Je, Ni upi uliokuwa mwelekeo sahihi wa nchi kati ya CCM ya Kikwete na CCM ya Magufuli na iliyopo sasa?

Trable

JF-Expert Member
Jan 3, 2023
1,783
3,281
Kipindi cha uongozi wa Kikwete nchi ilikuwa na mwelekeo wake hali kadhalika kipindi cha Magufuli kulikuwa na mwelekeo mwingine mpya ambao nadhani kila mtu ulimuweka katika mazingira ambayo hakuyazoea

Kipindi cha JK, mafisadi waliogopewa kuguswa kwa sababu ya serikali kuhofia kuwa nchi itayumba iwapo mafisadi wataguswa! Lakini ni kipindi pia ambacho nchi ilishihudia ufisadi mkubwa na ufujaji wa mali za wananchi, huu nao ulikuwa ni mfumo wa aina yake

Tofauti na ilivyokuwa kwa Magufuli, Serikali yake haikuangalia madhara iwapo mafisadi na wahujumu uchumi wakiguswa

Hiyo yote ni kujaribu kuipeleka nchi katika mwelekeo mpya! Na hoja inaanzia hapo!

Kutokana na sababu zinazotelewa kila mara na viongozi wetu mbalimbali ktk Karibu kila idara kuwa wanajenga mifumo iliyoharibiwa!


Maana yake ni kwamba, mifumo iliyoharibiwa na serikali iliyoongozawa na JPM inayo jengwa sasa, bila shaka ni ili mifumo ya enzi ya JK ambayo kila mtanzania wa enzi hizo anaikumbuka vizuri! Ni pamoja na kuruhusu ubabe wa watu waliojiita unanijua mimi? Ama kurejeshwa kwa wale mafisadi ambao ilikuwa ni dhambi kuguswa na kwamba wakiguswa nchi itayumba? Na au uzembe makazini iwe ruksa? Na ama ule mtindo mtu anafuatilia cheti cha mwanaye aambiwe njoo kesho mara mwaka ili tu atoe Rushwa?

Kidiplomasia ya uchumi na uhusiano kimataifa!
Bila ya shaka kila mtu aweza kuelezea kwa namna yake, lakini kwa ujumla wake ukiwalingani hawa wawili, kuna ukweli kwamba, Diplomasia ya kipindi cha uongozi wa Kikwete ulikuwa ni mzuri na kipindi cha JPM haukuwa mzuri sana! Na hapo kunaweza kuwapo na sababu za kwa nini Diplomasia ya JK ilikuwa imara na Diplomasia ya uongozi wa JPM haikuwa imara kama kipindi cha JK

Mifumo ambao JPM aliiharibu inayojengwa sasa ni ipi? Ni pamoja na kukomesha rushwa nchini ambayo ilikuwa imeota kila pahala, kukomesha ufisadi na uzembe makazini ambapo enzi hizo ilikuwa ndio sifa ya kila mtu aliyeko serikalini? Ama ni mifumo ipi iliyoharibiwa inayojaribu kuundwa upya sasa!

Hizo yaweza kuwa ni hisia zangu, lakini nibaki kwenye kwenye hoja ya msingi kwamba, mfumo sahihi na mwelekeo wa matokeo mazuri katika nchi yetu ambao uliokuwepo enzi za uongozi wa JK na ambao ulianzishwa na alitemfuata JPM upi ambao ungeweza kuleta matokeo mazuri?
 
Kipindi cha uongozi wa Kikwete nchi ilikuwa na mwelekeo wake hali kadhalika kipindi cha Magufuli kulikuwa na mwelekeo mwingine mpya ambao nadhani kila mtu ulimuweka katika mazingira ambayo hakuyazoea

Kipindi cha JK, mafisadi waliogopewa kuguswa kwa sababu ya serikali kuhofia kuwa nchi itayumba iwapo mafisadi wataguswa! Lakini ni kipindi pia ambacho nchi ilishihudia ufisadi mkubwa na ufujaji wa mali za wananchi, huu nao ulikuwa ni mfumo wa aina yake

Tofauti na ilivyokuwa kwa Magufuli, Serikali yake haikuangalia madhara iwapo mafisadi na wahujumu uchumi wakiguswa

Hiyo yote ni kujaribu kuipeleka nchi katika mwelekeo mpya! Na hoja inaanzia hapo!

