kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Ni muda sasa Rais akihutubia bila kusikia neno "viwanda" kama ilivyokua kawaida yake
Na pia hakuna update yoyote ya viwanda vinavyojengwa
Labda niwaambie kitu tu nchi kuwa ya kiviwanda mnatakiwa muwe na viwanda kama utitiri yaani vya kutosha mfano kwa ukubwa wa Tanzania na watu wake ili kufikia uchumi wa kati tunapaswa tuwe na angalau viwanda laki mbili au laki tatu
Sasa hivi naskia nchi nzima viwanda vikubwa havifiki hata mia sasa hii ndo nini?
Labda niulize zile "ndaru" zilizokua zikurindima humu ndani na vijana wa lumumba wakibebea bango kwamba ni "viwanda" viwanda" yameishia wapi? Sasa hivi kwaya ni "mandege mandege"sasa hayo mapesa ya kununulia mandege si ingetosha kujenga viwanda vikubwa kila mkoa na itoe ajira za watu hata 50000 kwa kila mkoa??
Okay nirudi kwenye swali: Tanzania ya viwanda imeishia wapi???
Na pia hakuna update yoyote ya viwanda vinavyojengwa
Labda niwaambie kitu tu nchi kuwa ya kiviwanda mnatakiwa muwe na viwanda kama utitiri yaani vya kutosha mfano kwa ukubwa wa Tanzania na watu wake ili kufikia uchumi wa kati tunapaswa tuwe na angalau viwanda laki mbili au laki tatu
Sasa hivi naskia nchi nzima viwanda vikubwa havifiki hata mia sasa hii ndo nini?
Labda niulize zile "ndaru" zilizokua zikurindima humu ndani na vijana wa lumumba wakibebea bango kwamba ni "viwanda" viwanda" yameishia wapi? Sasa hivi kwaya ni "mandege mandege"sasa hayo mapesa ya kununulia mandege si ingetosha kujenga viwanda vikubwa kila mkoa na itoe ajira za watu hata 50000 kwa kila mkoa??
Okay nirudi kwenye swali: Tanzania ya viwanda imeishia wapi???