Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

Nakubaliana nawe kabisa! Na najua kweli bunge ni dhaifu, lakini swali langu, kama Bunge huwa linafanyia kazi reports za CAG kuishauri Serikali, litaendelea vipi na CAG asiyeliamini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Asiye na imani na CAG ni Ndugai na vibaraka anaowatumikia , Si bunge hata chembe
 
Elimu yangu ni ya uProf wa kunanga bunge la nchi na serikali yangu huko radio UNO.
Hohehahe ni yule anaye shauri ulinzi kwa CAG. Huo ulinzi anapewa na nani dhidi ya nani??

Hii haina tofauti na Kiongozi kama PM mstaafu kuhamia upinzani akashiriki maandamano batili, yule mlinzi wake atapambana na efefiyuu wanaotawanya waandananaji ama atamuacha boss wake achezee virungu na mabomo ya machozi?

Demokrasia wakati mwengine inaruhusu mambo ya kijingajinga na hovyo sana. Mtu kama Maalim Seif ama Sumai nao wanalindwa huku wanaipinga serikali inayowapa ulinzi wa bure. Ifike mahali sheria ipitishwe ukishafikia cheo flani ni marufuku kujishughulisha na upinzani. Ukikaidi unashughulikiwa kama gharama kwa taifa.


hhaahhahaa...ww ht wasukuma hawana uzwazwa km wko..nyani wa Ihefu ww
 
Kukataa kufanyakazi na CAG maana yake bunge halitaki reoort za ofisi ya CAG na si Assad kama mtu. Kwa maana hiyo, baada ya budget, taarifa ya matumizi ya taasisi za umma hazitopokelewa bungeni kama mrejesho. Hii maana yake matumizi yote yanayofanyika kiholela hayatakuwa na ukaguzi na hili ndio lengo takwa la wenye kugawa pesa kiholela. Wabunge wameingua kichwa kichwa bila kuelewa kinacho endelea. Kwa ufupi ni kuwa tunatakiwa kuishi kifalme. Pesa ikitolewa na mfalne au mtu wake hakuna kukagua au kuhoji. Huko ndiko kunakotakiwa kwenda. Taasisi ya CAG inafutwa kiaina kupitia azimio la bunge. Mchelea mwana kulia mwishowe hulia yeye. Wabunge kumbukeni ubunge una mwisho. Vizazi vyenu vitakuja kulia kwa maamuzi yenu yenu ya sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zwazwa, ninyi ndio wakina NDIOOOOO!! Inasikitisha........
Elimu yangu ni ya uProf wa kunanga bunge la nchi na serikali yangu huko radio UNO.
Hohehahe ni yule anaye shauri ulinzi kwa CAG. Huo ulinzi anapewa na nani dhidi ya nani??

Hii haina tofauti na Kiongozi kama PM mstaafu kuhamia upinzani akashiriki maandamano batili, yule mlinzi wake atapambana na efefiyuu wanaotawanya waandananaji ama atamuacha boss wake achezee virungu na mabomo ya machozi?

Demokrasia wakati mwengine inaruhusu mambo ya kijingajinga na hovyo sana. Mtu kama Maalim Seif ama Sumai nao wanalindwa huku wanaipinga serikali inayowapa ulinzi wa bure. Ifike mahali sheria ipitishwe ukishafikia cheo flani ni marufuku kujishughulisha na upinzani. Ukikaidi unashughulikiwa kama gharama kwa taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukataa kufanyakazi na CAG maana yake bunge halitaki reoort za ofisi ya CAG na si Assad kama mtu. Kwa maana hiyo, baada ya budget, taarifa ya matumizi ya taasisi za umma hazitopokelewa bungeni kama mrejesho. Hii maana yake matumizi yote yanayofanyika kiholela hayatakuwa na ukaguzi na hili ndio lengo takwa la wenye kugawa pesa kiholela. Wabunge wameingua kichwa kichwa bila kuelewa kinacho endelea. Kwa ufupi ni kuwa tunatakiwa kuishi kifalme. Pesa ikitolewa na mfalne au mtu wake hakuna kukagua au kuhoji. Huko ndiko kunakotakiwa kwenda. Taasisi ya CAG inafutwa kiaina kupitia azimio la bunge. Mchelea mwana kulia mwishowe hulia yeye. Wabunge kumbukeni ubunge una mwisho. Vizazi vyenu vitakuja kulia kwa maamuzi yenu yenu ya sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naked truth !
 
View attachment 1061459

Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.

Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .

Wenye akili wamenielewa .

My friend assad hafahamu mengi kwa kuwa yeye hafanyi field work za audit, yeye anatoa scope na kupokea ripoti na kutia nakshi, wanaojua mengi madudu ya nchi hii ni wafanyakazi ktk ofisi ya CAG.SO nadhani ungesema ofisi yote ya CAG ipewe ulinzi, kumbuka bunge halikusema halifanyi kazi na ofisi ya CAG bali lilintaja CAG kwa jina la Assad kuwa halifanyi nae kazi, aliyedharau bunge syo ofisi ya CAG bali CAG profesa assad.
 
Elimu yangu ni ya uProf wa kunanga bunge la nchi na serikali yangu huko radio UNO.
Hohehahe ni yule anaye shauri ulinzi kwa CAG. Huo ulinzi anapewa na nani dhidi ya nani??

Hii haina tofauti na Kiongozi kama PM mstaafu kuhamia upinzani akashiriki maandamano batili, yule mlinzi wake atapambana na efefiyuu wanaotawanya waandananaji ama atamuacha boss wake achezee virungu na mabomo ya machozi?

Demokrasia wakati mwengine inaruhusu mambo ya kijingajinga na hovyo sana. Mtu kama Maalim Seif ama Sumai nao wanalindwa huku wanaipinga serikali inayowapa ulinzi wa bure. Ifike mahali sheria ipitishwe ukishafikia cheo flani ni marufuku kujishughulisha na upinzani. Ukikaidi unashughulikiwa kama gharama kwa taifa.

Utakuwa mjinga kupita kiasi, siku ccm ikiwa chama cha upinzani hao wenye vyeo fulani watahama ccm?
 
Back
Top Bottom