Local television in the United Kingdom, described in legislation as Local Digital Television Programme Services (L-DTPS), provides a television station for a specific local area. Successful applicants are awarded a sole licence for their chosen area, and are expected to locate their studios within the same area. They broadcast on the digital terrestrial (DTT) system, as used by the national Freeview service.
The independent regulator, Ofcom, invites applications in all areas where transmission is technically possible, and assesses proposals against the statutory criteria.
Rejea kichwa Cha taarifa, Azam kisimbusi wameitoa tbc 1 kwenye orodha ya free local channels, hakuna sababu zilizotolewa isipokuwa watu wanahisi ni sababu za kuonyesha kombe la Dunia, je, inaweza kuwa ndiyo sababu ya kisheria?
=====
Updates
Waziri Nape Nnauye ameandika Twitter, amesema tayari...
Wakuu kuuliza Sio Ujinga
.
Niliwahi sikia kupitia Kwa Waziri Mmoja akijinasibu Kwamba local Channel Zote za Tz zimerudishwa kwenye Decoder ya DStv.
.
Na Hata Kama Kifurushi chako kikiisha zile local channels zinaendelea kuonekana.
.
Lakini Cha ajabu kifurushi chako Cha DStv kikiisha na kama...
Habari waungwana..... Huu ndiyo muda muafaka wa kuwahama azam na kwenda kwenye full hd DSTV maana kifurushi cha Azam cha bei ya juu TSH 35,000 channel zake hazifikii kifurushi cha DSTV cha TSH 21,000.
Kwaherini Azam mlinifaa Sana kwa kipindi nilichokuwa nanyi na huu ndiyo muda rasmi wa...
Kwa mfano hizo Azam Sports 1, 2 na 3 hizi bili ya king'amuzi ikiisha muda wake na zenyewe zinasitishwa, kwanini jambo hili na hizi ni channel za Tanzania, au kuna jambo mimi silielewi?
Naomba kueleweshwa.
Waziri wa habari, Nape Nnauye ametangaza kurejeshwa kwa 'Free local channels' kwenye king'amuzi cha DSTV alipofika ofisi za Multichoice Tanzania akiyataja kama maagizo ya Rais Samia kurekebisha kanuni na Sheria.
Agosti 12, 2018 DSTV ililazimika kuondoa chaneli za FTA baada ya mamlaka ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.