Mabinti wenye umri wa kuolewa na hawajaolewa wafukuzwe nyumbani haraka

jjs2017

JF-Expert Member
May 25, 2019
2,023
4,213
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Wazazi wamekua wakijitahidi kulea mabinti zao vyema japo Lipo wimbi kubwa sana la wanawake kubweteka na kua malimbukeni kupita kiasi, hali hii imesababisha kujiona wao ni wao na wanaweza kuishi wenyewe bila kua na mwanaume atakae kua kichwa.

Mtazamo huu umechangia sana wanawake wengi kukataa wanaume wanaokuja kuwa chumbia kwa lengo la kuwa oa na kuweka ndani kama mke halali, na hili limechangiwa sana na kuiga wanawake wenzao hasa wanao wadanganya ndoa ni chungu, ndoa ni karaha, mwanamke ni jeshi kubwa, mwanamke anaweza, mwanamke ni mpambanaji na nguvu kubwa sana inayotoka kwa masingle maza walio zalishwa na kuachika kutokana na tabia zao mbaya.

Mabinti wengi sana wameharibika na kuwaharibu wale wenzao wachache walio salia salia na tabia njema, inasikitisha sana kukuta binti wa miaka 15+ anao mtazamo wakuja kuishi mwenyewe bila mwanaume naye anasema hataki kuolewa, tena anafika mbali zaidi ana kuambia nitazaa tuu na nitalea mwenyewe. Hebu jiulize hii elimu au huu mtazamo kaupata wapi kama sio kutoka kwa wanawake wenzake/ mabinti wenzake / hawa hawa masingle maza wanao ongoza kuharibu mabinti kwa kuwaambia kuishi na mwanaume ni utumwa.

Swala hili limesababisha sana wanawake wengi/ mabinti wengi kwa sasa kukataa wanaume pale wanapotongozwa kwa nia ya kuolewa na wengine kufikia mbali kutaka tuu mbegu na ukimpa mbegu hapo anakuona wewe huna thamani tena na sio kitu. Wengine wanakataa wanaume mpaka wanakuja kujutia ukubwani anapopita umri wa kuolewa nakuja kugundua kwamba walidanganyika na hawawezi tena kurudisha siku nyuma kutokana na kupoteza mvuto kwa mwanaume na hivyo kubaki kwa wazazi wao, majumbani au kwenye himaya za koo zao, ndugu jamaa na marafiki wakiwa magroup kwa magroup huku wakiendelea na kuharibu mabinti wanao chipukia wenye nia na ndoto za kuolewa na kuishi mume na mke.

Hivyo kama unaye binti au unaye mwanamke ambae hajaolewa nayupo katika umri wa kuolewa huyo ni hatari kwa kizazi cha mabinti wa sasa huyo mfukuze nyumbani acha maramoja kumchekea chekea hakika kwa kufanya hivyo ulimwengu utamchapa na hamu ya kuolewa itamjia na atajifunza mengi sana kuhusu maisha ya upweke kwa kweli.

Mfukuze kabisa nyumbani mwache ulimwengu ukamfunze thamani ya kuwa na mwanaume na kuolewa na ukamshape namna ya yeye kubehave kama mwanamke mbele ya wanaume.
 
Katika vitu ambavyo siwezi kuvifanya ni kufukuza mtoto wa kike, mwanangu wa kike ataondoka nyumbani pale atakapoolewa tu ata akifikisha miaka 40 hakuna kuondoka nyumbani.
Ina fuatana na mazingira mfano binti kama hajapata mtu wa kuja kumchumbia hapo ukimfukuza utakuwa kichaa tena kichaa kwelikweli.

Ila binti yangu akiwa na tabia ya kuwakataa wanaume wa maana wanao kuja kumchumbia na kumpa thamani ya kuwa mke, badala yake anaenda kuliwa hovyo na mabodaboda na masharobaro mitaani hata mm kwangu hakai ,na ww mzazi ukimdekeza binti mwenye akili za kipumbavu kama huyo utakuwa una pwaya sana.

Binti una miaka 23 husomi ,huna kazi inayo kupa kikwazo cha kuolewa, sio mgonjwa, wanaume wa kukuchumbia unawapata na bado hutaki kuolewa ww kama si malaya tukuiteje?
 
Habari za wakati huu ndugu zangu....

Wazazi wamekua wakijitahidi kulea mabinti zao vyema japo Lipo wimbi kubwa sana la wanawake kubweteka na kua malimbukeni kupita kiasi, hali hii imesababisha kujiona wao ni wao na wanaweza kuishi wenyewe bila kua na mwanaume atakae kua kichwa ..

Mtazamo huu umechangia sana wanawake wengi kukataa wanaume wanaokuja kuwa chumbia kwa lengo la kuwa oa na kuweka ndani kama mke halali, na hili limechangiwa sana na kuiga wanawake wenzao hasa wanao wadanganya ndoa ni chungu, ndoa ni karaha, mwanamke ni jeshi kubwa , mwanamke anaweza , mwanamke ni mpambanaji na nguvu kubwa sana inayotoka kwa masingle maza walio zalishwa na kuachika kutokana na tabia zao mbaya ..

