PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,857
Rejea kichwa Cha taarifa, Azam kisimbusi wameitoa tbc 1 kwenye orodha ya free local channels, hakuna sababu zilizotolewa isipokuwa watu wanahisi ni sababu za kuonyesha kombe la Dunia, je, inaweza kuwa ndiyo sababu ya kisheria?
=====
Updates
Waziri Nape Nnauye ameandika Twitter, amesema tayari ameshawaelekeza TCRA kufuatilia swala hilo.
=====
Updates
Waziri Nape Nnauye ameandika Twitter, amesema tayari ameshawaelekeza TCRA kufuatilia swala hilo.