Ili vyote viwezekuwepo kama vilivyoposasa inabidi uhakikishe unaweza kurudi nyuma kwenye muda na kufanya majaribio ya kutengeneza upya kila kitu kirudi kama kilivyo.
Hujafanya hilo.
Imefuatia hapo
Wanatumia na vina madhara....
Wanashindwa kuacha kutumia kwasababu hakuna namna nyingine ya kufanya kutokana na mazingira yalivyo sasa....-
Basi havina madhara ki hivyo. Kama nilivyosema mwanzo, wengi wana tabia ya ku exaggerate.
Look, I was in Kampala in the year 2000. On a Ugandan FM Radio. Dissing the US for not ratifying the Kyoto Agreement. Nilikuwa mgeni wa watu lakini sikujali kama serikali ya Museveni itanifanya mbaya na wageni wangu wataadhirika.
Sisemi kwamba Wamarekani hawana mabaya.
Mabaya ya sehemu ya jamii ya Marekani nina vitabu na vitabu vya kuyaongelea, kuanzia utumwa mpaka Japanese internment mpaka the exploitation of minorities katika sub prime loans.
Lakini kusema "Marekani ni adui wa ubinadamu" ni hyperbole sawa na kusema "Marekani ni malaika anayependa sana binadamu".
Ukweliupo katikati hapo.
Wamarekani wanajifunza sana mabaya yao na kutakakuweka sheria kuyarekebisha, kwa sababu wana utawalawa sheria, watu wanapaka serikali, mambo yanayoweza kurekebishwa yanarekebishwa.
Wwhich is more than what we can say for most countries.
Kwa hiyo n reject hii hyperbole kwamba Marekani ni adui wa ubinadamu, hususan kwa sababu "Marekani" si kitu kimoja, ni mkusanyiko wa watu wengi kutokapande zote za dunia wenye mawazo mengi yanayopingana na kugombea kukubaliwa.
Na sababu hiyo hiyo itanifanya ni reject habari yoyote itakayosema jumla jumla bila caveat wala nuance kwamba "Wamarekani ni watu wazuri sana".
Tatizo tunapenda sana ku oversimplify,kukiwa na ukweli wowote unaokataa oversimplification, tunaukosa.