Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,486
- 30,166
- Thread starter
- #21
Rais anayeligeuza Jeshi letu la Polisi, iwabambikie kesi raia wake wasio na hatia, Rais huyo hajiamini na ni mwoga kupita kiasi!šZile sio kesi ni uhuni tuu wa washamba wasiojiamini waliopata madaraka wakaigeuza nchi kuwa nchi ya giza, namsifu President Samia kwa kufuta uleis ushenzi