Latrice
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 2,393
- 2,359
Tumemzoea he's always like that trying to get attention ya wapumbavuUkute hata hiyo ICC haijui!
Tumemzoea he's always like that trying to get attention ya wapumbavuUkute hata hiyo ICC haijui!
Unataka Kutoa hukumu !!!!!Mimi naomba Andiko au Kitu chochote cha kudhibitisha Roma yupo Marekani kama mkimbizi.
Hapo mwisho kabla ya To be continued pananifikirishaCCM wajipange, wabeberu safari hii wataondoka na vichwa vingi sana utawala huu.
Kidogo kidogo wameanza kula "MATAPISHI" yao, wamepeleka muswada bungeni (kama kawaida yao kwa HATI YA DHARURA) kuomba sheria ya Arbitration ibadilishwe ili migogoro ya madini iwe inasuluhishwa kwenye Mahakama Ya Biashara Ya Kimataifa.
Kwa mtazamo wangu, watu wasiojulikana watakuja kufanya "MAAMUZI" magumu sana kwa yule "MKUU WA MIKOA YOTE TANZANIA", ili kuficha aibu yao.
To be continued. . . . . . .
Kwaiyo, Wewe Unakataa hawezi Kushitakiwa ICC? Tupe sababu zakoKwa sababu Kuna mtu analeta ujuaji na ungumbalu wake kwenye taaluma ya watu!
Mbona Benificial alisharudi kitambo, na aliporudi aka-perform 'Cheka Tu' akielezea aliyoyaona USA...ROMA kapewa hadhi ya Ukimbizi USA?
Naye yule Beneficial wa Chuga naye ana tatizo gani na mamlaka maana wote wako huko kwa Trump toka mwaka Jana.
Ni vizuri ukacheck facts zako ili ulete habari za ukweli vinginevyo ule "Ujuaji" unaosemwa unao kule jukwaa la " pongezi na malalamiko" utaonekana ni kweli
Nashindwq hata kuargue maana aliyeleta habari amebaka tasnia. Mimi nilidhani angeiondoa, tofaauti na hapo atafuye mtu amuandikie halafu ndio great thinkers tutilike. Hakuna alichoanzika cha kufanya ni argue zaidi ya ramri tu!
Labda karudi Tena maana naonaga anatupia toka huko .Mbona Benificial alisharudi kitambo, na aliporudi aka-perform 'Cheka Tu' akielezea aliyoyaona USA...
Marekani sio mwanachama wa ICC na hajihusishi kabisa nayo.Nimeshangazwa na hadhi ya ukimbizi aliyopewa Roma Mkatoliki nchini Marekani. Hii pengine inatokana na kule kukamatwa kwake na wale WASIOJULIKANA kisha katika hali ya kushangaza sana na kwa muda uliopangwa Roma akapatikana akiwa hoi majeruhi na majeraha ya kuteswa.
Baada ya kupata nafuu majeraha yale ya mwili aliongea kilichompata. Lakini kukiwa na kila dalili kwamba alificha ama aliogopa kuongea mengi. Kutoka hapo Roma hakuwa sawa tena kama zamani. Kuna mzimu ulikuwa unamuandama.
Nusu ya pili ya mwaka jana 2019 Marekani na washirika wake wakaanza kutoa maangalizo na matamko kuhusiana na hali ya kuzorota kwa haki za binadamu, usalama na uhuru wa kutoa maoni. Ni katika kipindi hicho Roma alitimkia Marekani na hatimaye vikafuatia vikwazo kwa baadhi ya viongozi kusafiri na kuingia marekani sambamba na kunyimwa misaada na mikopo nk
Kwenye taarifa ya Marekani hawakumung'unya maneno walimtaja kiongozi mmoja kama wa kwanza kuwekewa kikwazo cha kusafiri Marekani.
Ni kiongozi huyo huyo aliyeahidi kupatikana kwa Roma ndani ya muda fulani naye pia akapatikana kweli. Kiongozi huyo ana lundo la tuhuma za kuteka. Waliotekwa na kupotea ni wengi. Ni Roma na wachache wamebahatika kutekwa na kurudi hai.
Kwenye taarifa ya Marekani wameweka wazi kuwa vikwazo ni hatua za mwanzo tuu.. Kwa maana hiyo hatua zaidi zinafuata. Je ni hatua gani hizo? Je ni mashtaka ICC?
Kama ni mashtaka ICC, Maana yake kutahitajika ushahidi usio acha shaka na mashahidi pia. Roma ni mhanga wa kutekwa na Marekani kaenda kama mkimbizi.
Huyu anaweza kuwa shahidi muhimu sana, hivyo kuepuka kudhurika ama kutishwa asitoe ushahidi pengine ndio maana kakimbiziwa mbali aje kumkaanga mtu. Wengine ni Msaidizi wa Membe na Msaidizi wa Zitto wako wapi hawa?
Jr™️
Mkuu jamaa kiukweli hapa kajiabisha. I short ni Ngumbalu kabisa katika hili.Mbona Benificial alisharudi kitambo, na aliporudi aka-perform 'Cheka Tu' akielezea aliyoyaona USA...
