Rais Samia aache kukwepa majukumu

econonist

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
15,804
21,776
Wakati akiwa kwenye mkutano wa JWTZ, Rais Samia alijulishwa na Mkuu wa majeshi Jenerali Jacob Mkunda kuwa Kuna wakimbizi wameteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi.

Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.

Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .

Namuomba Rais asitumie vyama vya Upinzani Kama Chaka la kujifichia, kwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa. Yeye ajikite kushughulikia kauli ya CDF kuhusu wakimbizi kuteuliwa kwenye nafasi za kisiasa. Aache longolongo.
 
Mnamuonea!!

Hakujiandaa kuwa Rais Wala hakua na vipaumbele vyake, malengo na hulka imekuja baada ya kupata!!

Ndio maana amepwaya coz akili haikujiandaa!

CCM ingemsaidia kumpumzisha lakini Kwa ujinga tulioukumbatia was kofia mbili ya uenyekiti na urais in one, inafanya process kuwa ngumu Hadi dark arts zitumike ndio tuweke mambo sawa!!


So sad!
 
Mnamuonea!!

Hakujiandaa kuwa Rais Wala hakua na vipaumbele vyake,malengo na hulka imekuja baada ya kupata!!

Ndio maana amepwaya coz akili haikujiandaa!

CCM ingemsaidia kumpumzisha lakini Kwa ujinga tulioukumbatia was kofia mbili ya uenyekiti na urais in one,inafanya process kuwa ngumu Hadi dark arts zitumike ndio tuweke mambo sawa!!


So sad!

Busara ya kawaida ni kwamba Kama anaona hawezi kwanini asikae pembeni.
 
Rais Samia Ni dhaifu sna Ila anapendwa sna na wengi

Hili halihitaji tafiti
Je kwanin rais Samia Ana kubalika sna
Ana ziara Mwanza sasa kuna gari inapita mtaani kuwapa taarifa Wananchi juu ya ujio wake, hizo kelele sasa utadhani kuna promotion ya pombe!

Huyu Mama hakubaliki Tanganyika, sijawai kuona ziara ya Rais inatangazwa kana kwamba Wananchi hawamjui Rais wao!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo sio ututsi wala unyarwanda tatizo ninaina ya katiba iliyopo je inamsimia ipasavyo!!?na Dola inaweza mfanya chochote Rais akivunja katiba ya nchi au waziri mkuu!!?

Hapo ndio ishu!mi Sina shida hata kama mzungu akiwa Rais Tanzania lakini katiba ina meno ya kumfanya chochote kiongozi yeyote akikiuka katiba!!?
Hapo alibugi Sana. Unampa mnyarwaanda nafasi nyeti Kama hiyo. Hayupo serious.
Hapo alibugi Sana. Unampa mnyarwaanda nafasi nyeti Kama hiyo. Hayupo serious.
 
Back
Top Bottom