FATHER OF REALITY
Senior Member
- Nov 3, 2014
- 122
- 99
Nilizingatia msimamo tuliokuwa nao COVID-19 ilipoingia nchini kwa mara ya kwanza, nilikuwepo wakati wa wimbi la pili la maambukizi, na nashukuru pia nipo kipindi hiki cha wimbi la tatu la maambukizi na hatua zinazochukuliwa.
Najiuliza je, tulifaulu au kushindwa awamu ya kwanza ya COVID-19, na je kwa sasa tumekuwa serious zaidi au?
Najiuliza je, tulifaulu au kushindwa awamu ya kwanza ya COVID-19, na je kwa sasa tumekuwa serious zaidi au?