Mabinti wengi sana wameharibika na kuwaharibu wale wenzao wachache walio salia salia na tabia njema, inasikitisha sana kukuta binti wa miaka 15+ anao mtazamo wakuja kuishi mwenyewe bila mwanaume naye anasema hataki kuolewa , tena anafika mbali zaidi ana kuambia nitazaa tuu na nitalea mwenyewe... Hebu jiulize hii elimu au huu mtazamo kaupata wapi kama sio kutoka kwa wanawake wenzake/ mabinti wenzake / hawa hawa masingle maza wanao ongoza kuharibu mabinti kwa kuwaambia kuishi na mwanaume ni utumwa..

Swala hili limesababisha sana wanawake wengi/ mabinti wengi kwa sasa kukataa wanaume pale wanapotongozwa kwa nia ya kuolewa na wengine kufikia mbali kutaka tuu mbegu na ukimpa mbegu hapo anakuona wewe huna thamani tena na sio kitu. Wengine wanakataa wanaume mpaka wanakuja kujutia ukubwani anapopita umri wa kuolewa nakuja kugundua kwamba walidanganyika na hawawezi tena kurudisha siku nyuma kutokana na kupoteza mvuto kwa mwanaume na hivyo kubaki kwa wazazi wao, majumbani au kwenye himaya za koo zao ,ndugu jamaa na marafiki wakiwa magroup kwa magroup huku wakiendelea na kuharibu mabinti wanao chipukia wenye nia na ndoto za kuolewa na kuishi mume na mke.

Hivyo kama unaye binti au unaye mwanamke ambae hajaolewa nayupo katika umri wa kuolewa huyo ni hatari kwa kizazi cha mabinti wa sasa huyo mfukuze nyumbani acha maramoja kumchekea chekea hakika kwa kufanya hivyo ulimwengu utamchapa na hamu ya kuolewa itamjia na atajifunza mengi sana kuhusu maisha ya upweke kwa kweli...mfukuze kabisa nyumbani mwache ulimwengu ukamfunze thamani ya kuwa na mwanaume na kuolewa na ukamshape namna ya yeye kubehave kama mwanamke mbele ya wanaume
Tusiegemee upande mmoja. Binti kutamani au kutotamani ndoa Inategemea Sana na Baba yake alikuwa anamtreat vipi Mama yake. Macho yanaona,Masikio yanasikia kisha Ubongo unatunza kumbukumbu.
 
My daughter will always be my daughter, whether she is 15 or 90...and my home is her home forever!

Ataondoka akitaka na atarudi wakati wo wote akitaka. This is her safe place akichoshwa na dunia huko anarudi kwenye usalama wa baba yake.

Aamue kuolewa au kutoolewa huo ni uamuzi wake!
 
Katika vitu ambavyo siwezi kuvifanya ni kufukuza mtoto wa kike, mwanangu wa kike ataondoka nyumbani pale atakapoolewa tu ata akifikisha miaka 40 hakuna kuondoka nyumbani.
Wahuni wanasema watapigia hapohapo kwako na atazalia hapo na kulea vijukuu hapo.
 
Ina fuatana na mazingira mfano binti kama hajapata mtu wa kuja kumchumbia hapo ukimfukuza utakuwa kichaa tena kichaa kwelikweli.

Ila binti yangu akiwa na tabia ya kuwakataa wanaume wa maana wanao kuja kumchumbia na kumpa thamani ya kuwa mke, badala yake anaenda kuliwa hovyo na mabodaboda na masharobaro mitaani hata mm kwangu hakai ,na ww mzazi ukimdekeza binti mwenye akili za kipumbavu kama huyo utakuwa una pwaya sana.

Binti una miaka 23 husomi ,huna kazi inayo kupa kikwazo cha kuolewa, sio mgonjwa, wanaume wa kukuchumbia unawapata na bado hutaki kuolewa ww kama si malaya tukuiteje?
Kuna mwanamke flani miaka kadhaa nilitaka kumuoa akaniambia hana hisia na mim ila anahisi ana hisia na mtu meingine nikamuuliza hilo swali unahakika huyo mwanaume ambaye uha hisia nae ana mpango wa kukuoa hakunijibu

Turudi kwenye mada wanawake wengi sana wanachumbiwa tatizo wanachagua sana nakuhakikishia hakuna mwanamke tanzania hii ambaye kwenye maisha yake yote hakuwahi tongozwa na. mwanaume wa maana ishu ni kwamba huyo mwanaume wa kuoa hana gari, na still anayapigania maisha
 
My daughter will always be my daughter, whether she is 15 or 90...and my home is her home forever!

