Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

Mimi ninachoweza kusema ni
Sifa za kuwa mbunge ziangaliwe.
Hakuna haja ya kutafuta mchawi ni nani.

Huwezi kuwa na bunge ambalo ili uwe mbunge eti sifa iwe ni kujua kusoma na kuandika alafu unaingia bungeni kuisimamia serikali.

Haya ni maigizo ambayo kama hayataisha, maendeleo tutaishia kuyaona kwenye tamthilia za kifilipino
Suluhu ya kudumu ni watu walio wengi kama sio wote kupata elimu ya juu ya kweli.
 
Maskini hana makuu mzee wa watu. Hawa wauaji wanaweza kumpa hata sumu.

View attachment 1061459

Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.

Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .

Wenye akili wamenielewa .
 
View attachment 1061459

Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.

Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .

Wenye akili wamenielewa .

Kwani umeambiwa au ameshatangaza kuwa Maisha yake yako hatarini? Kuna Watu ni ' Wapumbavu ' hadi mnakera. Hivi mnadhani kama kweli Watu wangemtaka angekuwa anaishi hadi hivi leo? Na kumbukeni Matukio yoyote yale ya ' Kimafia / Kijasusi ' huwa hayafanywi bila ya Kwanza kufanya ' Risk Assessment ' juu ya tukio fulani na likionekana ' Timing ' yake inaweza ikazidisha matatizo zaidi wenye Kazi zao huuchuna huku wakijipanga kwa mbinu zingine za Kumuondoa Mtu taratibu na kwa namna nyingine. Wangapi walikuwa na Ulinzi ' Kabambe ' lakini bado Wenye Kazi zao waliweza Kukamilisha Majukumu yao Kwao na wengine leo wako Mavumbini huku wengine ' Viharusi ' tu vikiwatesa na Afya zao Kuzoroteka? Na mara nyingi Matukio ya Kimafia / Kijasusi huwa yanafanywa na yanatekelezeka kiurahisi pale ambapo ule ' Mvumo ' unakuwa umepungua au umepotea kabisa na Watu hawakumbuki au hawaliongelei tena. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Kuendelea ni lazima kwakuwa ni jukumu lake kuisimamia serikali soma majukumu ya bunge ambayo hayawezi kutekelezwa bila report ya CAG mfano kutunga sheria za rasilimali kumetokana report zake labda bunge liache kufanya kazi wakae nyumban
Nakubaliana nawe kabisa! Na najua kweli bunge ni dhaifu, lakini swali langu, kama Bunge huwa linafanyia kazi reports za CAG kuishauri Serikali, litaendelea vipi na CAG asiyeliamini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuendelea ni lazima kwakuwa ni jukumu lake kuisimamia serikali soma majukumu ya bunge ambayo hayawezi kutekelezwa bila report ya CAG mfano kutunga sheria za rasilimali kumetokana report zake labda bunge liache kufanya kazi wakae nyumban

Sent using Jamii Forums mobile app
Yote nakuelewa, lakini watafanya kazi vipi watu wasiominiana huku mmoja akiwa na mtazamo kuwa mwenzake ana mdharau?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1061459

Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.

Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .

Wenye akili wamenielewa .
Ni sawa, lakini KAMA MTOA ULINZI NDO ADUI YAKO, kuna ulinzi hapo?!
 
awekewe ulinzi wa Mungu tu .
NI KWELI....
BY THE WAY... Najua kwenye kumkagua yeye WANAWEZA wanaweka Yao, kwamba na yeye ana madudu...WASISAHAU KUWA MADUDU YAKE HAYATOI UHALALI WA MADUDU YAO.... MADUDU YAKE HAYATAONYESHA 1.5T IMEENDA WAPI..!! MADUDU YAKE HAYATALETA SAREBZA POLISI...!!! etc
 
Back
Top Bottom