Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Wamisionari walitupeleleza na kupasisha habari kwa wakoloni waliotutawala na kutupeleka utumwani,
Walinyakuwa ardhi yetu kwa kubadilisha na biblia,
Walitupora majina yetu.
Walitukana mila zetu na kuziita za kishenzi wakati wao ndiyo walioleta kila aina ya ushenzi kuanzia ubaguzi na usenge.
Walituletea ubaguzi na kutufanya sisi tubaguane na kuchukiana.
Walitujaza ujinga
Walitujazia mashule wakatufundisha ujinga
Waislam nao walituletea utumwa wa kujitakia
Kama wakristo, walipora majina yetu na kutukana mila zetu
Walitujaza chuki na ubaguzi baina yetu huku nao wakitubagua na kutunyonya
Walitujazi misikiti badala ya shule
Walijenga mazingira ya kutuibia kwa kutulazimisha kwenda Makka
Walituletea uganga wa kienyeji kwa kila shehe kuwa mganga wa kienyeji anayejidai kutumia nyota na maneno ya kiarabu wakati ni utapeli wa kuogopa umande na uvivu
Walituletea quran tukalaaniwa kwelikweli hadi kuchukiana sisi kwa sisi.
Leo Saudi Arabi yalipo makao makuu ya uislam inalindwa na wa kimarekani. Ajabu watu wa kiafrika ya kikiristo na kiislam yanachukiana. Wote waliwatukuza wayahudi na kutufanya sisi kuwa makapi. Waliita majangwa ardhi takatifu wakati ardhi takatifu ni Afrika ambako kila siku wanakimbilia.
Wanangu naomba kuwasiliasha.