local channels

Local television in the United Kingdom, described in legislation as Local Digital Television Programme Services (L-DTPS), provides a television station for a specific local area. Successful applicants are awarded a sole licence for their chosen area, and are expected to locate their studios within the same area. They broadcast on the digital terrestrial (DTT) system, as used by the national Freeview service.
The independent regulator, Ofcom, invites applications in all areas where transmission is technically possible, and assesses proposals against the statutory criteria.

View More On Wikipedia.org
  1. PAZIA 3

    Je, ni halali kwa kisimbusi cha Azam kuiondoa TBC kwenye free local channels?

    Rejea kichwa Cha taarifa, Azam kisimbusi wameitoa tbc 1 kwenye orodha ya free local channels, hakuna sababu zilizotolewa isipokuwa watu wanahisi ni sababu za kuonyesha kombe la Dunia, je, inaweza kuwa ndiyo sababu ya kisheria? ===== Updates Waziri Nape Nnauye ameandika Twitter, amesema tayari...
  2. Linguistic

    Waziri Nape Alitudanganya Local Channels Kuonekana Kwenye King'amuzi Cha DStV?

    Wakuu kuuliza Sio Ujinga . Niliwahi sikia kupitia Kwa Waziri Mmoja akijinasibu Kwamba local Channel Zote za Tz zimerudishwa kwenye Decoder ya DStv. . Na Hata Kama Kifurushi chako kikiisha zile local channels zinaendelea kuonekana. . Lakini Cha ajabu kifurushi chako Cha DStv kikiisha na kama...
  3. bafetimbi

    Hatimaye DSTV wakongwe wa digitali waachia local channels

    Habari waungwana..... Huu ndiyo muda muafaka wa kuwahama azam na kwenda kwenye full hd DSTV maana kifurushi cha Azam cha bei ya juu TSH 35,000 channel zake hazifikii kifurushi cha DSTV cha TSH 21,000. Kwaherini Azam mlinifaa Sana kwa kipindi nilichokuwa nanyi na huu ndiyo muda rasmi wa...
  4. Erythrocyte

    Kwanini chaneli nyingine za Azam ni lazima zilipiwe ili kuzitazama? Kwani zenyewe si za ndani?

    Kwa mfano hizo Azam Sports 1, 2 na 3 hizi bili ya king'amuzi ikiisha muda wake na zenyewe zinasitishwa, kwanini jambo hili na hizi ni channel za Tanzania, au kuna jambo mimi silielewi? Naomba kueleweshwa.
  5. Replica

    Waziri Nape atembelea Multichoice, awarudishia DSTV 'local channels' baada ya marekebisho ya kanuni

    Waziri wa habari, Nape Nnauye ametangaza kurejeshwa kwa 'Free local channels' kwenye king'amuzi cha DSTV alipofika ofisi za Multichoice Tanzania akiyataja kama maagizo ya Rais Samia kurekebisha kanuni na Sheria. Agosti 12, 2018 DSTV ililazimika kuondoa chaneli za FTA baada ya mamlaka ya...
Back
Top Bottom