UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 18,151
- 9,567
Unapenda sana ubishi,nilishajibu hilo swali kuwa hapa tunazungumzia marekani kama nchi.Hujajibu Marekani ni nini.
Ungejibu ungemaliza habari zote hizo nyingine.
Unapenda sana ubishi,nilishajibu hilo swali kuwa hapa tunazungumzia marekani kama nchi.Hujajibu Marekani ni nini.
Ungejibu ungemaliza habari zote hizo nyingine.
Marekani ni nini?Yale Yale niliyosema.
Watu wakieleza mabaya ya marekani ndiyo unaleta story hizo ila wewe ukiizungumzia marekani kwa mazuri unaizungumzia kama kitu kimoja.
Wewe kama hupendi ubishi mbona unanijibu?Unapenda sana ubishi,nilishajibu hilo swali kuwa hapa tunazungumzia marekani kama nchi.
Hahaha ama kweli mie sijui lugha,naona lugha uliyotumia hapo ni ngeni kabisa.Hapana.
Wewe ndiye hujui hesabu. Hujui mantiki. Hujui lugha. Hujui maana ya neno kuliko.
Mtu akisema "Tanzania ni adui wa ubinadamu kuliko Marekani" hilo halimaanishi Marekani inahitaji kuwa na uadui wa binadamu wa aina yoyote.
Nikisema "Mama Juma ana sukari jikoni kwake kuliko Mama Hamisi" haina maana Mama Hamisi ana sukari yoyote. Inawezekana mama Hamisi hana sukari kabisa na Mama Juma ana kilo moja ya sukari.
Nitaweza kusema Mama Juma ana sukari kuliko Mama Hamisi.
Hujui hesabu. Hujui lugha. Hujui mantiki.
Ndiyo maana unabwabwaja "Marekani hivi, Marekani vile".
Ukiulizwa Marekani ni nini? Hujui. Huwezi kujibu.
Kajifunze lugha kwanza kabla ya kuparamia "Marekani hivi na Marekani vile" wakati hata huwezi kuelezea unapoelezea Marekani, unachokielezea hasa ni kipi.Hahaha ama kweli mie sijui lugha,naona lugha uliyotumia hapo ni ngeni kabisa.
Ni marekani gani ambayo unaizungumzia ? basi.Tatizo hujui kusoma.
Nieleze mara ngapi?
Marekani ni nchi.Marekani ni nini?
...si ndio mie namshangaa! Kwa hiyo wamerekani waambiwe waache kufandhili ARV ili ku-save humanity?! Kwamba ARV sasa zinaua humanity!Lakini sijawahi kusikia marekani inamlazimisha mtu kutumia ARV.
Hao waliyotoa msaada Arusha ni wote watu milioni 320?Wewe kama hupendi ubishi mbona unanijibu?
Unapozungumzia Marekani kama nchi unazungumzia kitu gani?
Marekani inaundwa na watu waliobtofauti sana. Zaidi ya milioni 320. Wana misimamo tofauti sana.
Utaizungumziaje Marekani kama nchi kwa mtazamo mmoja tu?
Bila caveat, nuance wala equivocation?
Lugha ukajifunze wewe,nenda ukajifunze neno kuliko lina maana gani?Kajifunze lugha kwanza kabla ya kuparamia "Marekani hivi na Marekani vile" wakati hata huwezi kuelezea unapoelezea Marekani, unachokielezea hasa ni kipi.
Wewe unaona kama tukifanikiwa kuwafukuza wamerekani woote waondoke duniani wahamie labda sayari ya Pluto, je ukimwi na ushoga utaisha Afrika?!Kwa kweli ninashindwa kuelezea kuhus taifa hili
upuuzi wangu uko wapi kwani nani asiyejua kuwa ukimwi waliutengeneza wenyewe mpaka sasa nani asiyejua kuwa wanafanya vita dunianiani na kuacha familia inalia?
acha ujinga wew tujadili nia ya taifa hili
Hahaha. Ungejua maana ya neno kuliko usingejivua nguo hadharani na kuanika dhakari yako ya kimawazo.Lugha ukajifunze wewe,nenda ukajifunze neno kuliko lina maana gani?
Nguo unajivua wewe sio mimi,we endelea kujichekesha tu.Hahaha. Ungejua maana ya neno kuliko usingejivua nguo hadharani na kuanika dhakari yako ya kimawazo.
Katika akili zako, moja si namba kubwa kuliko zero.
North korea wana mtandao wao mkuu labda na sisi kamq siyo watu weupe wa magharibi kutulemaza akili zetu ili wa tutawale tungekuwa na mtandao wetu !!!Bila Marekani si ajabu hata usingepata fursa ya kuandika ulichokiandika hapa!
That is what I call psychological projection.Nguo unajivua wewe sio mimi,we endelea kujichekesha tu.
Hamjachelewa. Mnaweza kuanza kujenga wa mabua sasa.North korea wana mtandao wao mkuu labda na sisi kamq siyo watu weupe wa magharibi kutulemaza akili zetu ili wa tutawale tungekuwa na mtandao wetu !!!
Mmeshanza kuwa na adabu kidogo kidogo mungu wape maisha marefu north koreaHamjachelewa. Mnaweza kuanza kujenga wa mabua sasa.
Hao North Korea wenyewe wamegezea.
North Korea angetawaladuni mngekuwa watumwa sasa hivi.Mmeshanza kuwa na adabu kidogo kidogo mungu wape maisha marefu north korea
We unaona utumwa ni mbaya sana kuliko kinachoendea sasa kutoka kwa huyo mtawala wako wa dunia?North Korea angetawaladuni mngekuwa watumwa sasa hivi.
Wewe acha habari hizo.
Kwanza kabisa huyo unayemsema mtawala wa dunia si mtawala wadunia, ndiyo maana hata huyo North Korea anaweza kufurukuta.We unaona utumwa ni mbaya sana kuliko kinachoendea sasa kutoka kwa huyo mtawala wako wa dunia?