KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,732
- 4,476
Iwe making love
Not having sex
Not having sex
mkuu, kumbe na wewe yalikukuta? Mie niliambiwa "kama wanitenda ntende lakini usinitende kama Jibwa" (usiniramberambe)hiyo ni baada ya kutaka kupiga mbizi chumvini.Denda hata leo kwa wenye timamu ni ujinga, rudi huko kwenu ndani ndani kamata manzi uanze mambo ya denda uone.
Utasikia “usinilambe lambe kama jibwa”..!!
🧐Tuache utani hivi bila hizi video kweli Hili bara tungejua kuhusu denda?