Je, Marekani ni adui wa ubinadamu?

Je, Marekani ni adui wa ubinadamu?

Mkuu umeandika point, hakuna average mind zitakazokuelewa ulichokiandika, lakini kwa watu wanaofuatilia mambo kwa undani Marekani its allies hawa watu ni watu wa kupingwa kwa nguvu zote, kwasababu hawana nia njema hata kidogo na binadamu.
Ingekuwa vyema sana uwapinge kwa vitendo. Si maneno tu.

Acha kutumia internet waliyoianzisha kwa sababu wana i control.

Anzisheni yenu.

Hii Jamiiforums yenyewe ni tovuti iliyosajiliwa Marekani.

Kama hutaki vya Wamarekani hata hapa Jamiiforums hutakiwi kuwepo.

Ukitembelea Jamiiforums habari zako zinakwenda kwa Wamarekani. Kama huwataki Wamarekani jiondoe hapa.

Acha kutumia Whatsapp nao ni mfumo wao. Facebook, Instagram nazo pia.

In fact hata email usitumie.

Usiangalie movies za Hollywood wala kusikiliza muziki wa Kimarekani.

Jiondoeni Umoja wa Mataifa unaochangiwa sana na Wamarekani na ambao Makao Makuu yake yako Marekani.

Nduguzenu wanaotaka kuja kuishi na kusoma Marekani wakatazeni.

Misaada ya Wamarekani kataeni.

Watalii wa kutoka Marekani msiwakubali.

Jiondoeni kwenye mfumo wa kibenki wa dunia unaotawaliwa na Marekani.

Kataeni kununua bidhaa zozote za Kimarekani.

Mkifanya hivyo na kusema Mmarekani mbaya, nitawaelewa.

Siyo mtu umevaa Nike na Polo, unaandika kwenye internet JF, unapost picha instagram, unawasiliana na ndugu zako Facebook, una chat groups za Whatsapp, serikali yako imepewa misaada na Marekani, halafu kelele nyiingi Wamarekani wabaya.

Kataeni Umarekani kwa vitendo.

Kabla hamjafanya hivyo mtakuwa mnacheza tu mchezo wa "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".

Unafiki.
 
Ingekuwa vyema sana uwapinge kwa vitendo. Si maneno tu.

Acha kutumia internet waliyoianzisha kwa sababu wana i control.

Anzisheni yenu.

Hii Jamiiforums yenyewe ni tovuti iliyosajiliwa Marekani.

Kama hutaki vya Wamarekani hata hapa Jamiiforums hutakiwi kuwepo.

Ukitembelea Jamiiforums habari zako zinakwenda kwa Wamarekani. Kama huwataki Wamarekani jiondoe hapa.

Acha kutumia Whatsapp nao ni mfumo wao. Facebook, Instagram nazo pia.

In fact hata email usitumie.

Usiangalie movies za Hollywood wala kusikiliza muziki wa Kimarekani.

Jiondoeni Umoja wa Mataifa unaochangiwa sana na Wamarekani na ambao Makao Makuu yake yako Marekani.

Nduguzenu wanaotaka kuja kuishi na kusoma Marekani wakatazeni.

Misaada ya Wamarekani kataeni.

Watalii wa kutoka Marekani msiwakubali.

Jiondoeni kwenye mfumo wa kibenki wa dunia unaotawaliwa na Marekani.

Kataeni kununua bidhaa zozote za Kimarekani.

Mkifanya hivyo na kusema Mmarekani mbaya, nitawaelewa.

Siyo mtu umevaa Nike na Polo, unaandika kwenye internet JF, unapost picha instagram, unawasiliana na ndugu zako Facebook, una chat groups za Whatsapp, serikali yako imepewa misaada na Marekani, halafu kelele nyiingi Wamarekani wabaya.

Kataeni Umarekani kwa vitendo.

Kabla hamjafanya hivyo mtakuwa mnacheza tu mchezo wa "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".

