Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

View attachment 1061459

Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.

Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .

Wenye akili wamenielewa .
Kwani wewe hutoshi kuwa mlinzi wake wa usiku??
 
View attachment 1061459

Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.

Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .

Wenye akili wamenielewa .
Hata tusio na akili kaka tumeelewa BT shida in NANI WA KUMUONGEZEA HUO ULINZI?...au ulimaanisha AJIONGEZEE??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulinzi uongezwe huko kwenye ujenzi wa SGR na Stigler HEPD tujue raslimali zinazotokana na eneo linalo husika na ujenzi ni kiasi gani na taifa linafaidika vipi nazo?. Mfano magogo ya miti itakayo katwa.

Yasemekana wachina waliojenga TAZARA baadhi yao ni matajiri wa kutisha huko china kwa utajiri walioutoa kwenye raslimali walizopata maeneo yale yaliyopitiwa na ujenzi.

Tuwe macho tusizalishe matajiri wengineWaturuki, Wabeligiji na Waarabu contractors.

Yuko jamaa mmoja alijenga nyumba yake hakuingia gharama za mchanga. Mchanga aliupata kwenye eneo la ujenzi alipochimba mashimo ya maji taka.

Tuone sasa magogo ya miti itakayo katwa selous yatasaidia vipi kupunguza gharama za ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme.

Yawezekana uranium iko jirani hapo yote hayo na mengineyo serikali inayojali watu wake iyaangalie..
Puru we.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom