kajekudya
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 2,469
- 4,903
Absolutely yes! Ili kutenda haki alipaswa kusema how Roma anaweza kuwa shahidi angainst whom and under which chareges na kwa misingi ipi? Sasa kuropoka tu bila hata kujua ABC ya ICC huo nao ni uzwazwa!Tueleze wewe uliyemkosoa! Umesema wazi wazi hajui jinsi ICC inavyo operate,maana yake wewe unafahamu! Ndio maana Mkuu hapo juu amekuuliza wewe hilo swali utoe ufafanuzi,ukisema tena mtoa Mada atoe ufafanuzi utakuwa unajichanganya!
Mleta maada alipaswa adadavue, ndio maana nikwakwambia ni Ngumbalu wa hizi mambo by just looking on what he just wrote!