Kutokana na sababu zinazotelewa kila mara na viongozi wetu mbalimbali ktk Karibu kila idara kuwa wanajenga mifumo iliyoharibiwa!


Maana yake ni kwamba, mifumo iliyoharibiwa na serikali iliyoongozawa na JPM inayo jengwa sasa, bila shaka ni ili mifumo ya enzi ya JK ambayo kila mtanzania wa enzi hizo anaikumbuka vizuri! Ni pamoja na kuruhusu ubabe wa watu waliojiita unanijua mimi? Ama kurejeshwa kwa wale mafisadi ambao ilikuwa ni dhambi kuguswa na kwamba wakiguswa nchi itayumba? Na au uzembe makazini iwe ruksa? Na ama ule mtindo mtu anafuatilia cheti cha mwanaye aambiwe njoo kesho mara mwaka ili tu atoe Rushwa?

Mifumo ambao JPM aliiharibu inayojengwa sasa ni ipi? Ni pamoja na kukomesha rushwa nchini ambayo ilikuwa imeota kila pahala, kukomesha ufisadi na uzembe makazini ambapo enzi hizo ilikuwa ndio sifa ya kila mtu aliyeko serikalini? Ama ni mifumo ipi iliyoharibiwa inayojaribu kuundwa upya sasa!

Hizo yaweza kuwa ni hisia zangu, lakini nibaki kwenye kwenye hoja ya msingi kwamba, mfumo sahihi na mwelekeo wa matokeo mazuri katika nchi yetu ambao uliokuwepo enzi za uongozi wa JK na ambao ulianzishwa na alitemfuata JPM upi ambao ungeweza kuleta matokeo mazuri?
Mzee wa Msoga
 
mafisadi waliogopewa kuguswa
Fisadi is a mythical creature. Fisadi ni kiumbe cha kufikirika kama ilivyo kwa Popo Bawa. Kwa zaidi ya miaka 30 popo bawa amekuwa akiogopeka hapa Tanzania lakini kiuhalisia, ni nani ameshawahi kumuona popo bawa?
 
Kipindi cha uongozi wa Kikwete nchi ilikuwa na mwelekeo wake hali kadhalika kipindi cha Magufuli kulikuwa na mwelekeo mwingine mpya ambao nadhani kila mtu ulimuweka katika mazingira ambayo hakuyazoea

Kipindi cha JK, mafisadi waliogopewa kuguswa kwa sababu ya serikali kuhofia kuwa nchi itayumba iwapo mafisadi wataguswa! Lakini ni kipindi pia ambacho nchi ilishihudia ufisadi mkubwa na ufujaji wa mali za wananchi, huu nao ulikuwa ni mfumo wa aina yake

Tofauti na ilivyokuwa kwa Magufuli, Serikali yake haikuangalia madhara iwapo mafisadi na wahujumu uchumi wakiguswa

Hiyo yote ni kujaribu kuipeleka nchi katika mwelekeo mpya! Na hoja inaanzia hapo!

Kutokana na sababu zinazotelewa kila mara na viongozi wetu mbalimbali ktk Karibu kila idara kuwa wanajenga mifumo iliyoharibiwa!


Maana yake ni kwamba, mifumo iliyoharibiwa na serikali iliyoongozawa na JPM inayo jengwa sasa, bila shaka ni ili mifumo ya enzi ya JK ambayo kila mtanzania wa enzi hizo anaikumbuka vizuri! Ni pamoja na kuruhusu ubabe wa watu waliojiita unanijua mimi? Ama kurejeshwa kwa wale mafisadi ambao ilikuwa ni dhambi kuguswa na kwamba wakiguswa nchi itayumba? Na au uzembe makazini iwe ruksa? Na ama ule mtindo mtu anafuatilia cheti cha mwanaye aambiwe njoo kesho mara mwaka ili tu atoe Rushwa?

Mifumo ambao JPM aliiharibu inayojengwa sasa ni ipi? Ni pamoja na kukomesha rushwa nchini ambayo ilikuwa imeota kila pahala, kukomesha ufisadi na uzembe makazini ambapo enzi hizo ilikuwa ndio sifa ya kila mtu aliyeko serikalini? Ama ni mifumo ipi iliyoharibiwa inayojaribu kuundwa upya sasa!

