Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,221
- 98,176
Pipa na funiko mkijiliwaza
Halafu baada tu ya kulipia kiingilio.
Halafu baada tu ya kulipia kiingilio.
Kakojoe ulaleEti huu nao ni Uzi halafu kwa Akil hizi na Uzushi huu usio na Tija wala Mantiki ndiyo Watu wanataka Kuitoa CCM Madarakani. Upuuzi Mtupu sana!
Anatia huruma.Aliyekuwa mbunge wa Arumeru kupitia cdm, amenaswa na camera zetu akiwa na kikao cha kificho na Dc wa ccm.
Kuelekea uchaguzi wa October tuwe sana macho na wagombea wetu. View attachment 1500311
Yupo mbele ya IGO SIRII ANDAKAVA UPELEZI wa NDANI.Mbona kama hapo Anatia huruma
Utafikiri anabembeleza Kazi
Ova
Kwani nae alikuwa na mgogoro na chake kama hao uliowataja?Ni demokrasia ambayo kina nyalandu, lowassa waliitumia ila inaonekana tofauti inapokuwa kinyume chake
Jana watu walitokwa na mapovu kisa kusema kuwa kaonekana na DC wa ccm haiHatimae leo yametimia Nassari kaunga mkono juhudi rasmi.
Pembe la ng'ombe alijifichi,alishapokea advance
Taarifa za ndani UVCCM hawamtaki kabisa Nassari stay tune.
Hakuna sheria ya nchi iliyovunjwa. Hata Mbowe akitaka kuhamia TLP yupo huru.
Hakuna ajuaye keshoHata jiwe akitaka anaweza kuhamia TLP
Kwani alikuwa amekwenda wapi?Amerudi lini Tanzania huyu?
TayariTaarifa za chini ya Carpet Nassari atajiunga CCM leo. Ameonekana akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya.
Ikumbukwe Nassari alitumia style tofauti ya kuunga mkono juhudi.