johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,944
- Thread starter
- #41
Una uhakika bwashee?Manunuzi hayo lazima yapitie kwenye ofisi hizo.
Una uhakika bwashee?Manunuzi hayo lazima yapitie kwenye ofisi hizo.
Do you know how double standard is working in president decision this country ? Here ya is a concrete example .Rais Magufuli amesema haya
''Mkurugenzi wa Kahama Mji unafanya kazi kubwa sana, ka kosa kale kadogo kamesamehe dhambi zako zote. Unafanya kazi sana najua unapigwa vita ila wanaokupiga vita kuanzia sasa wakuogope.
Nimemsamehe Mkurugenzi huyu, amefanya makubwa! Mkurugenzi hongera Sana. Na hilo gari nitamrudishia aendelee kuliendesha lakini asirudie kununua gari nje ya utaratibu".
--
Nauliza tu iwapo uchapa kazi wa mkurugenzi wa Kahama na madiwani wake umewaponya pia Wakurugenzi wa Geita, Temeke na wengine waliorudisha magari ya bei ghali kwa waziri mkuu.
Wajuzi wa itifaki za misamaha tafadhali.
Pia soma > Kahama: Mkurugenzi anunua gari la gharama kubwa
Maendeleo hayana vyama!
Ameoga maji ya bahariniKwa taarifa isiyo rasmi ni mwenye asili ya mkoa wa Njombe huko kusini!