Unafiki.[/QUOte
ndyo maana nimesema hakuna mtu mwenye ufahamu wa kawaida atayeelewa nini kilichoongelewa kwenye mada. kama mtu hayuko vizuri kwenye mambo ya revealed knowledge and philosophical knowledge, hata umwambiaje ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
 
Eti Alien, story za kuambiwa changanya na za kwako. Alien unawaonaga kwenye fideo tu, hawapo hao viumbe
 
ndyo maana nimesema hakuna mtu mwenye ufahamu wa kawaida atayeelewa nini kilichoongelewa kwenye mada. kama mtu hayuko vizuri kwenye mambo ya revealed knowledge and philosophical knowledge, hata umwambiaje ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

That is neither here, nor there.

So vague and without an iota of support as to be totally meaningless.

I might as well tell you that God is an invisible one eyed Chagga who lives atop the Kilimanjaro, and that is revealed knowledge and philosophical knowledge, and however much I explain that to some people they will never understand it.

How obnoxiously opaque, how pretentiously protective, how surreptitiously self serving!
 
Marekani ni rafiki mkubwa wa ubinadamu. Ndiye anatufundisha kuhusu liberty, civil rights, equality before law na demokrasia. Nchi nyingi ni adui wa binadamu ila siyo marekani.
 
Ingekuwa vyema sana uwapinge kwa vitendo. Si maneno tu.

Acha kutumia internet waliyoianzisha kwa sababu wana i control.

Anzisheni yenu.

Hii Jamiiforums yenyewe ni tovuti iliyosajiliwa Marekani.

Kama hutaki vya Wamarekani hata hapa Jamiiforums hutakiwi kuwepo.

Ukitembelea Jamiiforums habari zako zinakwenda kwa Wamarekani. Kama huwataki Wamarekani jiondoe hapa.

Acha kutumia Whatsapp nao ni mfumo wao. Facebook, Instagram nazo pia.

In fact hata email usitumie.

Usiangalie movies za Hollywood wala kusikiliza muziki wa Kimarekani.

Jiondoeni Umoja wa Mataifa unaochangiwa sana na Wamarekani na ambao Makao Makuu yake yako Marekani.

Nduguzenu wanaotaka kuja kuishi na kusoma Marekani wakatazeni.

Misaada ya Wamarekani kataeni.

Watalii wa kutoka Marekani msiwakubali.

Jiondoeni kwenye mfumo wa kibenki wa dunia unaotawaliwa na Marekani.

Kataeni kununua bidhaa zozote za Kimarekani.

Mkifanya hivyo na kusema Mmarekani mbaya, nitawaelewa.

Siyo mtu umevaa Nike na Polo, unaandika kwenye internet JF, unapost picha instagram, unawasiliana na ndugu zako Facebook, una chat groups za Whatsapp, serikali yako imepewa misaada na Marekani, halafu kelele nyiingi Wamarekani wabaya.

Kataeni Umarekani kwa vitendo.

Kabla hamjafanya hivyo mtakuwa mnacheza tu mchezo wa "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".

Unafiki.
Ingekuwa vyema sana uwapinge kwa vitendo. Si maneno tu.

Acha kutumia internet waliyoianzisha kwa sababu wana i control.

Anzisheni yenu.

Hii Jamiiforums yenyewe ni tovuti iliyosajiliwa Marekani.

Kama hutaki vya Wamarekani hata hapa Jamiiforums hutakiwi kuwepo.

Ukitembelea Jamiiforums habari zako zinakwenda kwa Wamarekani. Kama huwataki Wamarekani jiondoe hapa.

Acha kutumia Whatsapp nao ni mfumo wao. Facebook, Instagram nazo pia.

In fact hata email usitumie.

Usiangalie movies za Hollywood wala kusikiliza muziki wa Kimarekani.

Jiondoeni Umoja wa Mataifa unaochangiwa sana na Wamarekani na ambao Makao Makuu yake yako Marekani.

Nduguzenu wanaotaka kuja kuishi na kusoma Marekani wakatazeni.

Misaada ya Wamarekani kataeni.

Watalii wa kutoka Marekani msiwakubali.

Jiondoeni kwenye mfumo wa kibenki wa dunia unaotawaliwa na Marekani.

Kataeni kununua bidhaa zozote za Kimarekani.

Mkifanya hivyo na kusema Mmarekani mbaya, nitawaelewa.

