Mzilankende Mnyago, Chuma, JiweR.I.P Magufuli
Balaa na nusu. Huu ujinga usingekuwepo.Mzilankende Mnyago, Chuma, Jiwe
Azam ni host wa channel na kuna channel zimapata haki ya kuonyesha mpira toka huko huku MultuChoice sasa anawazuia vipi wakati hawana visimbusi?Azam hajazuia ila DSTV ndio wamewazuia Azam kuonyesha hiyo michuano kupitia channel nyingine ambazo zinarusha hiyo michuano ambazo zipo kwenye king'amuzi.
Sababu DSTV ndiye mwenye haki ya kuonyesha hii michuano Tanzania, so Azam anaogopa faini.
Channel zote zinazo onyesha mpira kama Rwana TV,TV ya taifa za Kenya zote Azam kazipiga
Kama hoja ni hiyo kwanini wamezuia tu kwa watu ambao hajalipua kingamuzi Cha AZAM, ila ambao wamelipia mechi zinaonekanaAzam hajazuia ila DSTV ndio wamewazuia Azam kuonyesha hiyo michuano kupitia channel nyingine ambazo zinarusha hiyo michuano ambazo zipo kwenye king'amuzi.
Sababu DSTV ndiye mwenye haki ya kuonyesha hii michuano Tanzania, so Azam anaogopa faini.
Channel zote zinazo onyesha mpira kama Rwana TV,TV ya taifa za Kenya zote Azam kazipiga pini.
TBC mbona ina Quality bora kuliko hata AZAM leo hiiTBC wanaonesha Ila Duh quality ni mbovu
Dah bongo kweli nyoso!No free lunch ninavyoandika hapa na tanesco wamekata umeme
Nitajie Channel iliyopata host kutoka Multichoice?Azam ni host wa channel na kuna channel zimapata haki ya kuonyesha mpira toka huko huku MultuChoice sasa anawazuia vipi wakati hawana visimbusi?
Yeye Azam angepata hiyo haki kupitia moja ya chennel zake bado hana haki ya kuzuia wengine wasionyeshe walioko kwenye kisimbusi chake.
unauhakika?Azam hajazuia ila DSTV ndio wamewazuia Azam kuonyesha hiyo michuano kupitia channel nyingine ambazo zinarusha hiyo michuano ambazo zipo kwenye king'amuzi.
Sababu DSTV ndiye mwenye haki ya kuonyesha hii michuano Tanzania, so Azam anaogopa faini.
Channel zote zinazo onyesha mpira kama Rwana TV,TV ya taifa za Kenya zote Azam kazipiga pini.
Nilifungua Channel za Rwanda na TV na Malawi TV,kupitia king'amuzi cha Azam zote zimefungwa kwa mda kama unabisha check mda huu.unauhakika?
Hili sijalijua kwako ila nijuavyo mimi TBC ni free na hata mimi mwenyewe huaga naionaga endapo kama hujalipia.Kama hoja ni hiyo kwanini wamezuia tu kwa watu ambao hajalipua kingamuzi Cha AZAM, ila ambao wamelipia mechi zinaonekana
Yes, KBC siioni, Rwanda tv imekatwa, UBC Imekatwa. Nilikuwa naangalia kupitia TBC, TANESCO wamekata Umeme! Ninna king'amuzi cha azam na kifurushi cha afi 35.Azam hajazuia ila DSTV ndio wamewazuia Azam kuonyesha hiyo michuano kupitia channel nyingine ambazo zinarusha hiyo michuano ambazo zipo kwenye king'amuzi.
Sababu DSTV ndiye mwenye haki ya kuonyesha hii michuano Tanzania, so Azam anaogopa faini.
Channel zote zinazo onyesha mpira kama Rwana TV,TV ya taifa za Kenya zote Azam kazipiga pini.
Hii ni kweliNilifungua Channel za Rwanda na TV na Malawi TV,kupitia king'amuzi cha Azam zote zimefungwa kwa mda kama unabisha check mda huu.
Mbaya dana aiseeeeSijajua Azam ila DSTV wanaonesha TBC1 japo quality yake mbayaaaaaaaa
Rejea kichwa Cha taarifa, Azam kisimbusi wameitoa tbc 1 kwenye orodha ya free local channels, hakuna sababu zilizotolewa isipokuwa watu wanahisi ni sababu za kuonyesha kombe la Dunia, je, inaweza kuwa ndiyo sababu ya kisheria?
Hii ni kweli
Nilifungua Channel za Rwanda na TV na Malawi TV,kupitia king'amuzi cha Azam zote zimefungwa kwa mda kama unabisha check mda huu.
Kwa njia ya televisheni za kulipia....TBC ni freechannel
Sawa nimekusoma mkuu.Nitajie Channel iliyopata host kutoka Multichoice?
Fifa wana offer television za taifa kuonyesha mechi bure na ndio maana DSTV hajampiga pini TBC.
Ila channel za taifa zinazo onyesha WC ,ukitoa TBC zote Azam kaziblock sababu ni hao DSTV.
Nchi yenyewe ya hovyoKitendo hiki ni Cha hovyo ukijumlisha na kukatika katika Umeme hovyo inakuwa ni vitendo vya hovyohovyo