Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,612
Baadae akawageuka baada ya kuingia madarakaniWakurugenzi walisimamia zoezi zima la mtu mzima kurudi madarakani.
Baadae akawageuka baada ya kuingia madarakaniWakurugenzi walisimamia zoezi zima la mtu mzima kurudi madarakani.
Hahahaaaa.......!Nimejiunga hapa jukwaani 2011, sijawahi kukata moto. Nina consistance ya uhakika.
Wanasifa kama zake na tabiaTamko la rais lime-specify anayesamehewa na sifa za mwenye kusamehewa zikatolewa hadharani kwamba ni mchapakazi, mbunifu, anatumia mapato ya ndani ya halmashauri vizuri, anavutia wawekezaji kwa kutoa ardhi bure na zaidi anapigwa majungu tu na baadhi ya viongozi. Kwa sifa hizo hadi akaagiza gari V8 ya milioni 400+ arudishiwe.
Je hao wakurugenzi wa halmashauri za Geita, Chato wana sifa hizo.
Kabisa . Yaani hakuna sheria inasemaje ? Tunaenfeshwa na yye anasemaje na anajisikiaje kwa hiyo cku husikaSiasa za kiki zina vichekesho vyake.
Hao wana makosa gani bwashee?Je,amewasamehe pia Prime minister na Waziri wa nchi,ofisi ya wasanii(TAMISEMI)?
Ok!Msamaha unamhusu DED/MED wa Manispaa ya Kahama pekee.
Ukweli ni kwamba hakuwa na makosa maana mchakato ulifuatwa alikuwa katolewa kafara kwa mileage za kisiasa na aliyezianzisha ndye huyo aliyemrudisha.Rais Magufuli amesema haya
''Mkurugenzi wa Kahama Mji unafanya kazi kubwa sana, ka kosa kale kadogo kamesamehe dhambi zako zote. Unafanya kazi sana najua unapigwa vita ila wanaokupiga vita kuanzia sasa wakuogope.
Nimemsamehe Mkurugenzi huyu, amefanya makubwa! Mkurugenzi hongera Sana. Na hilo gari nitamrudishia aendelee kuliendesha lakini asirudie kununua gari nje ya utaratibu".
--
Nauliza tu iwapo uchapa kazi wa mkurugenzi wa Kahama na madiwani wake umewaponya pia Wakurugenzi wa Geita, Temeke na wengine waliorudisha magari ya bei ghali kwa waziri mkuu.
Wajuzi wa itifaki za misamaha tafadhali.
Pia soma > Kahama: Mkurugenzi anunua gari la gharama kubwa
Maendeleo hayana vyama!
Aliyeanzisha mambo ya V8 ni mbunge Musukuma wa Geita vijijiniUkweli ni kwamba hakuwa na makosa maana mchakato ulifuatwa alikuwa katolewa kafara kwa mileage za kisiasa na aliyezianzisha ndye huyo aliyemrudisha.
Kuna wengine wanasamehewa na wengine wanatumbuliwa.
Kabila gani huyoMsamaha unamhusu DED/MED wa Manispaa ya Kahama pekee.
Aliyemwambia waziri achukue hatua ni nani? Kwani mambo managapi uwa yanasemwa anafumbia macho na kuziba masikio? Lakini hili ametembea nalo na mwisho kamrudisha.Aliyeanzisha mambo ya V8 ni mbunge Musukuma wa Geita vijijini
Kwa taarifa isiyo rasmi ni mwenye asili ya mkoa wa Njombe huko kusini!Kabila gani huyo
Amefanya ubadhirifu gani Anderson? Kahama ndio mji unaoongoza kwa makusanyo nchi hii, acha wivu apongezwe anapostahili...Rais anayecheka na wabadhirifu naye pia ni mbadhirifu.
Kabila Tena?Kabila gani huyo
Hakika.Kabila Tena?
Kabila lake halina ukaribu na chato isipokuwa utendaji wake Ni amazing
Uniformity na predictability ni mambo muhimu sana kwa leaders. Huyu bwana hana yye inategemea umeamkaje????Hao wana makosa gani bwashee?
Manunuzi hayo lazima yapitie kwenye ofisi hizo.Hao wana makosa gani bwashee?