Siyo mtu umevaa Nike na Polo, unaandika kwenye internet JF, unapost picha instagram, unawasiliana na ndugu zako Facebook, una chat groups za Whatsapp, serikali yako imepewa misaada na Marekani, halafu kelele nyiingi Wamarekani wabaya.

Kataeni Umarekani kwa vitendo.

Kabla hamjafanya hivyo mtakuwa mnacheza tu mchezo wa "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".

Unafiki.

Hata kadi za benki za VISA na MasterCard wazitupe, waache na kunywa Coca-Cola, Pepsi, na bidhaa zingine zote zitengenezwazo na hizo kampuni, waache kupanda Boeing, waache kutumia bidhaa za Microsoft, Apple, waache kusikiliza bongofleva ambayo iko heavily influenced na hiphop, waache kununua nyimbo za marapa wa Tanzania maana wanaiga utamaduni wa Kimarekani kwa kuuwekea vionjo vya Kiswahili.....

Hahahaaa.....hawa watu wanacheza hawa.
 
Hata kadi za benki za VISA na MasterCard wazitupe, waache na kunywa Coca-Cola, Pepsi, na bidhaa zingine zote zitengenezwazo na hizo kampuni, waache kupanda Boeing, waache kutumia bidhaa za Microsoft, Apple, waache kusikiliza bongofleva ambayo iko heavily influenced na hiphop, waache kununua nyimbo za marapa wa Tanzania maana wanaiga utamaduni wa Kimarekani kwa kuuwekea vionjo vya Kiswahili.....

Hahahaaa.....hawa watu wanacheza hawa.
Wanacheza hawa.

Talk is cheap. They have to put their money where their mouth is.

Waswahili walisema "Ada ya mja kunena. Muungwana ni vitendo".

Unafiki mtupu.
 
Ingekuwa vyema sana uwapinge kwa vitendo. Si maneno tu.

Acha kutumia internet waliyoianzisha kwa sababu wana i control.

Anzisheni yenu.

Hii Jamiiforums yenyewe ni tovuti iliyosajiliwa Marekani.

Kama hutaki vya Wamarekani hata hapa Jamiiforums hutakiwi kuwepo.

Ukitembelea Jamiiforums habari zako zinakwenda kwa Wamarekani. Kama huwataki Wamarekani jiondoe hapa.

Acha kutumia Whatsapp nao ni mfumo wao. Facebook, Instagram nazo pia.

In fact hata email usitumie.

Usiangalie movies za Hollywood wala kusikiliza muziki wa Kimarekani.

Jiondoeni Umoja wa Mataifa unaochangiwa sana na Wamarekani na ambao Makao Makuu yake yako Marekani.

Nduguzenu wanaotaka kuja kuishi na kusoma Marekani wakatazeni.

Misaada ya Wamarekani kataeni.

Watalii wa kutoka Marekani msiwakubali.

Jiondoeni kwenye mfumo wa kibenki wa dunia unaotawaliwa na Marekani.

Kataeni kununua bidhaa zozote za Kimarekani.

Mkifanya hivyo na kusema Mmarekani mbaya, nitawaelewa.

Siyo mtu umevaa Nike na Polo, unaandika kwenye internet JF, unapost picha instagram, unawasiliana na ndugu zako Facebook, una chat groups za Whatsapp, serikali yako imepewa misaada na Marekani, halafu kelele nyiingi Wamarekani wabaya.

Kataeni Umarekani kwa vitendo.

Kabla hamjafanya hivyo mtakuwa mnacheza tu mchezo wa "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".

Unafiki.
Tunachosema sisi hasa mimi sio vitu vizur bali vitu vibaya vinavyofanywa na marekani sio garantee kwamba kwa kuwa wameasisi mfumo wa intertate basi uhalifu wanaoufanya ni sawa tu hapo ndipo upunguani mkubwa ulipo mtu awe anaua kwa makusudi alafu iwe poa kichwani utakuwa na matatizo makubwa
 
Wanacheza hawa.

Talk is cheap. They have to put their money where their mouth is.

Waswahili walisema "Ada ya mja kunena. Muungwana ni vitendo".

