Je, nahitaji kibali kumiliki silaha hii?

FURY BORN

JF-Expert Member
Jul 11, 2020
638
1,145
Hii kitu nayo nahitaji kibali kwa maana ya licence to carry or licence to own. Wazee wa kamati ya ulinzi na usalama tukumbudhane, nataka kuagiza kwa mchina, manake majuzi vibaka wameua mbwa wangu na wakaingia uani na kukata dirisha, bahati madifisha yangu sikutumia flat bar bali nondo, hivo wakati wanakata nondo ya kwanza nikastuka kuchungulia nikaona wajinga wawili wako nje wamevaa vichupi tu.

Bahati mbaya ndani nina panga tu. Nikapuliza filimbi wakakimbia. Lkn ningekuwa na hii kitu ningewamwaga wote kimya kimya.

Bow.jpg
 
Tunakoelekea silaha za jadi zitasajiliwa na kuwa na vibali.

Fuatilia hill mkuu, ukizingatia huo Upinde ni Modern
 
U

Ukikuwa utaelewa kwa sasa malizia kucheza game hapo sebuleni kwa shemeji yako. Ila kumbuka ulipaswa kumwonea dadako huruma anapofunga mlango usiku yanayompata huko yeye ndo anajua.
Nikikua nitaelewa kutamba baa na silaha ya moto? wee jamaa unaonekana kilaza sana.....tafuta topito, hizo silaha watamiliki wenye akili timamu....
 
Hii kitu nayo nahitaji kibali kwa maana ya licence to carry or licence to own. Wazee wa kamati ya ulinzi na usalama tukumbudhane, nataka kuagiza kwa mchina, manake majuzi vibaka wameua mbwa wangu na wakaingia uani na kukata dirisha, bahati madifisha yangu sikutumia flat bar bali nondo, hivo wakati wanakata nondo ya kwanza nikastuka kuchungulia nikaona wajinga wawili wako nje wamevaa vichupi tu.

Bahati mbaya ndani nina panga tu. Nikapuliza filimbi wakakimbia. Lkn ningekuwa na hii kitu ningewamwaga wote kimya kimya.

View attachment 1994252
Wategee upupu
 
Nikikua nitaelewa kutamba baa na silaha ya moto? wee jamaa unaonekana kilaza sana.....tafuta topito, hizo silaha watamiliki wenye akili timamu....
Ndo maana nikakwambia ukikuwa utaelewa kwa sasa huwezi elewa, kajifunze kwanza kiswahili hamna neno topito kwa kiswahili. Isipokuwa huko kwenu majita. Na wajita wengi ujuaji ndo unawasumbua na ndo maana ukienda mkoa mzima wa mara na Tanzania kwa ujumla hakuna mjita milionare. Kwa sababu ya kujimwambafai.
 
IGP alishasema wanaume tuache umama, mwanaume unakosaje rungu,sime,manati,nondo nzito ama silaha yoyote ya kujihami pindi unapokutana zahama ndogondogo kama za kuingiliwa na vibaka?

Kumbuka silaha zote zisizo za moto hazihitaji kibali chochote, ikiwemo upinde na mishale.
 
Ndo maana nikakwambia ukikuwa utaelewa kwa sasa huwezi elewa, kajifunze kwanza kiswahili hamna neno topito kwa kiswahili. Isipokuwa huko kwenu majita. Na wajita wengi ujuaji ndo unawasumbua na ndo maana ukienda mkoa mzima wa mara na Tanzania kwa ujumla hakuna mjita milionare. Kwa sababu ya kujimwambafai.
Sawa dada, kumbe hujui kiswahili kinaundwa pia na mchanganyiko wa maneno ya kibantu na bado maneno yake na misamiati inazidi kuzaliwa kila kukicha......sasa kama hujui maana ya neno topito wewe utakuwa ni kiazi hasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom