Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,222
- 98,176
Tumuombee kila la kheri mwana kila mtu na ridhiki yake
Pamoja na kuwa ni marafiki wa muda mrefu.
Huyu dogo alilipwa chake kikamilifu na kunyamazishwa kesi zote alizokuwa nazo.
Amekuwa kimya muda mrefu akijielewa. Subiri kuelekea uchaguzi huu uone anakoibukia. Na hata asipogombea bado anaweza teuliwa hizi teuzi za kila kukicha!