Unafiki mtupu.
acha kuvaa miwani ya mbao yote yanayofanywa na marekani hatuyapingi ebu angalia virusi vya ukimwi jinsi inavyoua na kuleta simanzi duniani

labda kama wew ni wakala wa marekani au mmarekani mwenye
 
Hata kadi za benki za VISA na MasterCard wazitupe, waache na kunywa Coca-Cola, Pepsi, na bidhaa zingine zote zitengenezwazo na hizo kampuni, waache kupanda Boeing, waache kutumia bidhaa za Microsoft, Apple, waache kusikiliza bongofleva ambayo iko heavily influenced na hiphop, waache kununua nyimbo za marapa wa Tanzania maana wanaiga utamaduni wa Kimarekani kwa kuuwekea vionjo vya Kiswahili.....

Hahahaaa.....hawa watu wanacheza hawa.
Umefilisika kichwani kwa kiwango cha degree yaani yote uliyosema wengine duniani hawawezi kufanya ivo? mnahusudu kwa lipi hayo yote mazuri hatuna shida. shida ni ubaya unaofanywa na taifa hilo kwa ubinadamu na wanadamu
 
Umefilisika kichwani kwa kiwango cha degree yaani yote uliyosema wengine duniani hawawezi kufanya ivo? mnahusudu kwa lipi hayo yote mazuri hatuna shida. shida ni ubaya unaofanywa na taifa hilo kwa ubinadamu na wanadamu

Hakuna taifa lililo na mema tu.

Hata Tanzania ina mabaya yake tena mengi tu.

Sasa kama ubaya wa Marekani ni adui kwa ubinadamu ubaya wa Tanzania je?

Acha unafiki wewe.
 
Mkuu umeandika point, hakuna average mind zitakazokuelewa ulichokiandika, lakini kwa watu wanaofuatilia mambo kwa undani Marekani its allies hawa watu ni watu wa kupingwa kwa nguvu zote, kwasababu hawana nia njema hata kidogo na binadamu.
Nakubaliana na wewe 100%
 
acha kuvaa miwani ya mbao yote yanayofanywa na marekani hatuyapingi ebu angalia virusi vya ukimwi jinsi inavyoua na kuleta simanzi duniani

labda kama wew ni wakala wa marekani au mmarekani mwenye
Kwa hiyo kama yote yanayofanywa na Marekani hamyapingi, hampingi Marekani basi, mnapinga hayo mambo.

Mbona hata mimi kuna mambo mengi yanayofanywa na Marekani nayapinga, kama vile ambavyo kuna mengi yanayofanywa na Tanzania nayapinga, kama vile ambavyo mengi yanayofanywa na Marekani nayakubali, kama vile ambavyo mengi yanayofanywa na Tanzania nayakubali.

Sasa unapo i single out Marekani wakati idea nzima ya nation state ni kutawala unaelewa hata unachokipinga ni nini?

Marekani ni nini?

Rais wa Marekani aliyepita kafanya mengi ambayo katika serikali mpya ya rais wa sasa kashaanza kuyaondoa.

Hata serikali ya Marekani haisimamii kitu kimoja. Inajipinduapindua.

Sasa hapo utasemaje kitu kirahisi rahisi kwamba "Marekani ni adui wa ubinadamu" ?

Marekani ni nini?
 
Ingekuwa vyema sana uwapinge kwa vitendo. Si maneno tu.

Acha kutumia internet waliyoianzisha kwa sababu wana i control.

Anzisheni yenu.

Hii Jamiiforums yenyewe ni tovuti iliyosajiliwa Marekani.

Kama hutaki vya Wamarekani hata hapa Jamiiforums hutakiwi kuwepo.

Ukitembelea Jamiiforums habari zako zinakwenda kwa Wamarekani. Kama huwataki Wamarekani jiondoe hapa.

Acha kutumia Whatsapp nao ni mfumo wao. Facebook, Instagram nazo pia.

In fact hata email usitumie.

Usiangalie movies za Hollywood wala kusikiliza muziki wa Kimarekani.

Jiondoeni Umoja wa Mataifa unaochangiwa sana na Wamarekani na ambao Makao Makuu yake yako Marekani.

