Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,804
- 8,797
Waziri Nape kashatoa maelekezo TCRA waingilie kati na kutoa ufafanuzi wa kina kwanini kituo cha kurusha matangazo cha Umma TBC, kimetolewa kwenye king'amuzi cha Azam.
Dkt. Ayoub Chacha Rioba, huyu alikuwa akilia sana kwenye ukurasa wake wa FB kuwa anahujumiwa. Sasa naona kawapa fursa watesi wake kumtosa baharini.
TBC ni chombo cha umma na kinapata hela kutokana na kodi na mitozo tunayolipa, inakuwaje wanakitoa katika sheria ya free to Air?
Hili Ayoub akipona aende akatambike lazima wameshamnasa. Kelele na tambo zake ndio zinaenda ukingoni.
TBC wanatumia ulaghai kuonyesha wananchi kuwa wameshinda tenda ya kurusha mechi za kombe la Dunia, kitu ambacho hakina ukweli State Tv zote zimepewa ruhusa ya kurusha hii michuano bure.
Rudisheni TBC yetu tumuone mama akijenga nchi.
Dkt. Ayoub Chacha Rioba, huyu alikuwa akilia sana kwenye ukurasa wake wa FB kuwa anahujumiwa. Sasa naona kawapa fursa watesi wake kumtosa baharini.
TBC ni chombo cha umma na kinapata hela kutokana na kodi na mitozo tunayolipa, inakuwaje wanakitoa katika sheria ya free to Air?
Hili Ayoub akipona aende akatambike lazima wameshamnasa. Kelele na tambo zake ndio zinaenda ukingoni.
TBC wanatumia ulaghai kuonyesha wananchi kuwa wameshinda tenda ya kurusha mechi za kombe la Dunia, kitu ambacho hakina ukweli State Tv zote zimepewa ruhusa ya kurusha hii michuano bure.
Rudisheni TBC yetu tumuone mama akijenga nchi.