grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Mkuu ni kweli hakuna kituo chenye pampu nyingi kama hicho hapa DSM.Hilo liko wazi. Kiukweli sifurahishwi na jinsi Pesa ya Ikulu inavyotumika
Kwa Taarifa yako anamiliki pia sheli ya Lake Oil pale Kona ya Mabibo karibu na maghorofa ya urafiki na Sheli hiyo ina PAMPU NYINGI ZA MAFUTA kuliko sheli zote mjini Daslam.
Maana wakati Dk. Slaa alipomtuhumu ufisadi akajitetea kitoto kuwa anamiliki gari moja na shamba moja tu. Aidha alipotishia kwenda kumshtaki Dk. Slaa mahakamani na kujibiwa kuwa Dk. yupo tayari kwa ushahidi mbona alifyata mkia mpaka leo hii kama yalikuwa madai ya uongo?