Je, Nassari kujiunga CCM?

Je, Nassari kujiunga CCM?

Mtu mwenye ndoto za uongozi wa nchi hii hawezi kubaki Chadema hii ya Mbowe.
Mbowe ni Mfanya biashara na kamwe mfanyabiashara hakubali hasara.
Huu ni udhaifu mkubwa sana waliouasisi ndani ya Chadema.
Mbowe hajui kuwa kwenye kupigania haki watu hua wanapoteza mpaka maisha sembuse Mali.

Kama Mbowe ameamua kujimilikisha Chama kwa sababu tu ya kutumia rasilimali zake kuendesha chama basi ajue wazi kuwa mwaka huu ndio amekizika hicho chama kwani Mwaka kesho patakua ahakuna Ruzuku za vyama vya watu ninafsi.
Ndio maana CCM imejiandaa mapema kujiendesha chenyewe hata kama ruzuku itaelekezwa kwenye maendeleo ya wanyonge.
Hatuwezi kutoa ruzuku halafu ziishie mifukono mwa Mbowe,Lipumba,Mrema na Cheyo. Hii haikubaliki.

Baada ya uchaguzi wa Mwaka huu ambao matokeo yake yatakua mabaya sana kwa Chadema itakua ni jambo la Maana sana kumfukuza Mbowe kwenye Chama hicho kwa namna yoyote na kujenga Upya chama katika misingi yake ya Demokrasia na maendeleo badala ya Domoghasia na maondoleo ya Mbowe.

Nasari ameonyesha sura kamili ya Viongozi waliopo Chadema. Wananchi na wanachama hawana tatizo ila tatizo ni Mbowe na kampani yake ambayo wengi wao wamesharudi walikotoka wakiwa wanafanikisha mipango yao ya kuua chama chini ya mwenyekiti Mbowe.a
Subiri nyumbu zije zikutolee povu [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Mtu mwenye ndoto za uongozi wa nchi hii hawezi kubaki Chadema hii ya Mbowe.
Mbowe ni Mfanya biashara na kamwe mfanyabiashara hakubali hasara.
Huu ni udhaifu mkubwa sana waliouasisi ndani ya Chadema.
Mbowe hajui kuwa kwenye kupigania haki watu hua wanapoteza mpaka maisha sembuse Mali.

Kama Mbowe ameamua kujimilikisha Chama kwa sababu tu ya kutumia rasilimali zake kuendesha chama basi ajue wazi kuwa mwaka huu ndio amekizika hicho chama kwani Mwaka kesho patakua ahakuna Ruzuku za vyama vya watu ninafsi.
Ndio maana CCM imejiandaa mapema kujiendesha chenyewe hata kama ruzuku itaelekezwa kwenye maendeleo ya wanyonge.
Hatuwezi kutoa ruzuku halafu ziishie mifukono mwa Mbowe,Lipumba,Mrema na Cheyo. Hii haikubaliki.

Baada ya uchaguzi wa Mwaka huu ambao matokeo yake yatakua mabaya sana kwa Chadema itakua ni jambo la Maana sana kumfukuza Mbowe kwenye Chama hicho kwa namna yoyote na kujenga Upya chama katika misingi yake ya Demokrasia na maendeleo badala ya Domoghasia na maondoleo ya Mbowe.

Nasari ameonyesha sura kamili ya Viongozi waliopo Chadema. Wananchi na wanachama hawana tatizo ila tatizo ni Mbowe na kampani yake ambayo wengi wao wamesharudi walikotoka wakiwa wanafanikisha mipango yao ya kuua chama chini ya mwenyekiti Mbowe.a
Nafikiri umesahau Mbowe alivyo na uhusiano wa karibu na Chadema. Kaweka mizizi. Sasa mtu anaejisikia hamutaki Mbowe yeye ndo ahame Chadema. Tangu lini Mkiti amewahi kuhama chama akawachia wengine watu baki? Mku piga galagaza kama kuna wabunge ndani ya chadema hawamutaki Mbowe hapo ndo utaona wengi watahama sio Mkiti.
 
Nafikiri umesahau Mbowe alivyo na uhusiano wa karibu na Chadema. Kaweka mizizi. Sasa mtu anaejisikia hamutaki Mbowe yeye ndo ahame Chadema. Tangu lini Mkiti amewahi kuhama chama akawachia wengine watu baki? Mku piga galagaza kama kuna wabunge ndani ya chadema hawamutaki Mbowe hapo ndo utaona wengi watahama sio Mkiti.
Kumbuka kuwa Mbowe yupo kwa maslahi yake binafsi na sio watanzania.

Hili watu wengi hasa wale wa makabila mengine zaidi ya 120 yaliyosalia wameshalibaini.
Mimi hua nazunguka maeneo mengi ya Tanzania ukweli watu wengi sana hawataki kabisa kumsikia Mbowe.
Wengi wanamuona kama MTU laghai mpenda Fedha na Mbinafsi asiyejali maslahi ya wangi zaidi ya yaye kupata.

Karne hii ni fedheha sana kuwa na Kiongozi wa Chama Mhuni na mlevi wa Pombe,fedha, madaraka na wanawake . Huyu MTU anatia kinyaa kabisa kuendeleo kukaa na watu wanaojitambua kwenye Chama.
MTU akibaki Chadema sio kwa sababu ya kumkubali Mbowe Bali ni njia ya kujitafutia fursa tu na wakishafika bei wanashika pesa zao wanakimbilia Kwenye chama cha siasa sio kubaki kwenye NGO ya Mtu mmoja.

Mbowe afukuzwe ndani ya Chadema hata kwa kuchapwa bakora amefanya uhuni mkubwa sana wa kuua chama kwa maslahi ya makundi ndani ya CCM.
 
Back
Top Bottom