Huu ndiyo ulio ukweli mchungu. Ikumbukwe;
1. Israel anajinasibu kupambana na HAMAS akisema hana taabu na wapalestina huku wahanga wakiwa wapalestina; hadi West Bank ambako hakuna HAMAS.
3. Kila vita vinapotaka kusimama, maafisa wazito wazito wa Marekani huenda Israel na vita hurundima upya kwa kasi mpya na ari mpya punde tu wanene hao wanapoondoka:
2. Vita viliwaka moto Kwa kasi zaidi baada ya kusimama, siku moja tu baada ya waziri Blinken kuzuru Israel.
3. #2 hapo ikumbukwe Blinken alisema wanapenda vita iendelee, ila waone vifo vya raia vinapungua (japo kidogo) siyo vita kusimama
4. Baada ya Israeli kuuwa mateka wake Israel, nia ya kurejea mezani iliimatika Hadi UN: UNSC ikaitishwa kwa azimio la kusitisha vita:
UNSC kusimamisha vita Gaza
5. Kama safari ile, safari hii wanene wengine wakaelekea Israel; na alipoondoka tu mnene huyo wa Pentagon, vita vilivyokuwa vimeanza kupoa kuonesha dalili ya kufikia mwisho mwema vikarindima tena, kasi mpya, ari mpya na nguvu zaidi:
Vita Gaza katika mwelekeo mwema, busara inapoanza kurejea
6. Bwana Lloyd Austin akaitangazia dunia kuwa Sasa vita itakuwa 'more surgical," whatever that means, na eti kuwa haitakuwa "shoot to kill" ila "think first before shooting" eti wasiuwe mateka wengine kama wale kama watatokea tena.
7 Tokea hapo Marekani amekuwa anajivuta miguu na kura UNSC tokea jumatatu Kkla siku ati mpaka aridhike; hadi wa leo.
8. Mawaziri wote wawili hawa na ma spy masters wao kila wakifika Israel hushiriki kwenye vikao vya baraza la vita kama wajumbe kamili.
9. #8 hapo yawezekana hushiriki siku zote kupitia teknolojia.
10. Marekani hataki suluhu, hana haja na mateka mengine yote ni mbwembwe kumnyorosha mpalestina, bila shaka lengo kuu akimtafuta Iran ajichanganye.
11. #10 hapo ndiyo maana kaleta manowari zake pale na ana madege yake juu bega kwa bega katika operation hii.
12. Sasa hivi Blinken kafichama, kimya hasikiki; mnafiki mkubwa!
13. Hadi dunia itakapo mstukia beberu mkuu mwenye vita yake na Iran huyu, bado tupo tupo sana!
1. Israel anajinasibu kupambana na HAMAS akisema hana taabu na wapalestina huku wahanga wakiwa wapalestina; hadi West Bank ambako hakuna HAMAS.
3. Kila vita vinapotaka kusimama, maafisa wazito wazito wa Marekani huenda Israel na vita hurundima upya kwa kasi mpya na ari mpya punde tu wanene hao wanapoondoka:
2. Vita viliwaka moto Kwa kasi zaidi baada ya kusimama, siku moja tu baada ya waziri Blinken kuzuru Israel.
3. #2 hapo ikumbukwe Blinken alisema wanapenda vita iendelee, ila waone vifo vya raia vinapungua (japo kidogo) siyo vita kusimama
4. Baada ya Israeli kuuwa mateka wake Israel, nia ya kurejea mezani iliimatika Hadi UN: UNSC ikaitishwa kwa azimio la kusitisha vita:
UNSC kusimamisha vita Gaza
5. Kama safari ile, safari hii wanene wengine wakaelekea Israel; na alipoondoka tu mnene huyo wa Pentagon, vita vilivyokuwa vimeanza kupoa kuonesha dalili ya kufikia mwisho mwema vikarindima tena, kasi mpya, ari mpya na nguvu zaidi:
Vita Gaza katika mwelekeo mwema, busara inapoanza kurejea
6. Bwana Lloyd Austin akaitangazia dunia kuwa Sasa vita itakuwa 'more surgical," whatever that means, na eti kuwa haitakuwa "shoot to kill" ila "think first before shooting" eti wasiuwe mateka wengine kama wale kama watatokea tena.
7 Tokea hapo Marekani amekuwa anajivuta miguu na kura UNSC tokea jumatatu Kkla siku ati mpaka aridhike; hadi wa leo.
8. Mawaziri wote wawili hawa na ma spy masters wao kila wakifika Israel hushiriki kwenye vikao vya baraza la vita kama wajumbe kamili.
9. #8 hapo yawezekana hushiriki siku zote kupitia teknolojia.
10. Marekani hataki suluhu, hana haja na mateka mengine yote ni mbwembwe kumnyorosha mpalestina, bila shaka lengo kuu akimtafuta Iran ajichanganye.
11. #10 hapo ndiyo maana kaleta manowari zake pale na ana madege yake juu bega kwa bega katika operation hii.
12. Sasa hivi Blinken kafichama, kimya hasikiki; mnafiki mkubwa!
13. Hadi dunia itakapo mstukia beberu mkuu mwenye vita yake na Iran huyu, bado tupo tupo sana!