Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,930
Suluhu ya kudumu ni watu walio wengi kama sio wote kupata elimu ya juu ya kweli.Mimi ninachoweza kusema ni
Sifa za kuwa mbunge ziangaliwe.
Hakuna haja ya kutafuta mchawi ni nani.
Huwezi kuwa na bunge ambalo ili uwe mbunge eti sifa iwe ni kujua kusoma na kuandika alafu unaingia bungeni kuisimamia serikali.
Haya ni maigizo ambayo kama hayataisha, maendeleo tutaishia kuyaona kwenye tamthilia za kifilipino