fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,543
Hizo ni ndoto mkuu north angetawala tungekuwa na akili kuliko wa marekani!!!North Korea angetawaladuni mngekuwa watumwa sasa hivi.
Wewe acha habari hizo.
Hizo ni ndoto mkuu north angetawala tungekuwa na akili kuliko wa marekani!!!North Korea angetawaladuni mngekuwa watumwa sasa hivi.
Wewe acha habari hizo.
North mbona siasa zake kashatawala Tanzania enzi za Nyerere tumesoma sana siasa za Juche gazeti la Mfanyakazi?Hizo ni ndoto mkuu north angetawala tungekuwa na akili kuliko wa marekani!!!
Na kama ni hivyo basi hata marekani pia ikiwa mtawala wa dunia pia anaweza kutufanya watumwa,huo ndiyo utabiri wangu kama wewe ulivyotabiri kwa NKKwanza kabisa huyo unayemsema mtawala wa dunia si mtawala wadunia, ndiyo maana hata huyo North Korea anaweza kufurukuta.
Katafute kitabu cha Fareed Zakariakinaitwa "The Post American World"
Let's get that right first.
![]()
Marekani aliweza kufanya dunia iwe mtumwa wake tangu 1945 alivyopata nuclear weapons, hakutaka kufanya hivyo.Na kama ni hivyo basi hata marekani pia ikiwa mtawala wa dunia pia anaweza kutufanya watumwa,huo ndiyo utabiri wangu kama wewe ulivyotabiri kwa NK
Mkuu hapa kidogo unaweza kutoa maelezo ya ziada. Kipindi US na whole of E.U wana innovate in 16 and 17th centuries si dhani kama walikuwa wana advocate hayo mambo ya Ushoga etc.Societies placing a high premium on religiosity, particularly sexual chastisty, as a general rule are less economically developed compared to societies that do not.
Look at Afghanistan and the USA.
Look at Africa and Northern Europe.
Look at India and The Netherlands.
It is as if the more energy you devote to police the sexual chastity of your population, the less you have to devote to economic development.
Nimeanzia kwenye religiosity.Mbona umeruka huko?Mkuu hapa kidogo unaweza kutoa maelezo ya ziada. Kipindi US na whole of E.U wana innovate in 16 and 17th centuries si dhani kama walikuwa wana advocate hayo mambo ya Ushoga etc.
Nafkiri ni Africa au nchi yoyote kutoendelea ni mjadala mpana zaidi ya kuureduce ktk mambo ya ya haki za identity za jinsia na ndoa.
Pole mkuu kama ulitarajia ARVS zitakuepusha na kifo.Vitu vyote vinavyofadhiliwa na marekani mfano dawa za ARVs, ushoga na mengine machafu na ikiwepo ukimwi wenyewe unasemekana ni kwa ajili kuua humanity je taifa kama hili kuharibu watu wanataka aishi nani hapa duniani kama lengo lake ni kuua watu ninapata sana mashaka sana hawa wataka nani dunia iwe na nani kama sio sisi?
Wanajamvi hili jambo kubwa sana marekani je ni rafiki yetu kweli? Duniani inafanya fujo kubwa sana kuua watu na kudhulumu mataifa.
Kuna isue ya Alien hao wanafanya nao kazi na hao wadudu ni wana akili sana kuliko sisi ndio wameajiriwa na wanatengeneza silaha ya maangamizi makubwa sana.
Hao wadudu wanataka dunia iwe na watu bilioni moja tu wameamua kufuta watu duniani wakae wao tu.
Ebu tujadiliane wadau kuna mambo mengi chini ya kapeti mpaka kuna baadhi ya watu marekani wamejitokeza hadharani kuwa marejani inapanga njama kutufuta phil schinder ni moja kati ya watu waliojitokeza kusema hadharani kuwa marekani inapanga mauaji ya humanity for 90%
karibuni wadau