Je, Nassari kujiunga CCM?

Je, Nassari kujiunga CCM?

Kwa hiyo mtu akiwa cdm asikutane na mtu wa ccm.Kama ni marafiki wasikutane?
Uzi wa kipumbav kabisa!

Umejisahaulisha mwenyekiti wa Ccm alivyowakataza wabunge wa Ccm kwenda kumuona Lema gerezani?Baadae akawakataza kwenda kumuona Lissu Nairobi.

Nyie ndio waasisi wa siasa chafu.
 
Kwa kuwa Chasema mliacha kuzungumzia shida za wananchi na mkawakataza wabunge wenu kusifia au kujishighulisha na shughuli za maendeleo zilizoasisiwa na JPM hakuna budi zaidi ya wanachama hawa kujiunga CCM
 
Jushua nasari bado hajarudi bongo mkuu futa huu uzi wako
 
Mungu wetu ninwa ajabu kwani huwaunhua wanafiki. Muda ndio dawa ya waovu na mashetani. Wataumbuka na kuangamizwa kwa fundisho la waovu na walio wema.
 
Pamoja na kuwa ni marafiki wa muda mrefu.
Huyu dogo alilipwa chake kikamilifu na kunyamazishwa kesi zote alizokuwa nazo.
Amekuwa kimya muda mrefu akijielewa. Subiri kuelekea uchaguzi huu uone anakoibukia. Na hata asipogombea bado anaweza teuliwa hizi teuzi za kila kukicha!
 
Back
Top Bottom