olando da costa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 505
- 380
Mwanzo 1:26 Mungu akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa SURA yetu.
Nawakaribisha wadau kwa mjadala na kufundishana.
Nawakaribisha wadau kwa mjadala na kufundishana.
Mwanzo 1:26 Mungu akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa SURA yetu.
Nawakaribisha wadau kwa mjadala na kufundishana.
Natabiri utafata mtifuano hapa wa dhihaka na ubaguzi wa kidini baina ya wafia dini wa pande kuu 2 za dunia.Mwanzo 1:26 Mungu akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa SURA yetu.
Nawakaribisha wadau kwa mjadala na kufundishana.
HAKUZAA WALA HAKUZALIWA NA HAFANANI NA CHOCHOTE
Mkuu bila shaka maneno haya yako kwenye koran, sasa iweje kwenye torati aseme anamfanya mtu kwa sura yake alafu baadaye ije Koran iseme hafanani na chochote?
Biblia ni lugha na kanuni mkuu huo mfano aliongelea hapo ni mfano wa Kiroho na sio mfanano wa suraMwanzo 1:26 Mungu akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa SURA yetu.
Nawakaribisha wadau kwa mjadala na kufundishana.
Mwanzo 1:26
"Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi."
Kwanza kabisa, Mungu anaonekana anazungumza na mtu/watu ambao wanafanana maumbile na muonekano wao.. (Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; )
Hebu jiulize duniani tupo watu wangapi? Maelfu ya mamilioni bila shaka, na sote tunatofautiana sura zetu.. SWALI, Je Mungu Kama alimfanya mwanadamu kwa mfano wake, kwa sura yake kwanini wanadamu tunatofautiana?
Ili kupata JIBU la swali hili lazima tujiulize wanadamu WANAFANANA kitu gani? - Sura (Hapana), Maumbo (Hapana), Fikra (Hapana), Je kipi haswa wanafana Basi? Bila shaka ni ROHO.. Kila mwanadamu ana Roho, na hii ndio inawapa ufanano wanadamu.
Hivyo Basi, tumeomana wanadamu wanafana Roho.. bila shaka huu ndio mfano wa Mungu, hii ndio sura/muonekano wa Mungu.
Sasa Basi, tutizame Maandiko matakatifu yanasemaje, Mungu ana muonekano upi?
Kwa pamoja, sote tunaotamani kupata jibu la swali hili tuangalie kile kitabu cha mwanzo, ile sura ya kwanza ule mstari wa pili..
Mwanzo 1:2
"Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji."
Basi kumbe Maandiko matakatifu yanasema kuwa Mungu ni ROHO, Hapa sasa tunaona ya kuwa mfano wa Mungu na sura ya Mungu ndani yetu ni ROHO ZETU.
Biblia ni lugha na kanuni mkuu huo mfano aliongelea hapo ni mfano wa Kiroho na sio mfanano wa sura
[emoji117]TULIYEKUWA TUNAMWABUDU KABLA YA UJIO WA WESTEN RELIGIONS ANAFANANAJE ??
Sijakuelewa.Mkuu roho si ina mfano wa mwanadamu
TATIZO HIYO TORATI INAFANYIWA MAREKEBISHO INA MAMBO MENGI AMBAYO NIYA WANADAMU
Sijakuelewa.
Mungu ni Roho kamili haba mwili.Namaanisha roho ina mfano wa mwanadamu