Je, Nassari kujiunga CCM?

Je, Nassari kujiunga CCM?

Kwani wewe hupendi donge nono likikujia acheni unafiki basi ..au hupendi kula ukisikia njaa
Hujanisooma, nimesema kama kuna donge nono, na hana ajra kwa sasa, ana njaa, wacha aende tu! Anaweza kwenda lkn roho na kura ipo CDM!
 
Sisi: sasa tukamwambie nini mzee baba?
Yeye: njaa ndugu zangu, njaa. nikipata u-DAS au u-DED yaani nitamramba miguu!
Sisi: du, kaka hapo parefu maana foleni kubwa!
Yeye: kwa hali niliyo nayo hata utendaji kata kaka
Sisi: hatuwezi kuku guarantee kwa hilo, sana sana labda utendaji kijiji
Yeye: dah, noma sana. but wacha nianze na hata kijiji maana kurudi kule nitafedheheka sana
Sisi: usijali, huna haja ya kurudi kule.... kule njaa itakuua!
Yeye: poa poa. book jero ya vocha vipi?
Sisi: shika hawa wekundu wawili
Yeye: dah, sir god awabariki sana. mwambieni mzee baba natengeneza movie nyingine ya Mbowe, ataipenda!
this is ccm bratha...
 
Hapo kama anabembeleza ajira

Ova
Alafu inaonekana wanao msikiliza ndio wenye maamuzi!
Ukienda mbele zaidi ukiwaangalia macho na sura zao kama vile wanaona hana madai ya msingi!
Na pengine walimwambia Acha kuongea ujinga! Tulisha malizana!
 
huyu Nasaruu nae ovyo kabisa kaleta uzi huu humu JF kupima upepo! zama zake zilishapita!! akafie mbele!!
 
Igogo alivuliwa uanachama wa CDM Iringa akarudi CCM kwasasa anatia nia ubunge kwa tiketi ya CCM Rorya ...anatia huruma anavyosimangwa na wanaCCM.
 
Back
Top Bottom