Ataondoka akitaka na atarudi wakati wo wote akitaka. This is her safe place akichoshwa na dunia huko anarudi kwenye usalama wa baba yake.
Hizi mentality ndo zimeharibu wanawake wa sasa. Mwanamke anaenda kuolewa ila ana uhakika akiviruga huko atapokelewa mikono miwili nyumbani kwanin asiwe na kiburi na jeuri kwa mme wake ndio maana ndoa nyingi hazidumu

In short wanaoharibu watoto ni wazazi wenye akili kama hizi
 
Habari za wakati huu ndugu zangu....

Wazazi wamekua wakijitahidi kulea mabinti zao vyema japo Lipo wimbi kubwa sana la wanawake kubweteka na kua malimbukeni kupita kiasi, hali hii imesababisha kujiona wao ni wao na wanaweza kuishi wenyewe bila kua na mwanaume atakae kua kichwa ..

Mtazamo huu umechangia sana wanawake wengi kukataa wanaume wanaokuja kuwa chumbia kwa lengo la kuwa oa na kuweka ndani kama mke halali, na hili limechangiwa sana na kuiga wanawake wenzao hasa wanao wadanganya ndoa ni chungu, ndoa ni karaha, mwanamke ni jeshi kubwa , mwanamke anaweza , mwanamke ni mpambanaji na nguvu kubwa sana inayotoka kwa masingle maza walio zalishwa na kuachika kutokana na tabia zao mbaya ..

Mabinti wengi sana wameharibika na kuwaharibu wale wenzao wachache walio salia salia na tabia njema, inasikitisha sana kukuta binti wa miaka 15+ anao mtazamo wakuja kuishi mwenyewe bila mwanaume naye anasema hataki kuolewa , tena anafika mbali zaidi ana kuambia nitazaa tuu na nitalea mwenyewe... Hebu jiulize hii elimu au huu mtazamo kaupata wapi kama sio kutoka kwa wanawake wenzake/ mabinti wenzake / hawa hawa masingle maza wanao ongoza kuharibu mabinti kwa kuwaambia kuishi na mwanaume ni utumwa..

Swala hili limesababisha sana wanawake wengi/ mabinti wengi kwa sasa kukataa wanaume pale wanapotongozwa kwa nia ya kuolewa na wengine kufikia mbali kutaka tuu mbegu na ukimpa mbegu hapo anakuona wewe huna thamani tena na sio kitu. Wengine wanakataa wanaume mpaka wanakuja kujutia ukubwani anapopita umri wa kuolewa nakuja kugundua kwamba walidanganyika na hawawezi tena kurudisha siku nyuma kutokana na kupoteza mvuto kwa mwanaume na hivyo kubaki kwa wazazi wao, majumbani au kwenye himaya za koo zao ,ndugu jamaa na marafiki wakiwa magroup kwa magroup huku wakiendelea na kuharibu mabinti wanao chipukia wenye nia na ndoto za kuolewa na kuishi mume na mke.

Hivyo kama unaye binti au unaye mwanamke ambae hajaolewa nayupo katika umri wa kuolewa huyo ni hatari kwa kizazi cha mabinti wa sasa huyo mfukuze nyumbani acha maramoja kumchekea chekea hakika kwa kufanya hivyo ulimwengu utamchapa na hamu ya kuolewa itamjia na atajifunza mengi sana kuhusu maisha ya upweke kwa kweli...mfukuze kabisa nyumbani mwache ulimwengu ukamfunze thamani ya kuwa na mwanaume na kuolewa na ukamshape namna ya yeye kubehave kama mwanamke mbele ya wanaume
acha kugeneralise. si wote wako kama hao. kama limetokea katika mazingira yako usidhani ni kwa kila mzazi maana hatufanani malezi
 
Kuna mwanamke flani miaka kadhaa nilitaka kumuoa akaniambia hana hisia na mim ila anahisi ana hisia na mtu meingine nikamuuliza hilo swali unahakika huyo mwanaume ambaye uha hisia nae ana mpango wa kukuoa hakunijibu

Turudi kwenye mada wanawake wengi sana wanachumbiwa tatizo wanachagua sana nakuhakikishia hakuna mwanamke tanzania hii ambaye kwenye maisha yake yote hakuwahi tongozwa na. mwanaume wa maana ishu ni kwamba huyo mwanaume wa kuoa hana gari, na still anayapigania maisha
Ndoa ni wote wawili kuridhiana kuwa pamoja mtu akikwambia hana hisia na wewe ondoka tafuta mwingine mwenye hisia na wewe.
 
Ndoa ni wote wawili kuridhiana kuwa pamoja mtu akikwambia hana hisia na wewe ondoka tafuta mwingine mwenye hisia na wewe.
Kwa hiyo wanawake kumbe nawo wanatongoza nilikua sijui aisee, kumbe na wao wanatoa mahari kama wanaume haya mambo ya haki sawa haya

Mwanamke kiasil hapendi anatakiwa atii, mwanaume anapenda ndo maana ana guts za kwenda kutongoza mwanamke haya mambo ya wanawake nao wapende ndo yametuletea haya matatizo yote
 
Back
Top Bottom