Je, Nassari kujiunga CCM?

Je, Nassari kujiunga CCM?

TUJIFUNZE KUKUBALI NA KUHESHIMU MAAMUZI YA WENGINE NA HUO NDIO UKOMAVU WA AKILI NA HISIA!
Kama ni maamuzi yake binafsi hakuna anaepinga hilo, ndio maana wengi humu wanamtaka aende; lakini kama ni maamuzi ya kusukumwa yanayosababishwa na ahadi ya kupewa hiki na kile, hayo sioni sababu ya kuheshimu, tukifanya hivyo tutakuwa tunaandaa taifa la vijana wachumia tumbo na wabinafsi.
 
Taarifa za chini ya Carpet Nassari atajiunga CCM leo.

Ikumbukwe Nassari alitumia style tofauti ya kuunga mkono juhudi.

View attachment 1498762
Duhhh kaisha kisiasa,labda Kama Ni kuomba wambebe but kwa siasa za sasa Hana impact,naona anachora chora mezani macho chini Kama Nini vileeee anapigishwa sound avae pete
 
Taarifa za chini ya Carpet Nassari atajiunga CCM leo.

Ikumbukwe Nassari alitumia style tofauti ya kuunga mkono juhudi.

View attachment 1498762
Sisi: sasa tukamwambie nini mzee baba?
Yeye: njaa ndugu zangu, njaa. nikipata u-DAS au u-DED yaani nitamramba miguu!
Sisi: du, kaka hapo parefu maana foleni kubwa!
Yeye: kwa hali niliyo nayo hata utendaji kata kaka
Sisi: hatuwezi kuku guarantee kwa hilo, sana sana labda utendaji kijiji
Yeye: dah, noma sana. but wacha nianze na hata kijiji maana kurudi kule nitafedheheka sana
Sisi: usijali, huna haja ya kurudi kule.... kule njaa itakuua!
Yeye: poa poa. book jero ya vocha vipi?
Sisi: shika hawa wekundu wawili
Yeye: dah, sir god awabariki sana. mwambieni mzee baba natengeneza movie nyingine ya Mbowe, ataipenda!
 
Hiyo ni ndomu tukishaitumia tunaitupa! Hapati ubunge labda wa viti maalum!
 
Maamuzi ya NASARI kama ni kweli anafaa kupongezwa na ni haki yake ana uhuru wa kufanya anachokipenda ilimradi havunji sheria
 
Tunamkaribisha kwa moyo mkunjufu, mioyo iliyojaa upendo na amani
 
Aende tu kama ni kweli, Chadema hakiwezi kosa mtu mwingine sahihi wa kurudisha hilo jimbo.
haha..chadema haijafanya chochote kwa jimbo alilokuepo huyu, sasa yeye ni msomi na smart na mpenda maendeleo pengine aliyataka maendeleo ila alikua anakwamishwa na viongoz wake , sasa ameona ya nini kukaa kwenye chama kisichojitambua,
 
Let him go! Amejiuliza, anakwenda CCM kupata nini? Ubunge? Kama amepata donge nono nadhani kwa vile hana ajira, wacha atulize njaa!
Kwani wewe hupendi donge nono likikujia acheni unafiki basi ..au hupendi kula ukisikia njaa
 
Back
Top Bottom