumia mtandao huo kudhalilisha wenzao pamoja na mmiliki wa mtandao huo nimeangalia sheria za jimbo la texas ambapo tovuti hiyo ipo nayo hairuhusu picha chafu sasa wakati katika tearms of use ya zeutamu wamesema wanafuata sheria za nchiambapodomain au site hiyo imesajiliwa

ze utamu ni adults site na marekani kuna adult site nyingi...
marekani u gay sio dhambi kwa hiyo kuweka mwanaume analiwa sio big deal
ze utamu ajaandika jina la mtu aliyekuwa kwenye picha lakini huyo mtu anafanana na JK, kwa hiyo JK atasemaje kuwa ile picha ni ya kwake, na pili JK sio gay kwa hiyo kufikiria ile picha ni ya kwake itakuwa ni utata sana
hiyo picha ni character ya kutunga, fiction ni kama zile katuni za kutunga bongo
kama kuna mtu yeyote ambaye anadhani ze utamu anaweza kushitakiwa aweke hapa sheria itayomshitaki
 
Ndg Shy!

Nkuulize ivi wajuwa police ya tanzania inapamaba na wahalifu wengi na bado haijafanikiwa kwa kiasi kingine kikubwa? Tembea mikoani huko ujionee police wankumbwa na matatizo mengi pamoja na jitihada zao kwani vifaa ndivyo vyapaswa kuwepo na kuwasaidi na viwe vya kisasa zaidi. sasa unapo sema ati police wanapewa support na wataalumu mbali mbali kwanini wao wasianzishe ivyo vitengo au taasisi ili kupambana na crime kama izo na wapate izo cyber laws. Majuzi juzi palisikika kuwa kuna watu wanaiba pesa kwenye mabank through harcking the bank systm je wamefikia wapi??hatujasikia chochote mpaka leo.me kama nilivyosema hapo mwanzo nimuda sasa serikali kubadilika na ku take action kwa mambo kama haya zeutamu wana tudharirishia kiongozi wetu.kuanzishwe taasisi za kiusalama kupambana na uhalifu huu watechnology lasivyo tutabaki piga polojo hapa. Lakini mkumbuke ni twakaribia wakati wa kampeni watu wantaka kuchafulia watu wengine ilo mliweke kichwani pia kuna mijitu mingine si watu jamani.
 
wazee,
acheni ufinyu wa mawazo/akili. hayo maadili mnayoyaongelea nyinyi ni ya namna gani ? ina maana upupu wote uliokuwa unawekwa mule ulikuwa unaendana na maadili ? hayo maadili yamekiukwa baada ya kuwekwa JK ? kwa nini sympathy hii iwe kwa JK pekee ? wengine je haiwagusi ? BINAFSI NAPINGA KABISA KITENDO HICHO NA HIVYO VILIVYOTOKEA HAPO AWALI KWA WATU WA KAWAIDA KABISA AMBAO HAWANA MAJINA KTK SERIKALI AU/NA KTK JAMII.

Ingekuwa busara kama huruma hii pia tungeionyesha kwa wale wengine ambao walipatwa kuhusishwa na yaliyohusishwa kwa rais pia, lkn NIMESHANGAZWA MNO tena SANA kuona kwamba huruma hii ipo kwa watu wenye majina tu. Je kufuata maadili NI LAZIMA KUWE KWA WATU WENYE MAJINA/VYEO TU ?

AGAIN, POLE MH. RAIS NA WOTE WALIOWEKWA MULE NDANI BEFORE maana sio kitendo cha kiuungwana, bali ni kuchafuana majina na kutokutendeana haki!!

Na lingine, ina maana yale mapicha machafu ambayo yalikuwa yanatundikwa humu ndani ya jamiiforums pia ni maadili yetu ? au ndo tumeamua kukurupuka ili kuonekana na sisi tumo ? Acheni uzushi wazee ! Hata humu mapicha machafu yalikuwemo na sikusikia yoyote akilalamika, bali watu walikuwa wakijazana kana kwamba ni maadili mema!

