Je, na Wagombea wengine wa 'Urais' nchini Tanzania nao watakuwa na 'Confidence' kubwa ya Kuongea Kiingereza na Balozi wa US kama alivyoweza Lissu?

Sasa kama huyo mgombea akienda au akafutwa huko aliko akiulizwa juu ya mambo ya independent, impartial free and fair election, atajibuje? Kwamba kama anapendelewa hilo liko juu ya uwezo wake au ajibu nini? Ya nini ajifungie paka shingoni?
 
Hakuna justification ya kushindwa kuongea kiingereza fasaha hasa ukishahitimu kidato cha nne, maana masomo yote kasoro kiswahili yanafundishwa kwa kiingreza.

Tatizo wabongo hatuna exposure kuweza kuwa na misamiati ya kutosha hivyo kuongea hiyo lugha bila kutafuta tafuta maneno. Unakuta shuleni ni full kiswahili, mtaani ni full kiswahili, makazini ni full kiswahili, hadi mwalimu wa somo la kiingereza anafundisha kwa kiswahili, unategemea nini....
 
Mleta mada mjinga Mabalozi wote wenye vitu tunanunua kwao. Huongea kiswahili mapokezi mfano mapokezi ya Rada zilizonunuliwa na Tanzania balozi wa ufaransa alihutubia kiswahili pia tulipopokea ndege za Boeing ambayo ni kampuni ya Marekani balozi alihutubia kiswahili Chadema na Lisu walipinga serikali isinunue ndege kwao Yaani wakose soko na Zitto alifika hatua kusema ndege zilizoletwa na wamarekani mbovu usifikiri wamarekani wamesahau ndio maana balozi katamka wazi kuwa hatuna mgombea wala chama sisi marekani tunaunga mkono alipokutana na Lisu ile ni very strong message kwa Chadema na Lisu kwa ujumla waliokuwa wakipinga kampuni ya Boeing isiiuzie ndege Tanzania wakose business
 
Zinaitwa mada poteza maboya.

Nani kakwambia agenda ya Lissu huko ilikuwa kwenda kuongea kiingereza?

Mwulize Msukuma kama hofu yake ni kiingereza alichoongea Lissu au alichoongea Lissu huko?

Habari zaidi anayo bwana manoti. Leo kama jiwe, naye halali.
 
Kingereza hakijawahi kunijengea hata kilomita moja ya barabara ya lami
Bila shaka msamiati wako usingetimia na kuleta maana vile vile. Umetumia neno "kilomita" ili uwasilishe maana. Kwa hiyo umekusaidia kwenye lugha ili uwasilishe maana ya nia yako.
 
Kuna 'Mgombea' Mmoja hivi ( bahati mbaya Jina lake limenitoka ghafla tu ) nami natamani kweli kweli akishamaliza tu Ratiba yake ya Kugawa 'Kopi' za 'Vinyago' vyenye Mbuga zetu za Wanyama kwa Wageni wake Waalikwa basi nae akatishe zake aende Kupiga 'Stori' mbili tatu hivi na Balozi wa Marekani kama ambavyo leo 'Mgombea' Tundu Lissu amefanya...
ha ha ha , tuwe wazalendo kwa kuficha aibu yetu, mnataka ma-phd wadharauliwe?
 
Duh...yaani wewe kweli hujaelimika....yaani bado unafikiri kufahamu kiingereza ndiyo sifa?! Nenda mwananyamala na kinondoni utawakuta wamalawi wengi ma-houseboy na wakata michongoma wanaongea English..
Mbona 'Povu' sana hivi Mkuu? Kaguswa 'Babaako' nini ndiyo maana umeumia na unaweweseka hivi? Naona 'Kombora' hili limefika lilipoelekezewa.
 
Hata kama simpendi pombe lakini sidhani kama kujua kiingereza ndio unakuwa kiongozi bora.

Sawa hujamtaja ila tumemjua.
Tatizo la Pombe ni kuwa anapenda kuongea lakini sio kuhojiana. Kumbuka hata kule ITV kipindi cha dakika 45 alimtuma Bashiru.

Na mtu wa aina hiyo hafai kuwa kiongozi
 
NHakuna justification ya kushindwa kuongea kiingereza fasaha hasa ukishahitimu kidato cha nne, maana masomo yote kasoro kiswahili yanafundishwa kwa kiingreza. Tatizo wabongo hatuna exposure kuweza kuwa na misamiati ya kutosha hivyo kuongea hiyo lugha bila kutafuta tafuta maneno. Unakuta shuleni ni full kiswahili, mtaani ni full kiswahili, makazini ni full kiswahili, hadi mwalimu wa somo la kiingereza anafundisha kwa kiswahili, unategemea nini....
Wamarekani wanahitaji bussiness sio kingereza Ile ni lugha ya kuzaliwa hayo nayo Lisu ni mpinzani mkubwa mno wa kibiashara wa Marekani amekuwa akipinga ununuzi wa ndege ambazo serikali ya Tanzania imeagiza kutoka kampuni ya Boeing ya Marekani kuwa watanzania hawahitaji ndege ok watanzania hawahitaji ndege je waamerika hawahitaji soko la ndege zao za Boeng Tanzania Lisu kachemka tamko lao la kuponda ununuzi wa ndege ili marekani ikose soko jibu lao watalipata uchaguzi huu kwa hao waliokuwa wakiwaharibia biashara zao wakiwemo wamarekani ambao Lisu kaenda kuongea kiingereza na huyo balozi akidhani hitaji la ubalozi Tanzania ni waongea kingereza sio business
 
Kuna 'Mgombea' Mmoja hivi ( bahati mbaya Jina lake limenitoka ghafla tu ) nami natamani kweli kweli akishamaliza tu Ratiba yake ya Kugawa 'Kopi' za 'Vinyago' vyenye Mbuga zetu za Wanyama kwa Wageni wake Waalikwa basi nae akatishe zake aende Kupiga 'Stori' mbili tatu hivi na Balozi wa Marekani kama ambavyo leo 'Mgombea' Tundu Lissu amefanya...
Yule mgombwa wetu ana mgeni kutoka nyasaland sijui añwasiliana naye vipi kwani lugha ya malkia anaiona kama mama mkwe
 
Mbona 'Povu' sana hivi Mkuu? Kaguswa 'Babaako' nini ndiyo maana umeumia na unaweweseka hivi? Naona 'Kombora' hili limefika lilipoelekezewa.
Sasa wewe hutoi povu...mpaka mnaleta issue ya lugha au tuseme English huko ndiyo kuishiwa hoja.,.yaani mtu mzima na akili zake anatamba mbele ya watu wazima na akili zao Tena walioelimika kwamba eti Fulani anajua English...nyie ndio mnaotoa povu...mnaokoteza hoja hapa na pale...your man has already lost the election...hakuna namna...mjipange tu kulala barabarani...nasikia anajiandaa kutangaza serikali akiwa uhamishoni ..labda wewe utakuwa waziri wake wa habari...that man is capable of anything foolish..
Mbona 'Povu' sana hivi Mkuu? Kaguswa 'Babaako' nini ndiyo maana umeumia na unaweweseka hivi? Naona 'Kombora' hili limefika lilipoelekezewa.
 
Kuna 'Mgombea' Mmoja hivi ( bahati mbaya Jina lake limenitoka ghafla tu ) nami natamani kweli kweli akishamaliza tu Ratiba yake ya Kugawa 'Kopi' za 'Vinyago' vyenye Mbuga zetu za Wanyama kwa Wageni wake Waalikwa basi nae akatishe zake aende Kupiga 'Stori' mbili tatu hivi na Balozi wa Marekani kama ambavyo leo 'Mgombea' Tundu Lissu amefanya.

Na huyu 'Mgombea' ambaye natamani nae akafanye hayo 'Mazungumzo' na Balozi huyo basi aruhusu 'Wanahabari' wote wamuweke 'Mubashara' kabisa ili Wananchi tumsikie nae akitema 'Ung'eng'e' wake ambao utamzidi alionao Tundu Lissu. Na inasemekana kuwa huyu 'Mgombea' Yeye ndiyo 'Kihistoria' ameanza Kutangulia kwenda Ulaya hasa hasa Ujerumani kuliko Mwenzake Lissu.
We jamaa kenge na bwege sana,kwa hiyo kiingereza ndio umeona mafanikio? Mbona Xi ping haongei English akikutana na Trump? Ndio maana watu wana kuhisi ni chakula.
 
Kuna 'Mgombea' Mmoja hivi ( bahati mbaya Jina lake limenitoka ghafla tu ) nami natamani kweli kweli akishamaliza tu Ratiba yake ya Kugawa 'Kopi' za 'Vinyago' vyenye Mbuga zetu za Wanyama kwa Wageni wake Waalikwa basi nae akatishe zake aende Kupiga 'Stori' mbili tatu hivi na Balozi wa Marekani kama ambavyo leo 'Mgombea' Tundu Lissu amefanya...
Mkuu Gentamycine, unataka kumpa ugonjwa wa kiharusi mtu bure kuzungumza lugha ya malkia. Labda ili kumfanya Mheshimiwa apate "comfort" na kuwa huru ktk kujadili masuala mbalimbali, itampasa balozi wa USA ndiye awajibike kuzungumza lugha ya Kisukuma.
 
Kuna 'Mgombea' Mmoja hivi ( bahati mbaya Jina lake limenitoka ghafla tu ) nami natamani kweli kweli akishamaliza tu Ratiba yake ya Kugawa 'Kopi' za 'Vinyago' vyenye Mbuga zetu za Wanyama kwa Wageni wake Waalikwa basi nae akatishe zake aende Kupiga 'Stori' mbili tatu hivi na Balozi wa Marekani kama ambavyo leo 'Mgombea' Tundu Lissu amefanya..
Wewe tu unashobokea kiingereza kamuulize swali hilo Putin atakupa jibu.
 
Back
Top Bottom