Huiji tourism mkuu, Tafuta difinition tourism na usome types of Travel and Tourism, kwa taarifa hata mgonjwa anapotoka Tanzania na kwenda India hosp anaingia kwenye tourism forms. Tuna aina aina mbili za utalii ambazo ni utalii wa ndani na utalii wa kimataifa, mfano wa utalii wa ndani ni Kutoka may Dar to Arusha na Arusha to DAR. Utalii wa kimataifa mfano ni pale unapotoka Tanzania to Kenya, bila kujali umeenda kufanya nini, iwe umefuata demu, umefuata mme, umeenda hosp nk. Kundi ambalo halingii kwenye utalii ni wanajeshi lakini baada ya vita wale wakaguzi wanaonda kukagua au kufanya analysis ya vita bado wanaingia kwenye tourism form.There is a difference between pilgrimage and tourism.
Hao watu hivi waliyokuwa wakienda kuhiji huko Makka kwa sababu kuna vivutio kwa ajili ya kustarehe au wanakwenda kufanya ibada?
Kama ukiisoma history vizuri hao waarabu wamekuwa influenced na miungu mingi kutoka pande za Sham ambao ndiyo walikuwa wakitengeneza sanamu za watu wao watukufu na kuwaomba kwa baraka zao ili Mungu awakubaliye maombi yao.
Uthibitisho unaotaka wewe wa kuthibitisha kuwa kuna Mungu, umeushaufanya mgumu na umeshajenga kwenye akili yako kuwa huyo Mungu hayupo vipi utakubali hoja yoyote? Hivi mimi niseme ndugu yangu Kiranga una matatizo ya akili na hatuwezi kuamini kuwa wewe ni mzima mpaka uthibitishe kuwa una akili timamu kwa vigezo tuvitakavyo sisi, hapo kuna uhalisia au kuna vurugu mechi?
Inamfaa nani? 1977 mpaka leo ni miaka 1,000?Mbona Katiba ya 1977 bado inafaa?
Uwepo wa ibada ya hija ni wa zamani hata kabla mfumo wa utalii kuwepo, hata kama utalii utajumuisha na safari za matibabu, biashara, kidini n.k. Itafika wakati hata mtu akienda kazini nje ya mahali anapoishi tutasema ni utalii (Work tourism). Sishangai kwa kuwa ndivyo tunavyoishi hata neno GAY limetoka kwenye uhalisia wake wa furaha mpaka kuja kuitwa mwanamme aliyekuwa shoga.Huiji tourism mkuu, Tafuta difinition tourism na usome types of Travel and Tourism, kwa taarifa hata mgonjwa anapotoka Tanzania na kwenda India hosp anaingia kwenye tourism forms. Tuna aina aina mbili za utalii ambazo ni utalii wa ndani na utalii wa kimataifa, mfano wa utalii wa ndani ni Kutoka may Dar to Arusha na Arusha to DAR. Utalii wa kimataifa mfano ni pale unapotoka Tanzania to Kenya, bila kujali umeenda kufanya nini, iwe umefuata demu, umefuata mme, umeenda hosp nk. Kundi ambalo halingii kwenye utalii ni wanajeshi lakini baada ya vita wale wakaguzi wanaonda kukagua au kufanya analysis ya vita bado wanaingia kwenye tourism form.
Kwa kukusaidia haya ni makundi ya utalii na watalii duniani.
- Adventure Tourism
- Atomic Tourism
- Bicycle Tours
- Beach Tourism
- Cultural Tourism
- Ecotourism
- Geotourism
- Industrial Tourism
- Medical Tourism
- Religious Tourism
- Rural Tourism
- Sex Tourism
- Space Tourism
- Sports Tourism
- Sustainable Tourism
- Virtual Tourism
- War Tourism
- Wildlife Tourism
Soma historia vizuri wewe, kabla ya ujio wa waarabu, wareno, waingereza na wajerumani nipe historia ya mtu mweusi alienda hija, waafrika tulikuwa na ibada zetu za matambiko na mizimu, walivokuja hawa waheshimiwa wakatwambia ibada zetu hazifai. Kifupi tuna mapokea ndo maana hizi dini zimekaa kimaeneo zaidi, walikopita waarabu kuna uislam walikopita wazungu kuna ukristo.Uwepo wa ibada ya hija ni wa zamani hata kabla mfumo wa utalii kuwepo, hata kama utalii utajumuisha na safari za matibabu, biashara, kidini n.k. Itafika wakati hata mtu akienda kazini nje ya mahali anapoishi tutasema ni utalii (Work tourism). Sishangai kwa kuwa ndivyo tunavyoishi hata neno GAY limetoka kwenye uhalisia wake wa furaha mpaka kuja kuitwa mwanamme aliyekuwa shoga.
Inamfaa nani? 1977 mpaka leo ni miaka 1,000?