Zitafute humu humu JF, Jukwaa la Entertainment. Zipo kibao...Labda karudi Tena maana naonaga anatupia toka huko .
Siku hizi unaandika wapi hadithi zako?
Nilikua nazisomaga kwenye Thisday
Wamchukue na Mo Dewji akawe shahid wa kesi za kutekana.Nimeshangazwa na hadhi ya ukimbizi aliyopewa Roma Mkatoliki nchini Marekani. Hii pengine inatokana na kule kukamatwa kwake na wale WASIOJULIKANA kisha katika hali ya kushangaza sana na kwa muda uliopangwa Roma akapatikana akiwa hoi majeruhi na majeraha ya kuteswa.
Baada ya kupata nafuu majeraha yale ya mwili aliongea kilichompata. Lakini kukiwa na kila dalili kwamba alificha ama aliogopa kuongea mengi. Kutoka hapo Roma hakuwa sawa tena kama zamani. Kuna mzimu ulikuwa unamuandama.
Nusu ya pili ya mwaka jana 2019 Marekani na washirika wake wakaanza kutoa maangalizo na matamko kuhusiana na hali ya kuzorota kwa haki za binadamu, usalama na uhuru wa kutoa maoni. Ni katika kipindi hicho Roma alitimkia Marekani na hatimaye vikafuatia vikwazo kwa baadhi ya viongozi kusafiri na kuingia marekani sambamba na kunyimwa misaada na mikopo nk
Kwenye taarifa ya Marekani hawakumung'unya maneno walimtaja kiongozi mmoja kama wa kwanza kuwekewa kikwazo cha kusafiri Marekani.
Ni kiongozi huyo huyo aliyeahidi kupatikana kwa Roma ndani ya muda fulani naye pia akapatikana kweli. Kiongozi huyo ana lundo la tuhuma za kuteka. Waliotekwa na kupotea ni wengi. Ni Roma na wachache wamebahatika kutekwa na kurudi hai.
Kwenye taarifa ya Marekani wameweka wazi kuwa vikwazo ni hatua za mwanzo tuu.. Kwa maana hiyo hatua zaidi zinafuata. Je ni hatua gani hizo? Je ni mashtaka ICC?
Kama ni mashtaka ICC, Maana yake kutahitajika ushahidi usio acha shaka na mashahidi pia. Roma ni mhanga wa kutekwa na Marekani kaenda kama mkimbizi.
Huyu anaweza kuwa shahidi muhimu sana, hivyo kuepuka kudhurika ama kutishwa asitoe ushahidi pengine ndio maana kakimbiziwa mbali aje kumkaanga mtu. Wengine ni Msaidizi wa Membe na Msaidizi wa Zitto wako wapi hawa?
Jr️
😄😄😄😄😄😄, hatutaki ujinga wa watu kuleta vitu wasivyojua!Uzi umeingiliwa na "Wasiojulikana"!!!!
Uzi umekaa kama swali ili kutoa mwanya mkubwa wa member kuujadili, kwa hiyo kama lipo unalolijua unaweza kujadili bila kumshambulia mleta mada kama huna kaa kimya.ROMA kapewa hadhi ya Ukimbizi USA?
Naye yule Beneficial wa Chuga naye ana tatizo gani na mamlaka maana wote wako huko kwa Trump toka mwaka Jana.
Ni vizuri ukacheck facts zako ili ulete habari za ukweli vinginevyo ule "Ujuaji" unaosemwa unao kule jukwaa la " pongezi na malalamiko" utaonekana ni kweli
Sasa wewe unayejua hiyo ICC, umeandika nini angalau tuone na wewe unajua kitu...? Zaid ya blah blahMshana Jr,
Mnavyoishobokea ICC, wakati inaonyesha wazi hamjui chochote kuhusu Mahakama hii and how it oparate. Kwa ulichoandika ni wazi we ni Mbumbumbu wa ICC! Hujui chochote!
We nawe sijui ulikuwa wapi mda wote huo kha!Sasa wewe unayejua hiyo ICC, umeandika nini angalau tuone na wewe unajua kitu...? Zaid ya blah blah
Hili ndo jibu la Jinsi ICC ina-operate????We nawe sijui ulikuwa wapi mda wote huo kha!
Uzi umekaa kama swali ili kutoa mwanya mkubwa wa member kuujadili, kwa hiyo kama lipo unalolijua unaweza kujadili bila kumshambulia mleta mada kama huna kaa kimya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimehitimisha kuwa wewe ni mjinga na una personal hatred na Mshana Jr. Umeambiwa Mara chungu nzima toa wewe ufafanuzi maana hoja ya Mshana iko kwenye msingi endelevu tujadili uwezekano huo, badala yake unakomaa na upuuzi wako kuwa yeye ni mjuaji.Mtoa maada ndo boya kwa kuleta vitu ambavyo hata havielewi, kisa kujitia unuaji wa kila kitu. Yeye abaki kwenye matunguli huku awaachie wenye weledi wao. Unaleta issue ya ICC halad huelezi how Roma anaweza kuwa shahidi kwa angle ipi na makosa yapi and against who. Huo ndo ugreat thinker, siyo kuleta habari au arguement ambayo haina basis yoyote. Huu ni ujuha!