JE MNALO HAPO ?
(Utetezi Kwa Wote)

Hatimaye ZeUtamu wamepotea kiaina.
Wanajuuuuuuta kufanya ile kitu.
Waliongeza mimaji kwenye wali ukawa bokoboko.
Afadhali dada zetu Hadija Yaseen na Nsia Swai wanapumua sasa. Waliandamwa sana.
Tuwe na maadili mazee!
 
hadija yaseen na nsia swai inabidi wajitokeze wawe wazi hao walioweka picha zao mule wakamatwe na kufikishwa katika vyombo vya sheria iwe funzo na mfano kwa wengine wote
 
Hatimaye ZeUtamu wamepotea kiaina.
Wanajuuuuuuta kufanya ile kitu.
Waliongeza mimaji kwenye wali ukawa bokoboko.
Afadhali dada zetu Hadija Yaseen na Nsia Swai wanapumua sasa. Waliandamwa sana.
Tuwe na maadili mazee!


Wapo hewani kama kawa....na picha ya mheshimiwa!
 
Mimi nafanya UMOJA WA MATAIFA ARUSHA kitengo cha mtandao na mawasiliano,
sijui usalama wa hili taifa uko wapi?
mpaka hawa vijana wanagusa nguzo ya taifa kama Mh Rais?
je twahitaji peleka watu kusoma zaidi ya kuhusu usalama wa mtandao?
ni aidu hata kwa aliweka picha ile ni sawa na yeye mwenyewe kajiweka pale
Ile picha imeungwa sio ya ukweli bali ni elimu ndogo ya kugushi picha.
Kijamii ni kosa kufanya hivyo.
jamani nawasisitiza viongozi jaribuni kuzuia baadhi ya mambo kabla ya kuikuta jamii.
Asante
 
ulikuwa huna haja ya kutueleza unafanya kazi wapi ebooooooooooooooooooooooo.Umoja wa Mataifa umeona big deal??????
 
Duu mau? hukopeshi ndugu? teh teh..

Rwabu- Ukopeshaji wetu ndo umetufanya tufike hapa tulipo.....UFISADI kila kona juu ya nini upole upole tu kila mahali.mtu anakwiba anahamishwa tu sehemu ingine akakwibe zaidi.Bongo tunahitaji DIKTETA.....ukifanya ufisadi KITANZI kama China vile.Unyama unyama tu.
 
Rwabu- Ukopeshaji wetu ndo umetufanya tufike hapa tulipo.....UFISADI kila kona juu ya nini upole upole tu kila mahali.mtu anakwiba anahamishwa tu sehemu ingine akakwibe zaidi.Bongo tunahitaji DIKTETA.....ukifanya ufisadi KITANZI kama China vile.Unyama unyama tu.

Mtu anaweza kupuuza vi-point lakini haka ka point kamuhimu sana yaani ka int kametulia kimtindo kwakweli.
 
Mimi nafanya UMOJA WA MATAIFA ARUSHA kitengo cha mtandao na mawasiliano,
sijui usalama wa hili taifa uko wapi?
mpaka hawa vijana wanagusa nguzo ya taifa kama Mh Rais?
je twahitaji peleka watu kusoma zaidi ya kuhusu usalama wa mtandao?
ni aidu hata kwa aliweka picha ile ni sawa na yeye mwenyewe kajiweka pale
Ile picha imeungwa sio ya ukweli bali ni elimu ndogo ya kugushi picha.
Kijamii ni kosa kufanya hivyo.
jamani nawasisitiza viongozi jaribuni kuzuia baadhi ya mambo kabla ya kuikuta jamii.
Asante


Sishangai sana maana kama Raisi Mstaafu aliweza kupigwa kibao jamani na haya ya Raisi kutolewa kwenye Ujinga wa website sitashangaa kuona mengine ya kipuuzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom