Je, msamaha wa Rais Magufuli kwa DED wa Kahama umewaponya Wakurugenzi wote walionunua magari ya Tsh 460 milioni?

Rais Magufuli amesema haya

''Mkurugenzi wa Kahama Mji unafanya kazi kubwa sana, ka kosa kale kadogo kamesamehe dhambi zako zote. Unafanya kazi sana najua unapigwa vita ila wanaokupiga vita kuanzia sasa wakuogope.

Nimemsamehe Mkurugenzi huyu, amefanya makubwa! Mkurugenzi hongera Sana. Na hilo gari nitamrudishia aendelee kuliendesha lakini asirudie kununua gari nje ya utaratibu".


--
Nauliza tu iwapo uchapa kazi wa mkurugenzi wa Kahama na madiwani wake umewaponya pia Wakurugenzi wa Geita, Temeke na wengine waliorudisha magari ya bei ghali kwa waziri mkuu.

Wajuzi wa itifaki za misamaha tafadhali.

Pia soma > Kahama: Mkurugenzi anunua gari la gharama kubwa

Maendeleo hayana vyama!
Do you know how double standard is working in president decision this country ? Here ya is a concrete example .
 
Aliyemroga mwafrika alikufa
 

Attachments

  • Screenshot_20201224_123825.jpg
    Screenshot_20201224_123825.jpg
    85 KB · Views: 1
Back
Top Bottom