Hizo yaweza kuwa ni hisia zangu, lakini nibaki kwenye kwenye hoja ya msingi kwamba, mfumo sahihi na mwelekeo wa matokeo mazuri katika nchi yetu ambao uliokuwepo enzi za uongozi wa JK na ambao ulianzishwa na alitemfuata JPM upi ambao ungeweza kuleta matokeo mazuri?
Fisadi namba moja wa serikali ya Magu ni Magu mwenyewe..hujasikia mama anasema kuna hela za plea bargain zimekutwa kwenye account China. Mwizi mkubwa yule jamaa, Chato zimekutwa dollar na Euro za kufa mtu. Afadhali hata amededi
 
Mkuu elewa kitu kimoja

WALE AMBAO JK ALIWAONA MAFISADI JPM ALIWAONA WATU SAFI NA WALE AMBAO JPM ALIWAONA MAFISADI JK PENGINE ALIWAONA WATU SAFI

Kila utawala una definition yake kuhusu mafisadi ni bahati mbaya sana sisi wananchi wa kawaida tunashindwa kuungana na kuwa kitu kimoja. Wewe Kisamv unawaona kina Mafuru mafisadi ila wengine wanawaona kina Makonda mafisadi.

Usilazimishe mtu unaemuona wewe msafi kila mtu amuone hivyo. ACHA HII!

Cha muhimu nachokushauri, kuwa mpole tu. Kuna mtu anamuona huyo huyo Magu ni fisadi, na ana sababu zake za msingi tu kuona hivyo. Kubali kuwa utawala wa JPM umepita! Haitakaa itokee chini ya jua MAgu arudi, kubaliana na utawala uliopo au kataa but kaa kimya fanya ishu zako. Unajiumiza sana kufuatilia negative za utawala uliopo tena kwa kulinganisha na vigezo vya utawala wa JPM, hii itakuumiza sana kisaikolojia. Utakufa na Stress utaiacha familia yako, kama unayo lakini
 
Kipindi cha uongozi wa Kikwete nchi ilikuwa na mwelekeo wake hali kadhalika kipindi cha Magufuli kulikuwa na mwelekeo mwingine mpya ambao nadhani kila mtu ulimuweka katika mazingira ambayo hakuyazoea

Kipindi cha JK, mafisadi waliogopewa kuguswa kwa sababu ya serikali kuhofia kuwa nchi itayumba iwapo mafisadi wataguswa! Lakini ni kipindi pia ambacho nchi ilishihudia ufisadi mkubwa na ufujaji wa mali za wananchi, huu nao ulikuwa ni mfumo wa aina yake

Tofauti na ilivyokuwa kwa Magufuli, Serikali yake haikuangalia madhara iwapo mafisadi na wahujumu uchumi wakiguswa

Hiyo yote ni kujaribu kuipeleka nchi katika mwelekeo mpya! Na hoja inaanzia hapo!

Kutokana na sababu zinazotelewa kila mara na viongozi wetu mbalimbali ktk Karibu kila idara kuwa wanajenga mifumo iliyoharibiwa!


Maana yake ni kwamba, mifumo iliyoharibiwa na serikali iliyoongozawa na JPM inayo jengwa sasa, bila shaka ni ili mifumo ya enzi ya JK ambayo kila mtanzania wa enzi hizo anaikumbuka vizuri! Ni pamoja na kuruhusu ubabe wa watu waliojiita unanijua mimi? Ama kurejeshwa kwa wale mafisadi ambao ilikuwa ni dhambi kuguswa na kwamba wakiguswa nchi itayumba? Na au uzembe makazini iwe ruksa? Na ama ule mtindo mtu anafuatilia cheti cha mwanaye aambiwe njoo kesho mara mwaka ili tu atoe Rushwa?

Mifumo ambao JPM aliiharibu inayojengwa sasa ni ipi? Ni pamoja na kukomesha rushwa nchini ambayo ilikuwa imeota kila pahala, kukomesha ufisadi na uzembe makazini ambapo enzi hizo ilikuwa ndio sifa ya kila mtu aliyeko serikalini? Ama ni mifumo ipi iliyoharibiwa inayojaribu kuundwa upya sasa!

