Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

View attachment 1061459

Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.

Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .

Wenye akili wamenielewa .
Kwa hiyo hata hela ya Taxi wamegoma kumlipia kama wanavyomkomoa Tundu Lissu?!
 
Bongo tu hii mzee baba..kila nikiona ID yako nakumbuka uliwah andika ccm iorodheshwe kwenye vikundi vya kigaidi zaidi duniani....ninachekaga mpk leo
CCM hii imepoteza kabisa ushawishi katika jamii, sasa hivi watu wakiwaona UVCCM wanaogopa na kujifungia milango yao, Watanzania wengine wanathubutu hata Kuwafananisha na INTERAHAMWE.
 
Hadi sasa Prof Assad kaacha historia ya kukumbukwa sana katika wadhifa wake.

Kwa maoni yangu asubiri tu maamuzi ya mamlaka iliyomteua na aendelee kufanya kazi yake kama kawaida akisimamia kile anachokiamini.

Endapo mamlaka ya uteuzi wake ikitengua uteuzi, akapumzike na atunze heshima yake kuliko na kufikiria kuvunja msimamo wake ili awafurahishe wanaotaka kufurahiswa.

Kwa watu wenye misimamo kama Prof Assad ni vigumu sana kufanya kazi kwenye utawala huu wa Awamu ya 5.
 
Elimu yako ni ipi mkuu?mbona upo mweupe sana kichwni ww...!nini shid?hata km ww ni HOHEHAHE..hupaswi kuwaza ujinga namna hyo ww ...mxiew

Elimu yangu ni ya uProf wa kunanga bunge la nchi na serikali yangu huko radio UNO.
Hohehahe ni yule anaye shauri ulinzi kwa CAG. Huo ulinzi anapewa na nani dhidi ya nani??

Hii haina tofauti na Kiongozi kama PM mstaafu kuhamia upinzani akashiriki maandamano batili, yule mlinzi wake atapambana na efefiyuu wanaotawanya waandananaji ama atamuacha boss wake achezee virungu na mabomo ya machozi?

Demokrasia wakati mwengine inaruhusu mambo ya kijingajinga na hovyo sana. Mtu kama Maalim Seif ama Sumai nao wanalindwa huku wanaipinga serikali inayowapa ulinzi wa bure. Ifike mahali sheria ipitishwe ukishafikia cheo flani ni marufuku kujishughulisha na upinzani. Ukikaidi unashughulikiwa kama gharama kwa taifa.
 
Muwe mna review mambo kabla ya ku comment ye aliohojiwa na DW kwamba ripot zake zinabaini madudu kwann hazichukuliwi hatua ndo akajibu bunge ndo lenye kazi ya kusimamia serikali halifanyi hivo kwakuwa ni dhaifu
Lakini swali langu, Yeye Assad hana imani na Bunge sbb ni dhaifu, sasa bunge litafanya naye vipi kazi kama haliamini?

NISAMEHE LAKINI!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoka kwenye hadhi ya Bunge adhim la Jamhuri ya Muungano na hatimae kufanywa Rubber Stamp Parliament in just 3yrs.

Hii Awamu inatupeleka kwenda kuwa "Jamhuri ya Ndizi".
 
Foolish argument
Elimu yangu ni ya uProf wa kunanga bunge la nchi na serikali yangu huko radio UNO.
Hohehahe ni yule anaye shauri ulinzi kwa CAG. Huo ulinzi anapewa na nani dhidi ya nani??

Hii haina tofauti na Kiongozi kama PM mstaafu kuhamia upinzani akashiriki maandamano batili, yule mlinzi wake atapambana na efefiyuu wanaotawanya waandananaji ama atamuacha boss wake achezee virungu na mabomo ya machozi?

Demokrasia wakati mwengine inaruhusu mambo ya kijingajinga na hovyo sana. Mtu kama Maalim Seif ama Sumai nao wanalindwa huku wanaipinga serikali inayowapa ulinzi wa bure. Ifike mahali sheria ipitishwe ukishafikia cheo flani ni marufuku kujishughulisha na upinzani. Ukikaidi unashughulikiwa kama gharama kwa taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muwe mna review mambo kabla ya ku comment ye aliohojiwa na DW kwamba ripot zake zinabaini madudu kwann hazichukuliwi hatua ndo akajibu bunge ndo lenye kazi ya kusimamia serikali halifanyi hivo kwakuwa ni dhaifu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana nawe kabisa! Na najua kweli bunge ni dhaifu, lakini swali langu, kama Bunge huwa linafanyia kazi reports za CAG kuishauri Serikali, litaendelea vipi na CAG asiyeliamini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom