MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Awamu ya 5 ilipoingia Madarakani CHINI ya TINGATINGA wa CCM Bwana MAGUFULI tulitangaziwa kuwa NCHI inaenda kuwa ya VIWANDA VITUPU na Tatizo la VIJANA wetu KUZURURA na Bahasha za VYETI Kusaka AJIRA linafika Mwisho. Kuna Waziri alizunguka lila Mkoa kuhakikisha Kila Mkoa unajenga VIWANDA 100. Tukambiwa sasa ni zamu ya WAZUNGU kuvaa MITUMBA kutoka TANZANIA.
Wenye AKILI KUBWA tulijua ni UONGO hakuna cha TANZANIA ya VIWANDA kwani ilikuwa RAHISI kufufua VIWANDA vilivyopo kuliko Kutafuta Maeneo Mapya na kuanza kujenga Upya kwani Gharama zake ni Kubwa.
Kufufua Viwanda ni rahisi kwa sababu Majengo yapo,Maji na Umeme vipo Barabara zipo kinachobadilika ni MITAMBO TU.
Je ni VIWANDA vingapi vimejengwa na kukamilika? Je vipi ktk Mikoa gani? Je, ni Viwanda vya Nini? Je vimeajiri watu wangapi? Je, Vijana wetu wameacha kuzurura na Bahasha kusaka Ajira?
Mwenye hizi TAKWIMU naomba Aziweke hadharani.
Wenye AKILI KUBWA tulijua ni UONGO hakuna cha TANZANIA ya VIWANDA kwani ilikuwa RAHISI kufufua VIWANDA vilivyopo kuliko Kutafuta Maeneo Mapya na kuanza kujenga Upya kwani Gharama zake ni Kubwa.
Kufufua Viwanda ni rahisi kwa sababu Majengo yapo,Maji na Umeme vipo Barabara zipo kinachobadilika ni MITAMBO TU.
Je ni VIWANDA vingapi vimejengwa na kukamilika? Je vipi ktk Mikoa gani? Je, ni Viwanda vya Nini? Je vimeajiri watu wangapi? Je, Vijana wetu wameacha kuzurura na Bahasha kusaka Ajira?
Mwenye hizi TAKWIMU naomba Aziweke hadharani.