"Al-Watan, post: 21247652, member: 15144"Ubinadamu ni watu kuishi kwa empathy na kujali wengine kama wale Wamarekani wamisionari waliokuwa hawana haja ya kuokoa watoto waliopata ajali Arusha walivyofanya kushiriki kuwaokoa na kuwapeleka Marekani kupata matibabu.
Uelewa wako unanitia mashaka sana, sijui kama hata swali langu umelielewa hata kabla hujakurupuka kulijibu.
Umenijubu tabia ambazo binadamu anaweza kuzionesha hadharani, lakini bado haswa hujanijibu Swali langu la muhimu.
Nini haswa maana ya Ubinadamu!
Kwanza Ungekuwa unaelewa hata maana ya Ubinadamu,
Sidhani hata kama ungeuelezea Ubinadamu kwa kutumia hisia isiyoweza kuonekana wala kuthibitishwa.
Tena unadiriki hata kujidanganya kwamba nikifanya kitu Ummah unione basi hiyo ni Empathy na huo ndiyo ubinadamu.
Usomi wako ni wa kujidanganya sana na hii ndiyo
Non Sequitur yenyewe.
Kama Marekani ingekuwa ni adui wa ubinadamu kindakindaki kama inavyosemwa, hawa wasingekuwa na moyo wa kusaidia watu ambao hawakuwajua. Tena wangejipa udhuru wa kusema sisi wageni hapa, nchi hatuijui, sheria hatuzijui,tamaduni hatuzijui, tunaweza kutaka kusaidia tukashitakiwa kwa kusababisha vifo, ngoja tuondoke eneohili la ajali kama hatujaona kitu.
Labda nikukumbushe historia ndogo.
Miaka ya themanini Tanzania iliwekewa vikwazo vikali sana na Mataifa ya Magharibi, nchi iliishiwa mafuta ya mitambo.
Saddam Hussein alileta mapipa ya mafuta kwa Watanzania ambao siyo hata ndugu zake.
This is a logical non sequitur.One does not need nuclear weapons to even exist to be a champion of world peace.
Moreover, one does not even need to succeeed in achieving world peace to be a champion of world peace.
Then if one does not need to succeed in achieving World Peace to be a Champion,then the Term Champion of World Peace is a farce and meaningless. We need to see Substantial and Long term Achievements to name you a Champion.
Not otherwise.
Dr. Martin Luther King is considered a champion of harmonious race relations, a nobellaureate for world peace, even though he died before the successful resolution of race issues in the US and the achievement of anything close to total world peace short of the heat death of the universe.
Then he's No Champion.
Calling him a Champion would be an Insult to the likes of Mandela, Tutu or De Clarke. (The real Champions of Harmonious race relations and Nobel Laurete)
You are not making any sense
Al-Watan