"DHAMBI" Ni kukiuka maagizo ya mwenyezi mungu,kwenda kinyume na sheria za mwenyezi mungu,kufanya mambo ambayo Ni chukizo mbele za mungu.hapo mwanzo hakukuwako na dhambi, Before human creation dunia ilikua inakaliwa na viumbe wanaitwa majini,majini wameumbwa na mwenyezi mungu na wapo wema na wabaya,majini Ni viumbe visivyoonekana Kwa macho Ila kutokana na maandiko matakatifu Ni kwamba wameumbwa Kwa moto,Kubwa lao ndilo Hili tunalisikia linaitwa "lucipher",yeye alipewa uwezo mkubwa Sana na mwenyezi mungu juu ya viumbe vyote vilivyokuwa duniani na mbinguni ambavyo mungu aliviumba, Kwahyo majini waliishi muda mrefu Sana Hapa duniani kabla ya Adam "binadamu wa kwanza"
MWANZO WA DHAMBI
viumbe hao wa Kwanza kuishi duniani walianza kufanya dhambi ya "kulawitiana" na walizidi Sana kufanya dhambi ndipo mwenyezi mungu akawaangamiza kabisa katika uso wa dunia lakini "lucipher" hakuangamizwa Kwa sababu hakushiriki katika dhambi ya kulawiti/kulawitiana.
Ndipo mwenyezi mungu akaamua kuumba kiumbe chenye ujuzi na akili kuliko viumbe vya mwanzo "majini "akamuumba Adam ili aje atawale dunia na vilivyomo lakini suala hili lilipingwa na Jini lucipher ndipo ilipozaliwa dhambi Kwa Mara ya Kwanza Kwa maana alipinga matakwa ya mwenyezi mungu ambaye anapoamua jambo hashauriani na yeyote.
Kwahyo mwenyezi mungu akamuumba Adam na akampa akili na uwezo wa kutawala vitu vilivyomo duniani,na akamweka edeni.
Lucipher Yule jini mkuu akalaaniwa na kutupwa duniani lakini Bado alikua na uwezo Ule ambao aliumbwa nao,
Baadaye mungu akaona si vyema Adam awe binadamu peke yake duniani akamfanyia "msaidizi" ili atawale pamoja Naye lakini akawapa masharti akawaamuru wale matunda yote katika Ile bustani ambayo aliwaweka isipokuwa tunda LA mti wa katikati mti wa ujuzi wa mema na mabaya (pale bustanini palikuwa na mti wa uzima na mti wa ujuzi wa mema na mabaya)
Ndipo Yule jini aliyetupwa duniani akawaonea wivu Adam na Eva akaandaa mpango wa kuwashawishi watende dhambi ili asiwe peke yake katika laana ya mwenyezi mungu.
Yule jini ndiye Yule nyoka tunaemsoma katika HOLLY BIBLE wapendwa, akamtokea Hawa Wakati Adam akiwa usingizini akamshawishi kufanya dhambi ya kulawitiwa naye, kisha Adam kumlawiti mkewe Hawa, Hapa ndipo binadamu wa Kwanza alipofanya dhambi Kwa muumba wake. Kwa hivyo kuna mambo watu wanaumiza Sana vichwa kuyajua
1.bustani Ni mwili wa mwanamke
2.mti wa ujuzi wa mema na mabaya Ni tendo la kulawiti/kulawitiana/kulawitiwa
3.mti wa uzima Ni Ile njia ya tendo LA ndoa ambayo Ni imehalalishwa na mwenyezi mungu pale tu unapofanya ki utaratibu ambao mungu anaukubali
4.nyoka Ni Yule jini luciopher
Nikipata muda nitaeleza haya mambo vizuri ili tuyaelewe kutokea katika maandiko pia tukumbuke kwamba maneno ya mungu mtu yeyote anaweza kuyasoma lakini sio kuyaelewa
.....ngoja nifuatilie mkeka wangu....
Huwa hatujiulizi maana ya ile miti miwili kwenye bustani ya Eden,,mti wa kwanza ulikuwa mti wa uzima na wa pili MTI WA MEMA NA MABAYA..na yote kaipanda Mungu.Kwa nini unahoji maswali mengi yanayohusu masahibu yetu wakati babu yetu wa siku nyingi alikula matunda ya mti wa mema na mabaya??
Dhambi kaiumba Mungu ni kweli lakini kuna namna alitaka tuishi ili isituathiri na wewe unajua.
Mtu anaposema eti Mungu alileta kifo maana hana accommodation za kutuhifadhi ni jambo la kustaajabisha,,,labda Kuna mtu aliwahi kujiuliza hizo sayari nyingine kaumbiwa nani?? Mtu anamwongelea Mungu kwamba ni failure pasi na kutafakari kwa kina kwa nini!!
Na tusisahau kitu kimoja zamani ya Adam Mungu Alikuwa anakaa na binadamu kila jioni anakuja kumsalimia Adam,,,je tunajua alikuwa anaongea nae nini??