Mwakalinga sijui kama anawazo la ubunge yule ni mstaarabu sanaShida ya Umeme Kyela , sakata la Mango Tree , soko la Cocoa , shida ya maji na Aibu ya Kipindupindu , ndiyo vimenifanya mimi nirudi nyumbani kuchukua Ubunge 2025 siyo kugombea , ni kuchukua , Kwa sababu hakuna mwanaccm wa kunishinda , Akajapo najumo naloli kangi , Mwakyembe ikundila fijo ulwa Kindingo .
Huyu mbunge wa sasa Mlagila Jumbe haniwezi hata kwa nini .
Nisile ne mwanenu bha tata , ndaga muhangajike na abhalumyana abha matingo abho bha Jumbe , ndaga fijo bha jubha mutukunyike na misi , ulu DANIDA akajapo po mukunwa Kibira na Mbaka na Songwe , nisile lelo ne mwanenu uju mwaliswilile jujumwe