Je, Roma Mkatoliki anaandaliwa kuwa shahidi wa ICC?

Tueleze wewe uliyemkosoa! Umesema wazi wazi hajui jinsi ICC inavyo operate,maana yake wewe unafahamu! Ndio maana Mkuu hapo juu amekuuliza wewe hilo swali utoe ufafanuzi,ukisema tena mtoa Mada atoe ufafanuzi utakuwa unajichanganya!
Absolutely yes! Ili kutenda haki alipaswa kusema how Roma anaweza kuwa shahidi angainst whom and under which chareges na kwa misingi ipi? Sasa kuropoka tu bila hata kujua ABC ya ICC huo nao ni uzwazwa!
Mleta maada alipaswa adadavue, ndio maana nikwakwambia ni Ngumbalu wa hizi mambo by just looking on what he just wrote!
 
Mshana Jr,
Mnavyoishobokea ICC, wakati inaonyesha wazi hamjui chochote kuhusu Mahakama hii and how it oparate. Kwa ulichoandika ni wazi we ni Mbumbumbu wa ICC! Hujui chochote!
It seems wewe ndiyo mbumbumbu mkuu. soma Rome statute especially Article 7 ambayo imetaja makosa 11 ambayo yakitokea Mahakama ya ICC ina mamlaka ya kusilikiliza kesi kutokana na makosa hayo.
Kosa mojawapo ni "Enforced disappearance of persons" means the arrest, detention or abduction of persons by, or with the authorization, support or acquiescence of, a State or a political organization, followed by a refusal to acknowledge that deprivation of freedom or to give information on the fate or whereabouts of those persons, with the intention of removing them from the protection of the law for a prolonged period of time.
 
Nimeshangazwa na hadhi ya ukimbizi aliyopewa Roma Mkatoliki nchini Marekani. Hii pengine inatokana na kule kukamatwa kwake na wale WASIOJULIKANA kisha katika hali ya kushangaza sana na kwa muda uliopangwa Roma akapatikana akiwa hoi majeruhi na majeraha ya kuteswa.



Jamani jamani umezidi ujuaji brother ahhahahahhahaah.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ujuaji umefikaje hapa dogo
 
wewe ni boya tu, huna lolote, kama unaona mtoa mada kakosea au hajui, kwanini usieleze wewe? kwa hio elimu yako unabaki nayo mpaka utakapokufa? tena ukifa utaulizwa elimu yako iliwasaidiaje wanadamu, utakua huna jibu na kifuatacho ni motoni, huna ishu!
Mtoa maada ndo boya kwa kuleta vitu ambavyo hata havielewi, kisa kujitia unuaji wa kila kitu. Yeye abaki kwenye matunguli huku awaachie wenye weledi wao. Unaleta issue ya ICC halad huelezi how Roma anaweza kuwa shahidi kwa angle ipi na makosa yapi and against who. Huo ndo ugreat thinker, siyo kuleta habari au arguement ambayo haina basis yoyote. Huu ni ujuha!
 
Secretary of State Michael Pompeo on March 15, 2019 announced that the bans will apply to ICC personnel involved in the court’s potential investigation of US citizens and may possibly be used to deter ICC investigations against citizens of US allies.

Jr
Jf search engine
Mkubali mkatae Mshana ni zwazwa anapenda shinda mitandaoni anacopy vitu analeta Jf si ajabu atakuwa anadownload na porn hawa wazee wetu hawa ahahahhaahhahaha COPY CAT MSHANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa maada ndo boya kwa kuleta vitu ambavyo hata havielewi, kisa kujitia unuaji wa kila kitu. Yeye abaki kwenye matunguli huku awaachie wenye weledi wao. Unaleta issue ya ICC halad huelezi how Roma anaweza kuwa shahidi kwa angle ipi na makosa yapi and against who. Huo ndo ugreat thinker, siyo kuleta habari au arguement ambayo haina basis yoyote. Huu ni ujuha!
Ahahhaahhahahahaahhaaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
72 Reactions
Reply
Back
Top Bottom