Je, ni halali kwa kisimbusi cha Azam kuiondoa TBC kwenye free local channels?

Azam hajazuia ila DSTV ndio wamewazuia Azam kuonyesha hiyo michuano kupitia channel nyingine ambazo zinarusha hiyo michuano ambazo zipo kwenye king'amuzi.
Sababu DSTV ndiye mwenye haki ya kuonyesha hii michuano Tanzania, so Azam anaogopa faini.

Channel zote zinazo onyesha mpira kama Rwana TV,TV ya taifa za Kenya zote Azam kazipiga
Azam ni host wa channel na kuna channel zimapata haki ya kuonyesha mpira toka huko huku MultuChoice sasa anawazuia vipi wakati hawana visimbusi?

Yeye Azam angepata hiyo haki kupitia moja ya chennel zake bado hana haki ya kuzuia wengine wasionyeshe walioko kwenye kisimbusi chake.
 
Azam hajazuia ila DSTV ndio wamewazuia Azam kuonyesha hiyo michuano kupitia channel nyingine ambazo zinarusha hiyo michuano ambazo zipo kwenye king'amuzi.
Sababu DSTV ndiye mwenye haki ya kuonyesha hii michuano Tanzania, so Azam anaogopa faini.

Channel zote zinazo onyesha mpira kama Rwana TV,TV ya taifa za Kenya zote Azam kazipiga pini.
Kama hoja ni hiyo kwanini wamezuia tu kwa watu ambao hajalipua kingamuzi Cha AZAM, ila ambao wamelipia mechi zinaonekana
 
Azam ni host wa channel na kuna channel zimapata haki ya kuonyesha mpira toka huko huku MultuChoice sasa anawazuia vipi wakati hawana visimbusi?
Yeye Azam angepata hiyo haki kupitia moja ya chennel zake bado hana haki ya kuzuia wengine wasionyeshe walioko kwenye kisimbusi chake.
Nitajie Channel iliyopata host kutoka Multichoice?

Fifa wana offer television za taifa kuonyesha mechi bure na ndio maana DSTV hajampiga pini TBC.

Ila channel za taifa zinazo onyesha WC ,ukitoa TBC zote Azam kaziblock sababu ni hao DSTV.
 
Azam hajazuia ila DSTV ndio wamewazuia Azam kuonyesha hiyo michuano kupitia channel nyingine ambazo zinarusha hiyo michuano ambazo zipo kwenye king'amuzi.
Sababu DSTV ndiye mwenye haki ya kuonyesha hii michuano Tanzania, so Azam anaogopa faini.

Channel zote zinazo onyesha mpira kama Rwana TV,TV ya taifa za Kenya zote Azam kazipiga pini.
unauhakika?
 
Kama hoja ni hiyo kwanini wamezuia tu kwa watu ambao hajalipua kingamuzi Cha AZAM, ila ambao wamelipia mechi zinaonekana
Hili sijalijua kwako ila nijuavyo mimi TBC ni free na hata mimi mwenyewe huaga naionaga endapo kama hujalipia.

Kwa sasa siwezi kuprove hiko sababu king'amuzi changu nimekilipia mwezi huu.
 
Azam hajazuia ila DSTV ndio wamewazuia Azam kuonyesha hiyo michuano kupitia channel nyingine ambazo zinarusha hiyo michuano ambazo zipo kwenye king'amuzi.
Sababu DSTV ndiye mwenye haki ya kuonyesha hii michuano Tanzania, so Azam anaogopa faini.

Channel zote zinazo onyesha mpira kama Rwana TV,TV ya taifa za Kenya zote Azam kazipiga pini.
Yes, KBC siioni, Rwanda tv imekatwa, UBC Imekatwa. Nilikuwa naangalia kupitia TBC, TANESCO wamekata Umeme! Ninna king'amuzi cha azam na kifurushi cha afi 35.
 
Rejea kichwa Cha taarifa, Azam kisimbusi wameitoa tbc 1 kwenye orodha ya free local channels, hakuna sababu zilizotolewa isipokuwa watu wanahisi ni sababu za kuonyesha kombe la Dunia, je, inaweza kuwa ndiyo sababu ya kisheria?

Hii ni kweli

Nilifungua Channel za Rwanda na TV na Malawi TV,kupitia king'amuzi cha Azam zote zimefungwa kwa mda kama unabisha check mda huu.


FB_IMG_1668964283373.jpg
 
Nitajie Channel iliyopata host kutoka Multichoice?

Fifa wana offer television za taifa kuonyesha mechi bure na ndio maana DSTV hajampiga pini TBC.

Ila channel za taifa zinazo onyesha WC ,ukitoa TBC zote Azam kaziblock sababu ni hao DSTV.
Sawa nimekusoma mkuu.
Pamoja sana.
 
Back
Top Bottom