Kiranga ungeanza kusoma kutoka mwanzo wa hiyo sura ndipo ungeweza kupata ufahamu mzuri wa nini kusudio kwa nini Mungu anawapiga muhuri wasiyoamini na atawaadhibu.Ukisoma Quran na Biblia utaona logical errors na contradictions nyingi sana zinazothibitisha kilichoandikwa humo si maneno ya Mungu. Ni maneno ya watu tu wanaosema kuwa ni maneno ya Mungu.
Mfano, kuna sura inasema kwamba kuna watu wengine wabishi sana wala msihangaike nao.
Allah amewaziba macho na masikio, na amefanya mioyo yao kuwa mizito kumuelewa.
Kwa watu hao, Allah atatoa hukumu kubwa sana.
Sasa hapo mtu akitumia logic ndogo tu ataona kuwa haya ni mameno ya watu, si maneno ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.
Kwa sababu Mungu mwenye uwezo wote akikuziba macho, masikio na moyo usimjue, huwezi kumjua.
Na usipomjua ni kwa sababu yeye kakuziba usimjue.
Sasa hapo atakuja kukupa hukumu wewe aliyekuziba macho, masikio na moyo usimjue?
Yani huyo Allah Mungu wa haki anakuziba macho, masikio na moyo usimjue, kisha usipomjua anakupa adhabu kali kwa sababu hujamjua?
Ukisoma mambo kama haya unaona kabisa hapa huu mchongo wa watu tu, huyo Allah fiksi tupu hayupo.
Surat Al-Baqarah [2:6-7] - The Noble Qur'an - القرآن الكريم
Surat Al-Baqarah [verses 6-7] - Indeed, those who disbelieve - it is all the same for them whether you warn them or do not warn them - they will not believe.legacy.quran.com
Sahih International
Indeed, those who disbelieve - it is all the same for them whether you warn them or do not warn them - they will not believe.
2:7
Sahih International
Allah has set a seal upon their hearts and upon their hearing, and over their vision is a veil. And for them is a great punishment.
Huamini katika asili yako mkuu?Ninafikiri wewe ni muumini wa dini za asili usiyeamini katika MUNGU mmoja, badilika!
Kwanza salamuni wana jamvi.
Huwa siachi kujiuliza tena kwa kusononeka nisikiapo maeneo kama Jerusalem na Makka na mengine yakiitwa matakatifu kana kwamba dunia iliyobaki ni chafu. Huwa sipati jibu. Ajabu ya maajabu, sehemu tuambwazo ni takatifu ni majangwa yasiyo na uzuri wowote kuishi viumbe! Sehemu zenyewe ni vumbi na vurugu tupu. Hebu tuelimishaneni na kujielimisha.
Hivi kuna sehemu takatifu kuliko Afrika hapa duniani ambapo hata maadui zetu ambao walituletea huu ujinga wanakiri kuwa ndiko chimbuko la watu wote? Je si kweli kuwa watu wote ni waafrika hasa ikizingatiwa kuwa asili yao ni Afrika?
Kwangu binafsi, nadhani–––kama ni utakatifu–––basi dunia yote ni takatifu hasa ikizingatiwa kuwa takriban sayari zote zilizomo angani hazina maisha wala uzuri kama wa dunia.
Naomba kutoa hoja wanangu.
Hata kama ubishi wangu wa kupinga Mungu ni manufactured reality, hilo halithibitishi Mungu yupo.
In fact mimi najua kwamba, kuna mengi sijui na hivyo kuna aspects za arguments zangu ziko based on some assumptions ambazo hazijakamilika. Lakini najua Mungu wenu hayupo.That's like saying sijui square root ya 2 in decimal kamili ni nini kwa sababu ni irrational number, lakini najua si 10.
Hivyo, wewe huniambii kitu kipya unaposema kwamba ubishi wangu uko based kwenye manufactured reality.
In fact the very notion of "reality" itself, as we know it, is questionable.
Ukisoma sana physics utaona kuwa the universe is more elastic, relativistic, probabilistic and holographic than concrete, static, clockwork reality based.
Which makes God even more questionable, not less so.
But I doubt you will understand that.
So, when you talk about manufactured reality, what is reality?
Bujibuji kwenye ubora wakoDini za wakoloni zimewaharibu sana
I have seen this cancerous growth time and again.He will not understand what you have put forth. His CERVEAUimezungukwa na hayo maandishi ya KIARABU. It takes a touch of genius and concerted efforts to emancipate oneself.
-
They are suffering from COGNITIVE DISSONANCE. Even if they are presented with TRUTH refuting their FOI: they will create AD HOC reasons to RESCUE their faith.
-
It is a CANCER that has refused to respond on any CHEMOTHERAPY.
popote nionapo comment yako laizma nipitie zote uko smart sana mzee kudos kwakoI have seen this cancerous growth time and again.
The cognitive dissonance is so palpable, you could cut it with a knife.
Shukurani Mkuu.popote nionapo comment yako laizma nipitie zote uko smart sana mzee kudos kwako