Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,709
- 5,697
Kwa wenye uzoefu kwenye hili mshee mawazo, inasemekana mabinti wengi wenye umri huo hawataki ku-settle kwenye ndoa au serious relationship, ilhali kwenye huo umri ndo wapo kwenye hot season/prime age/wako popular kwenye market..
Harakati za "binti" pia sielewi, kule FB kuna NGO imeanzishwa na wanawake inayopinga ndoa za utotoni, navoona baadae wataleta sheria kwamba mwanamke mwenye miaka 18 asiolewe, wataleta sheria Minimum age mwanamke aolewe akiwa na miaka 26
Harakati za "binti" pia sielewi, kule FB kuna NGO imeanzishwa na wanawake inayopinga ndoa za utotoni, navoona baadae wataleta sheria kwamba mwanamke mwenye miaka 18 asiolewe, wataleta sheria Minimum age mwanamke aolewe akiwa na miaka 26