Je, mapenzi ya kweli hamnaga siku hizi?

Je, mapenzi ya kweli hamnaga siku hizi?

ni kweli inabidi uchukue chako mapema.ila mimi kumuomba mtu pesa naona aibu naishia tu kukopwa shosti
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yeuwiiiii umenifanya nicheke kwa nguvuuu .......aaah saivi hatuombagi hivyo...... Siku akikupigia ndiyo anaomba muonane unamwambia sawa.... Hapo unamwambia unajua bby kodi imepelea sijui mini nanini nitumie 50000 nijaziee...akikupiga kalenda nawewe mda mliopanga kuonana mpige kalenda hivyo hivyo siku akikupa nawewe kampe...... Mjini hamna vya bureee.


Sikuizi tunawachuna kijanja na asipokupa unatemana nae unaangalia kwingine usiishiwe sababuu......mwambie naumwa matubabu 30 40 au unadaiwaa ulikopa vitu vya ndani...... Mjini HP mama ukilala umelaliw

Pole sana shogaangu kwa kukopwaa kumbe ndiyo maana Jana povu lilikutoka hatareeee[emoji4] [emoji4] [emoji125] [emoji125]
 
Money Peny binafsi yangu mimi mwanamke awe msafi tu inatosha, lakini nywele bandia, makalio bandia, kucha bandia, cream mwili kama maiti iliyoandaliwa tyr kwa kuitoa mortuary, midomo kama kinda la ndege lilitoka kwenye yai muda huohuo, hapana aiseeee. Tena ukute minywele imefungwa kama kichaa gani sijui, hapo hapana wala hata sihangaiki kwa lolote[emoji2] [emoji2]
Ahahahha una maana wameweka afro kinky au afro hair ndio kichaa
Akyanani nyie wanaume
Amepaka lipsti nyekundu jamaa sio kitoto cha ndege ahahahaha

Money Penny, mapenzi ya kweli yapo isipokuwa ninyi wenzetu mnakera somtime kuoelekea mwanaume kupunguza mapenzi.
Kuna vitu mbalimabali vinavyohamgia mwanaume kupunguza mapenzi hatimaye kujitoa
Kama vipi labda?!
 
nikupe really love ili nigundue nini..!!!!
mapenzi ya kikorea mwisho kwenye season tu.. ukija kitaa ni kupiga na kuchapa lapa..!!!!
Kiru! Mungu anakuoooonaaa

Binafsii mimi siamini km mapenzi ya dhati bado ypo
Hehehe wewe kama Toxic shoga tu!

hakuna kabisa .labda wanawake ila wanaume akishakugegeda kwisha habare
Meona ee tena skuhizi wanakupiga na hela nikope nikope stupeeed afu wana chapa lapa very stuuupeeed
 
Tena anakusahau kbs.... Sasa tumekuja na mbinu mpya akiomba mgegedo nawewe unaomba hela.... Ngoma droo
Mwenzangu ukiomba hela unapewa?!
Wenzio wanapigwa hela kabla hawajaomba hela wanakopwaaa jaman naandika huu waya very stupeed
 
Sasa we unajibana bana hata kujamba tu, unadhani kama unaficha kitu kdg kama hcho utakua na real love??
Kwaiyo kujamba ndio real love ama? Hahahaha hii kali

ni kweli inabidi uchukue chako mapema.ila mimi kumuomba mtu pesa naona aibu naishia tu kukopwa shosti
Ahahahaha me mwenyewe siombagi mwanaume hela kwanza sijui kama mwanaume anajisoma atanipaaa kwani kazi ya mwanaume ni nini kama sio ku provide?

nilishakopwa sana nikaamua kustaafu
Akyanani kuna dada mmoja alikopwa gari na mwanaume hata hakurudishaaaa akaamua kumwachia kiru wanaume hawa buana basi tu

Kwani umeshaanza kugegedwa miss? Nakumbukuka niliona post yako kwamba utakufa na genye zako lakini kugegedwa ni big NO.
Akyanani mtaani kuna meeeengiii
 
Hasa Chuoni huku ndo baraaa... Yaan unakuta demu kama Rihanna ville kwA makeup ila akitoa kilakitu Wakawaid sana... Jaman jipendeni mlivyo nasi tutawapenda.
 
Hasa Chuoni huku ndo baraaa... Yaan unakuta demu kama Rihanna ville kwA makeup ila akitoa kilakitu Wakawaid sana... Jaman jipendeni mlivyo nasi tutawapenda.
Eh! Makubwaaa
 
Tatizo lenu wadada mkisia true love unakumbuka tamthilia ila true love zipo na kwenye mapenzi kuna milima na mabonde..kwan mtu akidumu na mkeo had uzee na mmoja akafa,sio true love hiyo? Au kuna maana nyingine ya true love...
Ipo nyingine hata yako pia ipo ndani ya true love bro!

Ukikutana na mwanaume wa hvyo weka question tag, tru love saiv linaenda kwa historia unakuta me alkuw na girl friend ambay alkuw anampenda kinoma ikatokea girl friend wake akamsarit hapo ndipo machungu yanapo anziaga na inaweza mfanya me awe fantastic without tru love.
NOTE! TRUE LOVE BADO INA EXIST TILL NOW BUT RARELY.
Ilo nalo neno ndugu

Upendo wa kweli upo trust me
Uko wap tena?
 
Hapo uliposema wanaume wanapiga tigo, ulimaanisha wanaume wanaf*r*? Money Penny
Ndio mkuu

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yeuwiiiii umenifanya nicheke kwa nguvuuu .......aaah saivi hatuombagi hivyo...... Siku akikupigia ndiyo anaomba muonane unamwambia sawa.... Hapo unamwambia unajua bby kodi imepelea sijui mini nanini nitumie 50000 nijaziee...akikupiga kalenda nawewe mda mliopanga kuonana mpige kalenda hivyo hivyo siku akikupa nawewe kampe...... Mjini hamna vya bureee.


Sikuizi tunawachuna kijanja na asipokupa unatemana nae unaangalia kwingine usiishiwe sababuu......mwambie naumwa matubabu 30 40 au unadaiwaa ulikopa vitu vya ndani...... Mjini HP mama ukilala umelaliw

Pole sana shogaangu kwa kukopwaa kumbe ndiyo maana Jana povu lilikutoka hatareeee[emoji4] [emoji4] [emoji125] [emoji125]
Ukikutana na minjemba iliokutana na marafkizangu we utakuwa unalia kila siku dear, hii mbinu ya kale sana labda kwa vijana unaoishi nao hawa wa kwetu hapa polisi wamewashindwaaaa
 
Back
Top Bottom