Hizo yaweza kuwa ni hisia zangu, lakini nibaki kwenye kwenye hoja ya msingi kwamba, mfumo sahihi na mwelekeo wa matokeo mazuri katika nchi yetu ambao uliokuwepo enzi za uongozi wa JK na ambao ulianzishwa na alitemfuata JPM upi ambao ungeweza kuleta matokeo mazuri?
Kikwete aliuza nchi
 
Kipindi cha uongozi wa Kikwete nchi ilikuwa na mwelekeo wake hali kadhalika kipindi cha Magufuli kulikuwa na mwelekeo mwingine mpya ambao nadhani kila mtu ulimuweka katika mazingira ambayo hakuyazoea

Kipindi cha JK, mafisadi waliogopewa kuguswa kwa sababu ya serikali kuhofia kuwa nchi itayumba iwapo mafisadi wataguswa! Lakini ni kipindi pia ambacho nchi ilishihudia ufisadi mkubwa na ufujaji wa mali za wananchi, huu nao ulikuwa ni mfumo wa aina yake

Tofauti na ilivyokuwa kwa Magufuli, Serikali yake haikuangalia madhara iwapo mafisadi na wahujumu uchumi wakiguswa

Hiyo yote ni kujaribu kuipeleka nchi katika mwelekeo mpya! Na hoja inaanzia hapo!

Kutokana na sababu zinazotelewa kila mara na viongozi wetu mbalimbali ktk Karibu kila idara kuwa wanajenga mifumo iliyoharibiwa!


Maana yake ni kwamba, mifumo iliyoharibiwa na serikali iliyoongozawa na JPM inayo jengwa sasa, bila shaka ni ili mifumo ya enzi ya JK ambayo kila mtanzania wa enzi hizo anaikumbuka vizuri! Ni pamoja na kuruhusu ubabe wa watu waliojiita unanijua mimi? Ama kurejeshwa kwa wale mafisadi ambao ilikuwa ni dhambi kuguswa na kwamba wakiguswa nchi itayumba? Na au uzembe makazini iwe ruksa? Na ama ule mtindo mtu anafuatilia cheti cha mwanaye aambiwe njoo kesho mara mwaka ili tu atoe Rushwa?

Mifumo ambao JPM aliiharibu inayojengwa sasa ni ipi? Ni pamoja na kukomesha rushwa nchini ambayo ilikuwa imeota kila pahala, kukomesha ufisadi na uzembe makazini ambapo enzi hizo ilikuwa ndio sifa ya kila mtu aliyeko serikalini? Ama ni mifumo ipi iliyoharibiwa inayojaribu kuundwa upya sasa!

Hizo yaweza kuwa ni hisia zangu, lakini nibaki kwenye kwenye hoja ya msingi kwamba, mfumo sahihi na mwelekeo wa matokeo mazuri katika nchi yetu ambao uliokuwepo enzi za uongozi wa JK na ambao ulianzishwa na alitemfuata JPM upi ambao ungeweza kuleta matokeo mazuri?
Mfumo wa Magufuli ulikuwa haufuati utawala wa Sheria (Rule of Law), ndiyo maana unaona kama vile watu walikuwa na nidhamu.

Viongozi wa Afrika wanapaswa wawekeze kwenye "mifumo" na siyo kwenye mtu binafsi. Mtu binafsi aliyekuwa anaogopwa akifa tunarudi palepale.
 
Kipindi cha uongozi wa Kikwete nchi ilikuwa na mwelekeo wake hali kadhalika kipindi cha Magufuli kulikuwa na mwelekeo mwingine mpya ambao nadhani kila mtu ulimuweka katika mazingira ambayo hakuyazoea

Kipindi cha JK, mafisadi waliogopewa kuguswa kwa sababu ya serikali kuhofia kuwa nchi itayumba iwapo mafisadi wataguswa! Lakini ni kipindi pia ambacho nchi ilishihudia ufisadi mkubwa na ufujaji wa mali za wananchi, huu nao ulikuwa ni mfumo wa aina yake

Tofauti na ilivyokuwa kwa Magufuli, Serikali yake haikuangalia madhara iwapo mafisadi na wahujumu uchumi wakiguswa

Hiyo yote ni kujaribu kuipeleka nchi katika mwelekeo mpya! Na hoja inaanzia hapo!

Kutokana na sababu zinazotelewa kila mara na viongozi wetu mbalimbali ktk Karibu kila idara kuwa wanajenga mifumo iliyoharibiwa!