Nduguzenu wanaotaka kuja kuishi na kusoma Marekani wakatazeni.

Misaada ya Wamarekani kataeni.

Watalii wa kutoka Marekani msiwakubali.

Jiondoeni kwenye mfumo wa kibenki wa dunia unaotawaliwa na Marekani.

Kataeni kununua bidhaa zozote za Kimarekani.

Mkifanya hivyo na kusema Mmarekani mbaya, nitawaelewa.

Siyo mtu umevaa Nike na Polo, unaandika kwenye internet JF, unapost picha instagram, unawasiliana na ndugu zako Facebook, una chat groups za Whatsapp, serikali yako imepewa misaada na Marekani, halafu kelele nyiingi Wamarekani wabaya.

Kataeni Umarekani kwa vitendo.

Kabla hamjafanya hivyo mtakuwa mnacheza tu mchezo wa "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".

Unafiki.
Samahani wewe ni Mmarekani au unabeba mabox huko, marekani wao ndio wakwanza kugungua haimaanishi wasingegundua wao basi tena wengine wasingegundua. Kwani hakuna vitu ambavyo vimegunduliwa nje ya Marejani?
 
Samahani wewe ni Mmarekani au unabeba mabox huko, marekani wao ndio wakwanza kugungua haimaanishi wasingegundua wao basi tena wengine wasingegundua. Kwani hakuna vitu ambavyo vimegunduliwa nje ya Marejani?
Suala la msingi hujalijibu.

Kama kweli Marekani ni adui wa ubinadamu, vitu vilivyogunduliwa na adui wa ubinadamu haviaminiki.

Na hivyo kama kweli unaamini Marekani ni adui wa ubinadamu, basi unatakiwa usitumie vitu hivi.

Sasa kama unasema unaamini Marekani ni adui wa ubinadamu, lakini bado unaendelea kutumia vitu vilivyogunduliwa na Marekani, basi inawezekana kuna machache haya yafuatayo.

Ama wewe ni mnafiki, unasema usichoamini kweli.

Ama ni zuzu, unajisemea semea mambo tu bila kuyaelewa vizuri.

Kwa nini mnasema Marekani ni adui wa ubinadamu halafu hapo hapo mnatumia vitu vilivyogunduliwa na Wamarekani?

Hamuoni kwamba mnahatarisha maisha yenu kwa kutumia vitu vilivyogunduliwa na adui wa ubinadamu?

Wewe ni mnafiki?

Au zuzu tu hujafikia ubaya wa kiwango cha unafiki?
 
In his book "The Arab Mind" Raphael Patai labels the typical Arab mind in a lot of ways, sometimes way too liberal.

One of these stereotypes is that the Arab mind is prone to hyperbolic exaggerations.

It seems like somehow this trait is also present within some of us.

Where there is abject lack of education, nuance is usually the first casualty and hyperbolic oversimplification reigns supreme.

This is what I am seeing here.

The US is not monolithic. Any attempt to make it so is rooted in ignorance.
 
Suala la msingi hujalijibu.

Kama kweli Marekani ni adui wa ubinadamu, vitu vilivyogunduliwa na adui wa ubinadamu haviaminiki.

Na hivyo kama kweli unaamini Marekani ni adui wa ubinadamu, basi unatakiwa usitumie vitu hivi.

Sasa kama unasema unaamini Marekani ni adui wa ubinadamu, lakini bado unaendelea kutumia vitu vilivyogunduliwa na Marekani, basi inawezekana kuna machache haya yafuatayo.

Ama wewe ni mnafiki, unasema usichoamini kweli.

Ama ni zuzu, unajisemea semea mambo tu bila kuyaelewa vizuri.

Kwa nini mnasema Marekani ni adui wa ubinadamu halafu hapo hapo mnatumia vitu vilivyogunduliwa na Wamarekani?

Hamuoni kwamba mnahatarisha maisha yenu kwa kutumia vitu vilivyogunduliwa na adui wa ubinadamu?

Wewe ni mnafiki?

Au zuzu tu hujafikia ubaya wa kiwango cha unafiki?
Umesoma chuo gani?
 
Back
Top Bottom