okiwira
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,277
- 3,560
Kama ni kweli mwache aende. Ila kama ni kweli, basi vijana wengi wanaharibu heshima yao kijinga sana
Heshima ipo CHADEMA tu kwengine ni uzwazwa!!
Kama ni kweli mwache aende. Ila kama ni kweli, basi vijana wengi wanaharibu heshima yao kijinga sana
Ana shida gani kwani unadhan hapati huyu kupitia ccm..unaotaAlipa kura nyingi kwasababu alikuwa na kofia ya upinzani ila sasa asahau.
Hujanisooma, nimesema kama kuna donge nono, na hana ajra kwa sasa, ana njaa, wacha aende tu! Anaweza kwenda lkn roho na kura ipo CDM!Kwani wewe hupendi donge nono likikujia acheni unafiki basi ..au hupendi kula ukisikia njaa
wewe husikiagi njaa?Njaa kali inamsumbua
this is ccm bratha...Sisi: sasa tukamwambie nini mzee baba?
Yeye: njaa ndugu zangu, njaa. nikipata u-DAS au u-DED yaani nitamramba miguu!
Sisi: du, kaka hapo parefu maana foleni kubwa!
Yeye: kwa hali niliyo nayo hata utendaji kata kaka
Sisi: hatuwezi kuku guarantee kwa hilo, sana sana labda utendaji kijiji
Yeye: dah, noma sana. but wacha nianze na hata kijiji maana kurudi kule nitafedheheka sana
Sisi: usijali, huna haja ya kurudi kule.... kule njaa itakuua!
Yeye: poa poa. book jero ya vocha vipi?
Sisi: shika hawa wekundu wawili
Yeye: dah, sir god awabariki sana. mwambieni mzee baba natengeneza movie nyingine ya Mbowe, ataipenda!
Kila la heri
mbona umejibu kinyonge hivyoni sawa tu..ushasema viti maalum, mtu maalum,Hiyo ni ndomu tukishaitumia tunaitupa! Hapati ubunge labda wa viti maalum!
Ukisikia njaa unamla , mtoto, mke, baba , mama, shangazi etc etc?wewe husikiagi njaa?
Nassari alishaondoka Chadema kitambo sana , sasa sioni cha kujadilimbona umejibu kinyonge hivyo
Hapo kama anabembeleza ajiraNassari alishaondoka Chadema kitambo sana , sasa sioni cha kujadili
Kwani meza kuwa chafu ina uhusiano gani na wauza samaki kutokuwa watu?Wauza samaki wa ferry sio watu sio?
Taarifa za chini ya Carpet Nassari atajiunga CCM leo.
Ikumbukwe Nassari alitumia style tofauti ya kuunga mkono juhudi.
View attachment 1498762
It is always greener on the other sideNaona ameanza kung'ata kucha.Taarifa za chini ya Carpet Nassari atajiunga CCM leo.
Ikumbukwe Nassari alitumia style tofauti ya kuunga mkono juhudi.
View attachment 1498762
Kwani wapi mleta hoja amesema kuna kitu cha ajabu?Sasa cha ajabu ni nini hapa mtu wa chama kimoja kwenda chama kingine kuna shida gani.
Mkuu icho kiota wewe ndio mmiliki?Rustic Furniture ni ghali kuliko hizo mbao zenu zilizopigwa msasa.
Alafu inaonekana wanao msikiliza ndio wenye maamuzi!Hapo kama anabembeleza ajira
Ova
Hapana mimi sio mmiliki.Mkuu icho kiota wewe ndio mmiliki?