Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

View attachment 1061459
Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.
Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .
Wenye akili wamenielewa .
Kuna umuhimu kwa wabunge wetu angalau kuwa graduate maana wapo shallow supstair
 
Mimi ninachoweza kusema ni
Sifa za kuwa mbunge ziangaliwe.
Hakuna haja ya kutafuta mchawi ni nani.

Huwezi kuwa na bunge ambalo ili uwe mbunge eti sifa iwe ni kujua kusoma na kuandika alafu unaingia bungeni kuisimamia serikali.

Haya ni maigizo ambayo kama hayataisha, maendeleo tutaishia kuyaona kwenye tamthilia za kifilipino

Kwani wale wasomi waliomo mle huwa wanakuwa tofauti na hao wa stud 7? Mimi nadhani issue kinda ni chama, mtu anatakiwa kutoa maoni kufuata maelekezo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulinzi uongezwe huko kwenye ujenzi wa SGR na Stigler HEPD tujue raslimali zinazotokana na eneo linalo husika na ujenzi ni kiasi gani na taifa linafaidika vipi nazo?. Mfano magogo ya miti itakayo katwa.

Yasemekana wachina waliojenga TAZARA baadhi yao ni matajiri wa kutisha huko china kwa utajiri walioutoa kwenye raslimali walizopata maeneo yale yaliyopitiwa na ujenzi.

Tuwe macho tusizalishe matajiri wengineWaturuki, Wabeligiji na Waarabu contractors.

Yuko jamaa mmoja alijenga nyumba yake hakuingia gharama za mchanga. Mchanga aliupata kwenye eneo la ujenzi alipochimba mashimo ya maji taka.

Tuone sasa magogo ya miti itakayo katwa selous yatasaidia vipi kupunguza gharama za ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme.

Yawezekana uranium iko jirani hapo yote hayo na mengineyo serikali inayojali watu wake iyaangalie..


Anzidha siredi yako k.enge wewe
 
Ulinzi wa aina gani,wakati wanaume wakijani bungeni walishamyangaya mkoba wa U CAG?
Walichofanya ni kumuaribu kisaikologia kwa kumkataa kufanya kazi nae.
Tena wamesubiri amewakirisha report yake kwa Rais Magu,ndio wakaaribu defence mechanism za ubongo wake.Labda Raisi amuonee huruma kwa kumpa kazi ya ubalozi.
 
View attachment 1061459

Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.

Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .

Wenye akili wamenielewa .
Unayemtuhumu ndiye anatakiwa kumpa ulinzi! Mawazo yako huwa siyaelewi
 
Ulinzi uongezwe huko kwenye ujenzi wa SGR na Stigler HEPD tujue raslimali zinazotokana na eneo linalo husika na ujenzi ni kiasi gani na taifa linafaidika vipi nazo?. Mfano magogo ya miti itakayo katwa.

Yasemekana wachina waliojenga TAZARA baadhi yao ni matajiri wa kutisha huko china kwa utajiri walioutoa kwenye raslimali walizopata maeneo yale yaliyopitiwa na ujenzi.

Tuwe macho tusizalishe matajiri wengineWaturuki, Wabeligiji na Waarabu contractors.

Yuko jamaa mmoja alijenga nyumba yake hakuingia gharama za mchanga. Mchanga aliupata kwenye eneo la ujenzi alipochimba mashimo ya maji taka.

Tuone sasa magogo ya miti itakayo katwa selous yatasaidia vipi kupunguza gharama za ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme.

Yawezekana uranium iko jirani hapo yote hayo na mengineyo serikali inayojali watu wake iyaangalie..
Ili suala linatakiwa kufunguliwa Thread yake sio ya kuacha ivi ivi. Umenikumbusha vitu vingi Sana. Ule ujenzi kuna magogo mengi yataondoka sana pale. Bila kujua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Mungu tu ndie anaemlinda CAG wetu kwa sasa.
WanaCCM wengi wa hii Awamu wanahamu ya huyu Mzee aokotwe kwenye kiroba.
Ivi tulishawahi kujiuliza mawakili kama kina Peter Kibatala na kina Jebra Kambole na wengine wanalindwa na nani? Na wanafanya mambo ya hatari hata ya Prof. Assaad madogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo anaamini katika Mungu na ndio anayemlinda na ndio maana huwa anasimama katika ukweli,yeye ndie aliyetoa kauli ya Bunge NI dhaifu na akaendelea kuisimamia kauli yake hata mbele ya "izrael watoa roho" hakuikataa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulinzi wa aina gani,wakati wanaume wakijani bungeni walishamyangaya mkoba wa U CAG?
Walichofanya ni kumuaribu kisaikologia kwa kumkataa kufanya kazi nae.
Tena wamesubiri amewakirisha report yake kwa Rais Magu,ndio wakaaribu defence mechanism za ubongo wake.Labda Raisi amuonee huruma kwa kumpa kazi ya ubalozi.

Naamini humfahamu Prof Assad,aliotufundisha UDSM tunamjua vizuri sana ndio maana hata alipoitwa na Kamati ya Maadili bado alisimamia msimamo wake,unadhani alikuwa hajui nini kitafuata? Ogopa sana mtu anaemcha Mungu kwa dhati na akiwa Msomi wa kiwango cha Prof Assad,sidhani kama hata anahitaji hizo teuzi za Ubalozi!
 
Ulinzi uongezwe huko kwenye ujenzi wa SGR na Stigler HEPD tujue raslimali zinazotokana na eneo linalo husika na ujenzi ni kiasi gani na taifa linafaidika vipi nazo?. Mfano magogo ya miti itakayo katwa.

Yasemekana wachina waliojenga TAZARA baadhi yao ni matajiri wa kutisha huko china kwa utajiri walioutoa kwenye raslimali walizopata maeneo yale yaliyopitiwa na ujenzi.

Tuwe macho tusizalishe matajiri wengineWaturuki, Wabeligiji na Waarabu contractors.

Yuko jamaa mmoja alijenga nyumba yake hakuingia gharama za mchanga. Mchanga aliupata kwenye eneo la ujenzi alipochimba mashimo ya maji taka.

Tuone sasa magogo ya miti itakayo katwa selous yatasaidia vipi kupunguza gharama za ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme.

Yawezekana uranium iko jirani hapo yote hayo na mengineyo serikali inayojali watu wake iyaangalie..
Haki tena, hii ni aibu kabisa......embu kuwa muungwana basi, jitaidi kuficha NYETI ZAKO ZA UBONGO hata kwa kukaa kimya tu.

"Muungwana akivuliwa nguo, uchutama...."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1061459

Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.

Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .

Wenye akili wamenielewa .
Red guard wa bavicha si mpo? Mlindeni.
 
Back
Top Bottom