Je, Nassari kujiunga CCM?

Je, Nassari kujiunga CCM?

Gambo alisha sema kuwa uvccm ni wanafiki na wafitina na mkizeeka lazima mtakuwa wachawi na wewe ni mmoja wapo
Ulishawahi kuona unafiki wangu humu jamvini?
Anayekosea huwa namchana live na anayepatia huwa namsifia.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Mbona baada ya Gambo kuwachana kuwa nyinyi ni wanafiki na wafitina mbona hukumchana?
Ulishawahi kuona unafiki wangu humu jamvini?
Anayekosea huwa namchana live na anayepatia huwa namsifia.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Aliyekuwa mbunge wa Arumeru kupitia cdm, amenaswa na camera zetu akiwa na kikao cha kificho na Dc wa ccm.

Kuelekea uchaguzi wa October tuwe sana macho na wagombea wetu. View attachment 1500311
Kwanza picha ya zamani,hata ingekuwa picha mpya Kuna tatizo gani kukutana na dc au amevunja sheria? Pili hapo ndio eneo la kificho si ni hotelini na Ni eneo la wazi mnakwama wapi Cha Domo?
 
Hongera zake mh Pompeo kwa kuwapiga ban wanao dhulumu haki ya kuishi kwa wanadamu
Kamanda anatetemeka baada ya kuona jahazi linazama na manahodha wanaruka kujiokoa.
 
Hakuna dhambi hata kidogo, Fanya hata wewe hicho kikao, kuna shida gani?
 
Hiki chama kama sera zake ni za kipuuzi hivi hakifai.
WaTz si ndugu? Mi niko ACT mke wangu anakipenda kile cha NCCR je ni uadui? Si wote lengo kuleta maendeleo
 
Anyway, I reserve my comment until then.

Ila huyu Sabaya anaewachukia kina Lema na Mbowe halafu wewe uwe na urafiki nae, basi atleast hata angemshauri Sabaya aache roho mbaya.
 
Yule ni zao la uvccm hivyo roho mbaya kwake ni sawa na ilani ya chama chao
Anyway, I reserve my comment, until then.

Ila huyu Sabaya anaewachukia kina Lema na Mbowe halafu wewe uwe na urafiki nae, basi atleast hata angemshauri Sabaya aache roho mbaya.
 
Back
Top Bottom