Maana yake ni kwamba, mifumo iliyoharibiwa na serikali iliyoongozawa na JPM inayo jengwa sasa, bila shaka ni ili mifumo ya enzi ya JK ambayo kila mtanzania wa enzi hizo anaikumbuka vizuri! Ni pamoja na kuruhusu ubabe wa watu waliojiita unanijua mimi? Ama kurejeshwa kwa wale mafisadi ambao ilikuwa ni dhambi kuguswa na kwamba wakiguswa nchi itayumba? Na au uzembe makazini iwe ruksa? Na ama ule mtindo mtu anafuatilia cheti cha mwanaye aambiwe njoo kesho mara mwaka ili tu atoe Rushwa?

Mifumo ambao JPM aliiharibu inayojengwa sasa ni ipi? Ni pamoja na kukomesha rushwa nchini ambayo ilikuwa imeota kila pahala, kukomesha ufisadi na uzembe makazini ambapo enzi hizo ilikuwa ndio sifa ya kila mtu aliyeko serikalini? Ama ni mifumo ipi iliyoharibiwa inayojaribu kuundwa upya sasa!

Hizo yaweza kuwa ni hisia zangu, lakini nibaki kwenye kwenye hoja ya msingi kwamba, mfumo sahihi na mwelekeo wa matokeo mazuri katika nchi yetu ambao uliokuwepo enzi za uongozi wa JK na ambao ulianzishwa na alitemfuata JPM upi ambao ungeweza kuleta matokeo mazuri?
Sijaelewa,

Unamaanisha CCM Haina DIRA Wala mwelekeo?

Kwamba mwelekeo wa CCM hutegemea mgombea aliyepo?

Loh, tudai KATIBA mpya !!!!!
 
Tofauti na ilivyokuwa kwa Magufuli, Serikali yake haikuangalia madhara iwapo mafisadi na wahujumu uchumi wakiguswa
Jpm alikua anapambana vita vyake binafsi kwa kisingizio vita ya kiuchumi ya nchi na kukomesha mafisadi. Tuliona CAG alivyotolewa ofisini baada ya report kuongesha trilion 1.5 haijulikani imeenda wapi, tuliona pesa za plea bargaining zikilipwa cash badala ya electronically matokeo yake izo pesa hazijawahi kuonekana kwenye mzunguko na hivi punde imebainika kuna zingine zipo china, tuliona taasisi za umma zilivyoamishiwa ikulu ili tu zisikaguliwe na CAG nini kilikua kinafichwa? Kwa kifupi JPM akuondoa ufisadi ila kwanza aliondoa wale mafisadi wa JK na kuweka mafisadi wake pili alivitisha vyombo vya habari kuripoti habari yoyote hasi inayohusiana na utawala wake
 
Kwa mambo yepi mkuu!

Serikali kuogopa mafisadi kwamba nchi itayumba? Uzembe makazini? Ufisadi na uwizi wa njenje?
Kama ulipata manufaa kwa umpigiae debe,jua hukuwa mzalendo ila mnaa,na mpigania tumbo lako pekee,na maslahi yako na kundi unalonufaika nalo🤔
 
JPM atabaki kuwa JPM

Ufisadi ambao nilikuwa naushuhudia kipindi cha JK na JPM akaukomesha ni kuhusu bandari

Kipindi Cha JK watu walikuwa wakiagiza Magali Yao pale bandarini kuyatoa ni mbinde Kila wakifuatilia wanaambiwa system ipo down kibaya zaidi Kuna mda ukifika hilo gali kama halijatoka linaingia katika kitu inaitwa STORAGE katika hiyo stage mmilika utatakiwa kulipia Kila siku Hadi siku gali yako itakapotoka WAZAMBIA WAMALAWI na WAKONGO walikuwa wanateseka sana na hii kitu

Ili kuendeleza hu ufisadi mafisadi wakajenga bandari kavu nyingi tu mojawapo ilijengwa pale kamata inatazamana na jengo la mkuki house inasemekana ilikuwa ya Manji

Kwa hiyo system ya bandari ilikuwa inachezeshwa kusudi Ili Magali yaingie katika STORAGE na yakae bandari kavu Ili mafisadi wapige pesa

JPM alipoingia madarakani akawambia bandari kuwa Kwa kawaida documents za Magali huwa zinawafikia kabla meli haijafika hivyo basi mwenye gali afanye mchakato wa hizo documents na ukamilike kabla meli haijafika Ili meli ikifika tu achukue gali lake aondoke na akalisimamia hilo na ikawa hivyo

Hakuna gali iliyokuwa inaingia STORAGE Wala kulala katika bandari kavu matokeo yake katika zile bandari kavu Wakawa wanalala paka na panya

Huyo ndio JPM aka JiWE itachukua miaka mingi sana hi nchi kupata raisi kama JPM
 
Sijaelewa,

Unamaanisha CCM Haina DIRA Wala mwelekeo?

