Je, ni kweli maambukizi ya COVID-19 yamepungua nchini au ni propaganda tu?

Nakumbuka Jumapili Rais alisema maambukizi yamepungua nchini ya covid 19

Kuna maswali ya msingi ya kujiuliza.

Je, maabara baada ya kutuambiwa inatatizo isharekebishwa lini?
Je, ni lini ilianza kupima wagonjwa wapya wa covid 19?
Je, kama nzima mbona takwimu hazitolewi za wagonjwa wapya na waliopona?
Je, takwimu za Rais za wagonjwa alionao ni baada ya mashine kupona au la?
Je, mashine iliyotumika mtoto wake alipimwa kwa mashine zipi au hiyo hiyo aliyoishutumu?
Je, vituo alivyotaja rais ndivyo vilivyopo nchi nzima vya wagonjwa wa vovid19?
Je, kwanini madereva tuambiwe wanakorona ikiwa nchini maambukizi yamepunguwa?

Nikweli yamepingua kabisa Tanzania ipo salama
 
Kuna msemo katika takwimu, "Statistics is like a bikini, it reveals that is interesting and conceals what is crucial"
 
Unataka nikupe jibu la "Ndiyo" ama "Hapana" kama kasuku bila maelezo! Pole sana kama ndivyo ulivyo. Mimi si mtumwa wa mawazo ya mtu.

Njia yangu ipi zaidi ya kuzingatia ushauri wa kujikinga, mimi na familia yangu, dhidi ya maambukizi na kuwashawishi walio karibu na mimi nao wazingatie?

JIKINGE UMKINGE JIRANI

JILINDE UWALINDE UWAPENDAO
Mjibu tu kistaarabu jibu moja kati ya haya.1.Ndiyo
2.Hapana
3.Sijui.
Jibu swali kufuata maelekezo uliyopewa.
 
Ni wiki 2 sasa toka sikukuu ya Eid ipite
Kwa walioenda out zile siku 2 za Eid wanaweza kuwa mashahidi ya namna gani viwanja vya starehe vilizidiwa na raia, sio Beach au bar, kote kulifurika haswaa
Na kusema ukweli tahadhari haikuzingatiwa kabisa.
Mpaka sasa ndani ya wiki 2 hizi ni kipimo tosha ya kuwa Mr koronya keshasepa zake
otherwise Tungekuwa na hali mbaya sana na wala isingeweza kujificha hata kama mamlaka zisingetangaza,
Maana According to watu wa afya Ugonjwa huu uko na incubation ya kuanzia 2 days - 14 days.
Anyways Hii wiki inayofuata itakuwa ni ya 3 since Eid Hapo tutakuwa na majibu yote. by end

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka Jumapili Rais alisema maambukizi yamepungua nchini ya covid 19

Kuna maswali ya msingi ya kujiuliza.

Je, maabara baada ya kutuambiwa inatatizo isharekebishwa lini?
Je, ni lini ilianza kupima wagonjwa wapya wa covid 19?
Je, kama nzima mbona takwimu hazitolewi za wagonjwa wapya na waliopona?
Je, takwimu za Rais za wagonjwa alionao ni baada ya mashine kupona au la?
Je, mashine iliyotumika mtoto wake alipimwa kwa mashine zipi au hiyo hiyo aliyoishutumu?
Je, vituo alivyotaja rais ndivyo vilivyopo nchi nzima vya wagonjwa wa vovid19?
Je, kwanini madereva tuambiwe wanakorona ikiwa nchini maambukizi yamepunguwa?
Yameisha coz tuliomba Mungu na kwa Mungu ni Imani hakuna propaganda
 
Fanya analysis kwenye familia au ukoo wako ipo kwa kiasi gani halafu ndipo u-generalise.Vitu vingine havihitaji Digrii.Chakula ni bora kuliko mavazi wala Malazi,na uzima ni bora kuliko chakula.Utachagua wewe binafsi namna ya kuishi kuhusu Covid19.
Nakumbuka Jumapili Rais alisema maambukizi yamepungua nchini ya covid 19

Kuna maswali ya msingi ya kujiuliza.

Je, maabara baada ya kutuambiwa inatatizo isharekebishwa lini?
Je, ni lini ilianza kupima wagonjwa wapya wa covid 19?
Je, kama nzima mbona takwimu hazitolewi za wagonjwa wapya na waliopona?
Je, takwimu za Rais za wagonjwa alionao ni baada ya mashine kupona au la?
Je, mashine iliyotumika mtoto wake alipimwa kwa mashine zipi au hiyo hiyo aliyoishutumu?
Je, vituo alivyotaja rais ndivyo vilivyopo nchi nzima vya wagonjwa wa vovid19?
Je, kwanini madereva tuambiwe wanakorona ikiwa nchini maambukizi yamepunguwa?
 
Muda tu ndo utatupa ukweli.Ila huwa nashangazwa na hivi vimashine vinavyopima joto.Unapima kinasema una joto nyuzi 32.4.Si joto la maiti hilo ? Yaani sijui hata kama inawezekana kuvifanyia calibrations
 
Si kweli kwa kuwa hakuna ushahidi wa kuthibitisha hivyo. Hii ni wiki ya tatu sasa hakuna mrejesho wa wagonjwa wapya wala vifo. Mipakani mwetu bado Watanzania wengi wanakutwa na COVID.
Tatizo ni kwamba na nyie kila mtu mnaempima mnadai ana corona wakati mtu ametembea na gari makilometa kibaao ametoka mzima mpaka mpakani alaf mkimpima etii ana corona sasa huoni hapo kutakuwa na hitirafu katika vifaa heb tulizeni vichwa ukweli mtaujua.
 
Chafya chafya zimekuwa nyingi,,ila nahisi sio tishio tena kivile,,malimao,tangawizi zimesaidia sana
 
Si kweli kwa kuwa hakuna ushahidi wa kuthibitisha hivyo. Hii ni wiki ya tatu sasa hakuna mrejesho wa wagonjwa wapya wala vifo. Mipakani mwetu bado Watanzania wengi wanakutwa na COVID.

Mnacho taka ni nini hasa? JPM aseme kwamba Watanzania maelfu wamekwisha poteza maisha na mamillion wamegundulika ni corona positive, naona habari kama hizo zitawafurahisha saana maadui wa Dk.Magufuli kama nyinyi - hulka zenu hazina tofauti na baadhi ya Wakenya, mara zote wanaitakia mabaya Tanzania.

Mko hivyo hivyo ma flip flopper par excellence, hamna kanuni kama garimoshi la kwenda Mpanda - Magufuli akisema ugonjwa umepungua sana Nchini nyinyi mnedai kwamba hasemi ukweli, kama angesema wagonjwa na vifo ni vingi nyinyi mgesema Magufuli nchi imemshinda, ndio mlivyo.
 
Ukitaka takwimu zilizo sahihi anza nyumbani kwako, jirani, ndugu na marafiki zako. Unajua hali halisi kwako, kwa jirani utajua kuna mgonjwa au kifo, ndugu na marafiki zako watakujulisha.

Ukiunganisha taarifa hizo unapata takwimu. Kitafiti, sample hiyo inatosha kukokotoa idadi ya maambukizi au vifo

Well said, be blessed Unacho kusema ni sahihi kabisa tulio wengi hatujasikia au kushuhudia vifo au maambukizi mengi ya corona Nchini, sasa wanao dai eti hospitali nyingi zimejaa wagonjwa na vifo lukuki, habari hizo wanazihibuwa wapi?
 
Back
Top Bottom