Je, Rais Samia kutoa kauli ya "Mwanaume ni yule anayejiamini" ni kijembe Kwa Hayati Magufuli?

Zile sio kesi ni uhuni tuu wa washamba wasiojiamini waliopata madaraka wakaigeuza nchi kuwa nchi ya giza, namsifu President Samia kwa kufuta uleis ushenzi
Rais anayeligeuza Jeshi letu la Polisi, iwabambikie kesi raia wake wasio na hatia, Rais huyo hajiamini na ni mwoga kupita kiasi!šŸ˜Ž
 
Rais Samia ametoa kauli yenye utata mkubwa, wakati wa ziara yake huko Usa River, Arusha, hapo majuzi.

Wakati akitoka kwenye semina elekezi ya viongozi waandamizi huko Arusha, alitoa kauli hii wakati anazungumzia ujio wa Godbless Lema, hapa nchini, kuwa "Mwanaume ni yule anayejiamini" na akaendelea keleza kuwa mwanasiasa huyo wa Chama Cha upinzani Cha Chadema, alimwomba kurudi nchini, lakini akaeleza wasiwasi wake kuwa anaogopa kurudi nchini, kutokana na kuhofia usalama wake, pia aliomba afutiwe kesi nyingi alizo ambazo amebambikiwa na Jeshi la Polisi nchini.

Ndipo Rais Samia, alimuhakikishia mwanasiasa huyo wa upinzani, kuwa aondoe wasiwasi na akamuhakikishia usalama wake na kumweleza kuwa anaweza kurudi nchini na kesi zote zilizoko mahalamani atazifuta.

Akeleza zaidi kuwa baada ya kurudi Mwanasiasa huyo wa upinzani, hakuna baya lolote lililomkuta.

Ndipo akatumbukiza kibwagizo hicho Cha "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Ndipo hapo ninapojiuliza, je hiyo kauli ni kijembe kwa Mwendazake?

Kwa kuwa ni katika utawala wake, Hayati Magufuli, ndipo wanasiasa wengi wa vyama vya upinzani, waliomba ukimbizi, nje ya nchi hii, wakiwemo, nikiwataja wachache, Tundu Lissu na Ezekia Wenje.

Kwa kuwa huyo mwanasiasa Lema, aliikimbia nchini mwaka 2020, wakati wa utawala wa Rais wa awamu ya 5, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye aliiendesha nchi kibabe Sana, bila kufuata Katiba ya nchi na ndiye aliyepiga marufuku mikutano yote ya vyama vya kisiasa ya vyama vya upinzani nchini.,na alikwenda mbele zaidi, Kwa kuliagiza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi hao wa upinzani, pale alipojisikia!

Ndipo hapo nimewaza Sana kuhusu kauli hiyo ya "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Je alimlenga nani, kama siyo, Hayati Magufuli?

Kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiyafanya hayo maovu yote, Kwa kutojiamini kwenye siasa.
Acha kupoteza muda kushughulikia Marehemu na Wala hawezi kujibu chochote ni Upuuzi Mtupu. Utamu wa mashauri usikilize pande mbili siyo Upande Mmoja. Magufuli alipokutwa kwenye Power tuliona Nchi ikiendelea kwa Speed Kali baada ya kufariki Mambo yakaanza kusuasua na Wezi wakarudi kazi umeme ukaanza kukatika Upya bei za Kodi za nyumba zikapanda chakula kikapanda Hadi Michango ikarudi mashuleni,Uporaji ardhi ukarudi Tena ,Matapeli wakarudi kwa kazi,

Hao walioenda kuishi Nje ya Nchi walinunuliwa tu wajifanye Wakimbizi wa Kisiasa hawana lolote yule zito akagoma alipogundua hela yenyewe ni ndogo .Waliondoka Nchini kwakuwa walitangaziwa Pesa wakifanya hivyo hawakuwa na tishio lolote.

Halafu usipende kufananisha Manabii wa Mungu na binadamu wa kawaida kumbuka tu Mama ni wakawaida Sana katiba imemuweka pale lakini angeshindana ndani ya CCM kugombea hiyo nafasi asingeweza kupata hata kidogo na Wala asingethubutu kugombea.
Hivyo tuache kufananisha Manabii wa Mungu na binadamu wa kawaida.
 
Rais Samia ametoa kauli yenye utata mkubwa, wakati wa ziara yake huko Usa River, Arusha, hapo majuzi.

Wakati akitoka kwenye semina elekezi ya viongozi waandamizi huko Arusha, alitoa kauli hii wakati anazungumzia ujio wa Godbless Lema, hapa nchini, kuwa "Mwanaume ni yule anayejiamini" na akaendelea keleza kuwa mwanasiasa huyo wa Chama Cha upinzani Cha Chadema, alimwomba kurudi nchini, lakini akaeleza wasiwasi wake kuwa anaogopa kurudi nchini, kutokana na kuhofia usalama wake, pia aliomba afutiwe kesi nyingi alizo ambazo amebambikiwa na Jeshi la Polisi nchini.