Kwamba mwelekeo wa CCM hutegemea mgombea aliyepo?

Loh, tudai KATIBA mpya !!!!!
Ni wapi mkuu tumekuwa na dira ya nchi kama sio dira ya kiongozi anayeingia madarakani
 
Mfumo wa Magufuli ulikuwa haufuati utawala wa Sheria (Rule of Law), ndiyo maana unaona kama vile watu walikuwa na nidhamu.

Viongozi wa Afrika wanapaswa wawekeze kwenye "mifumo" na siyo kwenye mtu binafsi. Mtu binafsi aliyekuwa anaogopwa akifa tunarudi palepale.
Mkuu, kwa pointi hii, heshima kwako
 
Kwa mambo yepi mkuu!

Serikali kuogopa mafisadi kwamba nchi itayumba? Uzembe makazini? Ufisadi na uwizi wa njenje?
Unaweza kunitajia ni fisadi gani aliye wajibishwa kipindi cha magufuri?
 
Kipindi cha uongozi wa Kikwete nchi ilikuwa na mwelekeo wake hali kadhalika kipindi cha Magufuli kulikuwa na mwelekeo mwingine mpya ambao nadhani kila mtu ulimuweka katika mazingira ambayo hakuyazoea

Kipindi cha JK, mafisadi waliogopewa kuguswa kwa sababu ya serikali kuhofia kuwa nchi itayumba iwapo mafisadi wataguswa! Lakini ni kipindi pia ambacho nchi ilishihudia ufisadi mkubwa na ufujaji wa mali za wananchi, huu nao ulikuwa ni mfumo wa aina yake

Tofauti na ilivyokuwa kwa Magufuli, Serikali yake haikuangalia madhara iwapo mafisadi na wahujumu uchumi wakiguswa

Hiyo yote ni kujaribu kuipeleka nchi katika mwelekeo mpya! Na hoja inaanzia hapo!

Kutokana na sababu zinazotelewa kila mara na viongozi wetu mbalimbali ktk Karibu kila idara kuwa wanajenga mifumo iliyoharibiwa!


Maana yake ni kwamba, mifumo iliyoharibiwa na serikali iliyoongozawa na JPM inayo jengwa sasa, bila shaka ni ili mifumo ya enzi ya JK ambayo kila mtanzania wa enzi hizo anaikumbuka vizuri! Ni pamoja na kuruhusu ubabe wa watu waliojiita unanijua mimi? Ama kurejeshwa kwa wale mafisadi ambao ilikuwa ni dhambi kuguswa na kwamba wakiguswa nchi itayumba? Na au uzembe makazini iwe ruksa? Na ama ule mtindo mtu anafuatilia cheti cha mwanaye aambiwe njoo kesho mara mwaka ili tu atoe Rushwa?

Mifumo ambao JPM aliiharibu inayojengwa sasa ni ipi? Ni pamoja na kukomesha rushwa nchini ambayo ilikuwa imeota kila pahala, kukomesha ufisadi na uzembe makazini ambapo enzi hizo ilikuwa ndio sifa ya kila mtu aliyeko serikalini? Ama ni mifumo ipi iliyoharibiwa inayojaribu kuundwa upya sasa!

Hizo yaweza kuwa ni hisia zangu, lakini nibaki kwenye kwenye hoja ya msingi kwamba, mfumo sahihi na mwelekeo wa matokeo mazuri katika nchi yetu ambao uliokuwepo enzi za uongozi wa JK na ambao ulianzishwa na alitemfuata JPM upi ambao ungeweza kuleta matokeo mazuri?

Tofautisha hapo:

FpepB55WAAACrO8.jpeg


FB_IMG_1500545818469.jpg


FpepCwXXoAAYXGS.jpeg


Hapo wore wawili madarakani panajiongelea penyewe.
 
Back
Top Bottom