Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 3,527
- 7,314
Mfumo siyo watu maana mfumo ndo umeshikiliwa na viongozi na vigogo wanaofelisha
Sawa so hamna haja ya kulalamikia mafisadi?Ukiwa na Pesa utamiliki Kila kitu ulichokitamini
Hapa tutakesha aisee ngoja nikuacheMfumo ndo watu wenyewe.
OkayIt takes a generation kama sio hata vizazi zi3 kuendelea.. Swala la muungano tu si unaona tunavyo tapatapa?
Asante karibu tenaMfumo siyo watu maana mfumo ndo umeshikiliwa na viongozi na vigogo wanaofelisha
Kwani hupendi kukesha?Hapa tutakesha aisee ngoja nikuache
Okay
Hapana sipendiKwani hupendi kukesha?
CCM iondoke au iondolewe madarakani.Nini kifanyike kama matatizo yapo wazi?
Sasa unacho taka kibadilika kwa kubaki kimya?Hapana sipendi
Sitaki mijadala na wewe kwa sababu hatujawahi kua sawa kwa mitazamo so hua naona napoteza energy kubwa sanaSasa unacho taka kibadilika kwa kubaki kimya?
Shukrani kaka karibu tenaCCM iondoke au iondolewe madarakani.
Hapana hicho sio kigezo...Sitaki mijadala na wewe kwa sababu hatujawahi kua sawa kwa mitazamo so hua naona napoteza energy kubwa sana
Sikuchukii na sina sababu nikuchukie sawa ☺️Hapana hicho sio kigezo...
Kutokuwa sawa kwenye aspect moja haisababishi utajirudia kwenye mjadala Mwingine au labda unanichukia na husemi. Hilo ndo jibu sahihi
Only you and me knows what's true.Sikuchukii na sina sababu nikuchukie sawa ☺️
ndugu mdau,Hivi ni kweli ni rahisi kulalamika ukiwa nje ya mfumo eti kwa sababu wewe si mnufaika wa moja kwa moja?
Kwa mfano, unaweza kusema mtu fulani ni fisadi. Lakini je, ukipewa nafasi ya huyo mtu, una uhakika kwamba na wewe hutageuka kuwa fisadi?
Mfano👇
Mtu asiye na kipato anaweza kuapa kwamba yeye hawezi kununua magari ya gharama kubwa kwa sababu anaona ni anasa na ni matumizi ya kupita kiasi
Lakini nadhani wakati huo anakuwa hana uwezo wa kifedha, hivyo huwaona wanaofanya hivyo kama wanafuja mali
Je, ikitokea siku pesa zikamjia, bado atabaki na msimamo huo, au atataka kubebwa kichwani na hataki hata kukanyaga ardhi?
Hii ina maana gani?
Je, mara nyingi watu hulalamika kwa sababu wako nje ya mfumo na hawanufaiki nao?
Mwisho kabisa, kama ni kweli kwamba binadamu anaweza kubadilika anapoingia kwenye mfumo wa madaraka au kunufaika nao, ni mfumo gani imara unapaswa kuwekwa ili kuzuia tabia ya (kulamba asali? )
Kama tatizo ni mfumo Je
Mfumo gani unaweza kuwafanya viongozi wasijisahau wanapopewa madaraka na wasije wakafanya yale yale waliyokuwa wanawakosoa waliowatangulia?
NB: Sina chama chochote
Lakini napenda nchi yenye ustawi bora
ShesRise_1 🤚

May God help you greatly, young man 👍Only you and me knows what's true.
Why do you think so? Do I need help young lady?May God help you greatly, young man 👍
Mfumo ubadilike kama Wachina walivyofanya. Umekula rushwa ni risasi hadharani. Africa wakipatikana watu kama marehemu JPM kwa wingi, Ulaya wataomba msaada Africa.Ukiwa na Pesa utamiliki Kila kitu ulichokitamini
Huu mkeka uliotandika hapa aiseendugu mdau,
nadhani hivyo ni visibgizio tu,
changamoto ni uvivu unaopelekea wengi kua wanyonge kiuchumi na kujikuta kila ugumu wanaopitia wanasingizia wengine kumbe mchawi ni uvivu wao binafsi.
ni imani yangu watu wakifanya kazi kwa bidii na kujikomboa au kujitosheleza kiuchumi, hapatakua na malalamiko na visingizio vyepesi kama hivyo, wala hapatakua na kubabaika au kunyoosheana vidole na kusingiziana vitu ambavyo havina uhusiano kabisa na makosa yako yanayofanya uwe mlalamikaji tu kwa kila kitu.
ni vigumu mno kwa mtu ambae ameshindwa kujikomboa yeye binafsi na familia yake kiuchumi, halafua eti anakuja kupiga makelele na porojo mingi hapa eti anaweza kuwakomboa mamilioni ya watu kisiasa na kuwapeleka kanani kwa kubadilisha katiba au tume ya uchaguz, that's completely useless.
jikomboe kwanza wewe binafsi na familia yako kiuchumi, kijamii na kisiasa, na hapo ndipoo unaweza kua na angalau uhalali au uthubutu wa kuadai kukomboa wengine, na hapo unaweza pia kueleweka kwa watu wengi zaidi, otherwise utaungana na wengine tu, kutafuta visingizio vyepesi vya kuhalalisha hali uliyonayo ambavyo ni vitu useless kabisa.
kama taifa,
tuna fursa bado kwa kila mTanzania kokote aliko, kujifunga mkaja na kujitutumua ipasavyo katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa, kwasababu we have almost everything as country kumfanya kila moja tajiri.
na ndio maana, hapa Tanzania, kwa mtazamo wa kawaida tu,
kua tajiri au maskini ni uamuzi wa mtu binafsi tu.
yaani kitu gani hakuna ndio uwe maskini?
Tanzania tuna kila kitu cha kumfanya kila mTanzania kua tajiri, ni uchaguzi na uamuzi wako tu.
habari ya kusingizia mfumo, sijui katiba, tume ya uchaguzi au viongozi ni kujaribu kuhalalisha na kuuseal umaskini na kutembea nao daima maishani mwako![]()