Ndipo Rais Samia, alimuhakikishia mwanasiasa huyo wa upinzani, kuwa aondoe wasiwasi na akamuhakikishia usalama wake na kumweleza kuwa anaweza kurudi nchini na kesi zote zilizoko mahalamani atazifuta.

Akeleza zaidi kuwa baada ya kurudi Mwanasiasa huyo wa upinzani, hakuna baya lolote lililomkuta.

Ndipo akatumbukiza kibwagizo hicho Cha "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Ndipo hapo ninapojiuliza, je hiyo kauli ni kijembe kwa Mwendazake?

Kwa kuwa ni katika utawala wake, Hayati Magufuli, ndipo wanasiasa wengi wa vyama vya upinzani, waliomba ukimbizi, nje ya nchi hii, wakiwemo, nikiwataja wachache, Tundu Lissu na Ezekia Wenje.

Kwa kuwa huyo mwanasiasa Lema, aliikimbia nchini mwaka 2020, wakati wa utawala wa Rais wa awamu ya 5, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye aliiendesha nchi kibabe Sana, bila kufuata Katiba ya nchi na ndiye aliyepiga marufuku mikutano yote ya vyama vya kisiasa ya vyama vya upinzani nchini.,na alikwenda mbele zaidi, Kwa kuliagiza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi hao wa upinzani, pale alipojisikia!

Ndipo hapo nimewaza Sana kuhusu kauli hiyo ya "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Je alimlenga nani, kama siyo, Hayati Magufuli?

Kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiyafanya hayo maovu yote, Kwa kutojiamini kwenye siasa.
kwa kuwa mama nae yupo humu tusubiri atakujibu
 
Rais Samia ametoa kauli yenye utata mkubwa, wakati wa ziara yake huko Usa River, Arusha, hapo majuzi.

Wakati akitoka kwenye semina elekezi ya viongozi waandamizi huko Arusha, alitoa kauli hii wakati anazungumzia ujio wa Godbless Lema, hapa nchini, kuwa "Mwanaume ni yule anayejiamini" na akaendelea keleza kuwa mwanasiasa huyo wa Chama Cha upinzani Cha Chadema, alimwomba kurudi nchini, lakini akaeleza wasiwasi wake kuwa anaogopa kurudi nchini, kutokana na kuhofia usalama wake, pia aliomba afutiwe kesi nyingi alizo ambazo amebambikiwa na Jeshi la Polisi nchini.

Ndipo Rais Samia, alimuhakikishia mwanasiasa huyo wa upinzani, kuwa aondoe wasiwasi na akamuhakikishia usalama wake na kumweleza kuwa anaweza kurudi nchini na kesi zote zilizoko mahalamani atazifuta.

Akeleza zaidi kuwa baada ya kurudi Mwanasiasa huyo wa upinzani, hakuna baya lolote lililomkuta.

Ndipo akatumbukiza kibwagizo hicho Cha "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Ndipo hapo ninapojiuliza, je hiyo kauli ni kijembe kwa Mwendazake?

Kwa kuwa ni katika utawala wake, Hayati Magufuli, ndipo wanasiasa wengi wa vyama vya upinzani, waliomba ukimbizi, nje ya nchi hii, wakiwemo, nikiwataja wachache, Tundu Lissu na Ezekia Wenje.

Kwa kuwa huyo mwanasiasa Lema, aliikimbia nchini mwaka 2020, wakati wa utawala wa Rais wa awamu ya 5, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye aliiendesha nchi kibabe Sana, bila kufuata Katiba ya nchi na ndiye aliyepiga marufuku mikutano yote ya vyama vya kisiasa ya vyama vya upinzani nchini.,na alikwenda mbele zaidi, Kwa kuliagiza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi hao wa upinzani, pale alipojisikia!

Ndipo hapo nimewaza Sana kuhusu kauli hiyo ya "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Je alimlenga nani, kama siyo, Hayati Magufuli?

Kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiyafanya hayo maovu yote, Kwa kutojiamini kwenye siasa.
Vyote sawa.
 
Rais Samia ametoa kauli yenye utata mkubwa, wakati wa ziara yake huko Usa River, Arusha, hapo majuzi.

Wakati akitoka kwenye semina elekezi ya viongozi waandamizi huko Arusha, alitoa kauli hii wakati anazungumzia ujio wa Godbless Lema, hapa nchini, kuwa "Mwanaume ni yule anayejiamini" na akaendelea keleza kuwa mwanasiasa huyo wa Chama Cha upinzani Cha Chadema, alimwomba kurudi nchini, lakini akaeleza wasiwasi wake kuwa anaogopa kurudi nchini, kutokana na kuhofia usalama wake, pia aliomba afutiwe kesi nyingi alizo ambazo amebambikiwa na Jeshi la Polisi nchini.

