Yaani kwa imani yako huyo unayemuita kilaza hajui kiingereza!?!Soma uelewe nilichoandika. Siyo wote wanajua kwani kuna waliosoma kwa kutumia lugha nyingine. Lakini kwa huyu kilaza wetu tunachojiuliza ni ilikuwaje akapita kuanzia shule ya sekondari mpaka hiyo level ambako kote huko alikuwa anafundishwa na kufanya research kwa kiingereza lakini hakiwezi?