Ndipo Rais Samia, alimuhakikishia mwanasiasa huyo wa upinzani, kuwa aondoe wasiwasi na akamuhakikishia usalama wake na kumweleza kuwa anaweza kurudi nchini na kesi zote zilizoko mahalamani atazifuta.

Akeleza zaidi kuwa baada ya kurudi Mwanasiasa huyo wa upinzani, hakuna baya lolote lililomkuta.

Ndipo akatumbukiza kibwagizo hicho Cha "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Ndipo hapo ninapojiuliza, je hiyo kauli ni kijembe kwa Mwendazake?

Kwa kuwa ni katika utawala wake, Hayati Magufuli, ndipo wanasiasa wengi wa vyama vya upinzani, waliomba ukimbizi, nje ya nchi hii, wakiwemo, nikiwataja wachache, Tundu Lissu na Ezekia Wenje.

Kwa kuwa huyo mwanasiasa Lema, aliikimbia nchini mwaka 2020, wakati wa utawala wa Rais wa awamu ya 5, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye aliiendesha nchi kibabe Sana, bila kufuata Katiba ya nchi na ndiye aliyepiga marufuku mikutano yote ya vyama vya kisiasa ya vyama vya upinzani nchini.,na alikwenda mbele zaidi, Kwa kuliagiza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi hao wa upinzani, pale alipojisikia!

Ndipo hapo nimewaza Sana kuhusu kauli hiyo ya "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Je alimlenga nani, kama siyo, Hayati Magufuli?

Kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiyafanya hayo maovu yote, Kwa kutojiamini kwenye siasa.

Sijaona point yako
 
........Lema hakujiamini hata alipoambiwa atafutiwa kesi...akauliza mara mbilimbili!

Nimewaza tu.
 
Rais Samia ametoa kauli yenye utata mkubwa, wakati wa ziara yake huko Usa River, Arusha, hapo majuzi.

Wakati akitoka kwenye semina elekezi ya viongozi waandamizi huko Arusha, alitoa kauli hii wakati anazungumzia ujio wa Godbless Lema, hapa nchini, kuwa "Mwanaume ni yule anayejiamini" na akaendelea keleza kuwa mwanasiasa huyo wa Chama Cha upinzani Cha Chadema, alimwomba kurudi nchini, lakini akaeleza wasiwasi wake kuwa anaogopa kurudi nchini, kutokana na kuhofia usalama wake, pia aliomba afutiwe kesi nyingi alizo ambazo amebambikiwa na Jeshi la Polisi nchini.

Ndipo Rais Samia, alimuhakikishia mwanasiasa huyo wa upinzani, kuwa aondoe wasiwasi na akamuhakikishia usalama wake na kumweleza kuwa anaweza kurudi nchini na kesi zote zilizoko mahalamani atazifuta.

Akeleza zaidi kuwa baada ya kurudi Mwanasiasa huyo wa upinzani, hakuna baya lolote lililomkuta.

Ndipo akatumbukiza kibwagizo hicho Cha "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Ndipo hapo ninapojiuliza, je hiyo kauli ni kijembe kwa Mwendazake?

Kwa kuwa ni katika utawala wake, Hayati Magufuli, ndipo wanasiasa wengi wa vyama vya upinzani, waliomba ukimbizi, nje ya nchi hii, wakiwemo, nikiwataja wachache, Tundu Lissu na Ezekia Wenje.

Kwa kuwa huyo mwanasiasa Lema, aliikimbia nchini mwaka 2020, wakati wa utawala wa Rais wa awamu ya 5, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye aliiendesha nchi kibabe Sana, bila kufuata Katiba ya nchi na ndiye aliyepiga marufuku mikutano yote ya vyama vya kisiasa ya vyama vya upinzani nchini.,na alikwenda mbele zaidi, Kwa kuliagiza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi hao wa upinzani, pale alipojisikia!

Ndipo hapo nimewaza Sana kuhusu kauli hiyo ya "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Je alimlenga nani, kama siyo, Hayati Magufuli?

Kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiyafanya hayo maovu yote, Kwa kutojiamini kwenye siasa.
Maelezo marefu ujinga mtupu
 
Rais Samia ametoa kauli yenye utata mkubwa, wakati wa ziara yake huko Usa River, Arusha, hapo majuzi.

Wakati akitoka kwenye semina elekezi ya viongozi waandamizi huko Arusha, alitoa kauli hii wakati anazungumzia ujio wa Godbless Lema, hapa nchini, kuwa "Mwanaume ni yule anayejiamini" na akaendelea keleza kuwa mwanasiasa huyo wa Chama Cha upinzani Cha Chadema, alimwomba kurudi nchini, lakini akaeleza wasiwasi wake kuwa anaogopa kurudi nchini, kutokana na kuhofia usalama wake, pia aliomba afutiwe kesi nyingi alizo ambazo amebambikiwa na Jeshi la Polisi nchini.

Ndipo Rais Samia, alimuhakikishia mwanasiasa huyo wa upinzani, kuwa aondoe wasiwasi na akamuhakikishia usalama wake na kumweleza kuwa anaweza kurudi nchini na kesi zote zilizoko mahalamani atazifuta.

Akeleza zaidi kuwa baada ya kurudi Mwanasiasa huyo wa upinzani, hakuna baya lolote lililomkuta.

Ndipo akatumbukiza kibwagizo hicho Cha "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Ndipo hapo ninapojiuliza, je hiyo kauli ni kijembe kwa Mwendazake?

Kwa kuwa ni katika utawala wake, Hayati Magufuli, ndipo wanasiasa wengi wa vyama vya upinzani, waliomba ukimbizi, nje ya nchi hii, wakiwemo, nikiwataja wachache, Tundu Lissu na Ezekia Wenje.

Kwa kuwa huyo mwanasiasa Lema, aliikimbia nchini mwaka 2020, wakati wa utawala wa Rais wa awamu ya 5, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye aliiendesha nchi kibabe Sana, bila kufuata Katiba ya nchi na ndiye aliyepiga marufuku mikutano yote ya vyama vya kisiasa ya vyama vya upinzani nchini.,na alikwenda mbele zaidi, Kwa kuliagiza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi hao wa upinzani, pale alipojisikia!

Ndipo hapo nimewaza Sana kuhusu kauli hiyo ya "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Je alimlenga nani, kama siyo, Hayati Magufuli?

Kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiyafanya hayo maovu yote, Kwa kutojiamini kwenye siasa.
Mkuu unataka kuleta taharuki humu šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£!!!
 
Linapokuja swala la kulinda madaraka hakuna anayejiamini.

Hata yeye alimpa za uso Ndugai ,pole pole, lukuvi na prof. Kabudi.

Kalemani nae akala buyu.

Wote hao ni woga tu.

Sisi wenyewe hapa tunaandika tu lakini tunasali yasije tukuta siku moja.
Wew jamaa kumbe huwa una akili lakini unajitoa ufahamu. Uko sahihi sana kwenye hili
 
Mwamba aliyesimama kidete dhidi ya makampuni ya madini yaliyokuwa yakituibia mchana kweupe utasema alikuwa hajiamini?
Mabeberu waliposema tujifungie wakati wa covid19 mwamba akagoma; hivi unataka kujiamini gani kuzidi hapo? Wewe unaweza kuwagomea mabeberu kweli?
Nyie ndiyo mnaomwita yule Ibilisi shujaa wenu
 
Acha kupoteza muda kushughulikia Marehemu na Wala hawezi kujibu chochote ni Upuuzi Mtupu. Utamu wa mashauri usikilize pande mbili siyo Upande Mmoja. Magufuli alipokutwa kwenye Power tuliona Nchi ikiendelea kwa Speed Kali baada ya kufariki Mambo yakaanza kusuasua na Wezi wakarudi kazi umeme ukaanza kukatika Upya bei za Kodi za nyumba zikapanda chakula kikapanda Hadi Michango ikarudi mashuleni,Uporaji ardhi ukarudi Tena ,Matapeli wakarudi kwa kazi,

Hao walioenda kuishi Nje ya Nchi walinunuliwa tu wajifanye Wakimbizi wa Kisiasa hawana lolote yule zito akagoma alipogundua hela yenyewe ni ndogo .Waliondoka Nchini kwakuwa walitangaziwa Pesa wakifanya hivyo hawakuwa na tishio lolote.

Halafu usipende kufananisha Manabii wa Mungu na binadamu wa kawaida kumbuka tu Mama ni wakawaida Sana katiba imemuweka pale lakini angeshindana ndani ya CCM kugombea hiyo nafasi asingeweza kupata hata kidogo na Wala asingethubutu kugombea.
Hivyo tuache kufananisha Manabii wa Mungu na binadamu wa kawaida.
Wewe ni mjinga sana, yaani unamfanisha Ibilisi Jiwe na nabii????
 
Unamaansha Membe huyu huyu wa goli la dakika ya 89!!? Tena hata Lisu tu alimzidi kiushawishi sembuse kwa MAGUFULI!
Kuwa na Rais kama Jiwe itakuwa kuna kitu Tanzania kana nchi tulikosea mahala so tukapewa adhabu, so baada kutumikia adhabu Mungu akilipiga chini lile Ibilisi
 
Back
Top Bottom